magufuli

  1. J

    Rais Magufuli wapitishe wagombea wa Serikali za Mitaa njia ile uliyopita wewe 2015 vinginevyo hawatakuwa makini

    Ninafahamu dhamana ya wizara ya Tamisemi iko direct mikononi mwa Rais Magufuli hivyo ushauri huu nampa akiwa katika nafasi yake ya ukuu wa Tamisemi. Ni kwamba wagombea wanaobebwa siku zote hawawezi kuwatumikia wananchi hivyo ni heri tukaachana na hii dhana ya kupita bila kupingwa ili tupate...
  2. Erythrocyte

    Mbunge wa Makambako (CCM), Deo Sanga aomba Rais Magufuli atawale milele

    Deo Sanga ama Jah People (aliyewahi kutuhumiwa kuvuta bangi miaka ya nyuma) , leo bungeni ameomba sheria za nchi zibadilishwe ili Mwenyekiti wa CCM, Dr Magufuli awe Rais wa milele.
  3. Return Of Undertaker

    Obama: Huwezi kusema una Demokrasia ukashinda kwa 90% + huku upinzani umeufungia, uhuru wa habari hakuna

    Alisema: huwezi kuwa na Demokrasia na ukashinda kwa zaidi ya 90+ huku mpinzani wako umemfunga, hakuna uhuru wa habari, hakuna uhuru wa vyama kukutana, kufanya mikutano, uhuruwa kukosoa serikali, hakunataasisi imara za check and balance ukasema kuna demokrasia. Unafanya uchaguzi kujidanganya...
  4. Jaji Mfawidhi

    Rais Magufuli kuondoka kama Che Guevara

    Katika hali isiyo ya kawaida, Madikteta wote duniani huondoka kwa staili moja ya fedhea sana. 1. Muamar Gaddafi. 2. Saddam Hussein. 3. Al Bashir, 4. Mohamed Mosri. 5. Mugabe 6 .Sankara na wenzao waliondoka kwa aibu kubwa , sasa leo huyu mtu anayedhani yeye ndiye kila kitu huenda akaondoka...
  5. Mwl.RCT

    Mkutano nchi za Afrika na NORDIC: Rais Magufuli awakaribisha wawekezaji kuwekeza nchini, kwa sababu kuna amani na ukuaji mzuri wa uchumi

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli ameshiriki Ufunguzi wa Mkutano wa Mawaziri wa Mambo ya nje wa Nchi za Afrika na NORDIC unaofanyika akatika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Julius Nyerere JNICC Jijini Dar es salaam. ===== HOTUBA YA RAIS MAGUFULI KWA UFUPI...
  6. Miss Zomboko

    Waliotumia jina la Mama Janeth Magufuli kufanya utapeli wahukumiwa kulipa faini

    Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imewahukumu watu wanne kulipa faini ya Sh1.5 milioni kila mmoja baada ya kuwatia hatiani kutumia jina la Janeth Magufuli, mke wa Rais wa Tanzania John Magufuli kutapeli Sh4.4 milioni. Wanadaiwa kujipatia kiasi hicho cha fedha kwa njia ya udanganyifu baada ya...
  7. J

    Wiki ya Maulidi: Viongozi wa BAKWATA watembelea miradi ya Maendeleo ya Serikali

    Viongozi wa BAKWATA walioko Jijini Mwanza ikiwa ni katika wiki ya maulidi ambayo kitaifa sikukuu itafanyika jijini humo wamempongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa maendeleo anayotuletea. Viongozi hao wamekaguwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ikiwemo ujenzi wa meli mpya za...
  8. Ng'wamapalala

    Kuna baadhi ya watu bado hawajamuelewa Rais Magufuli!

    Wale baadhi ya watu ambao bado wanaojaribu kumtingisha Rais Magufuli wakidhani atabadilisha njia anayotumia katika utendaji kazi wake wananishangaza sana! Wanaojaribu kumtingisha inawezekana hawamfahamu vizuri au wanamfahamu vizuri lakini wamejivika upumbavu! Kwa wale wanamfahamu vizuri, siku...
  9. LIKUD

    Kauli mbili za kiroho kutoka kinywani mwa Rais John Pombe Magufuli

    Naenda moja kwa moja kwenye point. Hizi ni kauli 2 za kiroho kutoka kwa Rais wa awamu ya 5 wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mh. John Pombe Magufuli. 1. TANZANIA NI NCHI TAJIRI/ WE ARE A DONOR COUNTRY. This voice was coming from God himself. Magufuli was just used as a mouthpice of...
  10. technically

    Wazalendo wote wa nchi hii njooni uku tujibiwe haya maswali na Serikali ya Rais Magufuli

    Rais Magufuli nilikusema kuhusu miradi inayoeendelea chato kupitia uzi huu Miradi inayoendelea chato inahitaji mjadala wa kitaifa ila sikujibiwa kilichofuata ni mimi kutukanwa na wafuasi wako kwamba ni siasa. Mh Rais tuachane na hayo je miradi yako mikubwa inayotekelezwa kwa nini haina...
  11. C

    Suala la Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Vipengele kadhaa vya Kisheria

