johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,550
- 141,357
Hawa maaskofu ndio wamepokea kijiti kutoka kwa Mtume Petro hivyo sauti na maono yao hutoka kwa Mungu.
Kardinali Pengo ndiye pekee hapa nchini Tanzania mwenye kura ya kumchagua Baba Mtakatifu (Papa) wa dunia nzima.
Nijuavyo mimi kumchagua Papa ni jukumu gumu na zito kuliko lile la kumtabiri kiongozi ajaye wa nchi fulani.
Hivyo Kardinali Pengo anenapo tuwe tunamsikiliza kwa makini na kumuelewa.
Mlale unono
Maendeleo hayana vyama!
Kardinali Pengo ndiye pekee hapa nchini Tanzania mwenye kura ya kumchagua Baba Mtakatifu (Papa) wa dunia nzima.
Nijuavyo mimi kumchagua Papa ni jukumu gumu na zito kuliko lile la kumtabiri kiongozi ajaye wa nchi fulani.
Hivyo Kardinali Pengo anenapo tuwe tunamsikiliza kwa makini na kumuelewa.
Mlale unono
Maendeleo hayana vyama!