    Nafahamu kwamba watu wengi wameanzisha threads wakijaribu kuelezea suala la CAG Kisheria! Hata hivyo, wengi wao kama sio wote walichofanya ni kurundika vifungu vya kisheria bila kutoa ufafanuzi! Mbaya zaidi, hawatoi ufafanuzi wa matumizi ya neno SHALL kwa mujibu wa sheria zetu! Nimelazimika...
  12. S

    Ifikie mahali tuelewe na kukubali kuwa Rais wa Tanzania ana uhuru wa kuvunja Katiba ya nchi kwa makusudi, na hakuna utaratibu wa kuzuia hilo kwa sasa

    Maneno mengi sana yanasemwa nchini kuwa mara nyingi Rais Magufuli anavunja katiba ya Jamhuri ya Tanzania kwa makusudi. Nakiri kuwa hata mimi kuna wakati nilishazungumzia hilo. Baadae nilijiuliza ikiwa mimi ningekuwa ndio Magufuli, nikijua ninaweza kuvunja katiba kimakusudi na hakuna utaratibu...
  13. Influenza

    Yaliyojiri Ikulu Dar: Rais Magufuli amtaka CAG Kichere kutojifanya Muhimili mwingine, amwambia anaweza kuondolewa hata akiwa na mwaka mmoja

    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli, leo Novemba 4, 2019 kuanzia majira ya saa tatu na nusu (3:30) asubuhi atawaapisha viongozi mbalimbali aliowateua hivi karibuni Wanaoapishwa ni pamoja na; 1. Charles Edward Kichere kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za...
  14. Mzee Mwanakijiji

    Kichuguu si Mlima CAG: Chuki Dhidi ya Magufuli imewatoa ufahamu sasa?

    Watu wanaendekeza siasa mno kuhusu suala la CAG. Rais halazimiki kumteua CAG yule yule kila baada ya miaka mitano. Katiba na Sheria viko wazi kwa yeyote kuona. Kwa vile marais waliopita walimteua mtu yule yule kwa vipindi zaidi ya kimoja haina maana Rais ajaye analazima kurudia kumteua...
  15. G Sam

    Kama kwa haya tunayoyaona Rais Magufuli mbali na taratibu, pia anavunja katiba waziwazi vipi kwa tusiyoruhusiwa kuona

    Kwa haya machache tunayoyaona, Rais wetu anavunja taratibu na kanuni waziwazi, vipi kwa tusiyoruhusiwa kuona? Tutazame haya machache: 1. Nafasi 10 alizopewa kuteua wabunge alivunja katiba tukapiga kelele mmoja akajiuzulu kisha kupewa ubalozi. Hata hivyo kujiuzulu kwa huyo mmoja hakukumoondolea...
  16. G Sam

    Kuna "kakikundi" ambako Rais Magufuli alikuwa nako pale TANROADS na anakatukuza sana, kulikoni?

    Haka ni kakikundi ka watu ambako Rais Magufuli alikuwa nako pale Tanroads na amekuwa akikatukuza sana. Imefika hatua hata wakitumbuliwa huku wanapelekwa kule. Aidha wengine nimeona wakipewa hata utukufu usio wa kawaida. 1. Mhandisi John Kijazi. Huyu alikuwa pale ujenzi kama boss na Rais...
  17. Kanungila Karim

    Rais Magufuli ameagiza Ifakara kuongezewa Kata na Halmashauri

    Rais wa Tanzania, John Magufuli. Rais wa Tanzania, John Magufuli ameagiza Halmashauri ya mji wa Ifakara kuongezewa kata na halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kubadilishwa jina. Ametoa maelekezo hayo leo Jumapili Novemba 3, 2019 na kumtaka Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo kusimamia...
  18. technically

    Serikali iache kuchezea pesa za walipa kodi, Pesa za uchaguzi Serikali za Mitaa zirudishwe hazina mara moja

    Watu hawajajitokeza kujiandikisha uchaguzi wa nini? Hakuna uwanja sawa wa kufanya siasa kati ya upinzani na ccm uchaguzi wa nini? wapinzani wanachaniwa form zao uchaguzi wa nini? Watendaji wanakimbia ofisi kisa upinzani uchaguzi wa nini. Yote aya uliyataka mwenyewe baada ya kuzuia siasa mpaka...
  19. Superbug

    Naanza kumpenda Magufuli. Kuna mambo hayasemwi kabisa kwa sababu maalum kumbe Magufuli ana haki kwa upande mwingine

    Kuna Mambo hayasemwi kwa uwazi kwasababu ya busara ambazo Ni sahihi tukumbuke Magufuli anaongoza watu milioni 60 na sio familia ya mke wa John Pombe Magufuli na mama jeska // Magufuli Ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yeye Kama binadamu Kuna Mambo atakosea ila kwa uongozi wa watu 60M...
  20. elivina shambuni

    Rais Magufuli alivyotimiza ahadi alizotoa bungeni

    Kampeni za urais mwaka 2015, na wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 2015. Rais alihutubia Bunge kwa mujibu wa matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 91 ibara ndogo ya kwanza, inayomtaka Rais aliyechaguliwa kufungua rasmi Bunge hilo...
Back
Top Bottom