magufuli

  1. beth

    Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

    Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kutoa Tsh. Bilioni 40 ili kumalizia madeni yote ya Wakulima wa Korosho yaliyobaki baada ya Serikali kununua korosho hao katika msimu wa mwaka 2018/19 Ametoa maagizo hayo leo alipokutana na viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za...
  2. Influenza

    Msanii Idris Sultan afika Kituo cha Polisi Central, ahojiwa aenda, kukaguliwa nyumbani kwake. Aachiwa kwa dhamana

    Msanii Idris Sultan amefika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Central) muda wa saa 5 asubuhi kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda Anaendelea kushikiliwa kituoni kwa mahojiano, Inadaiwa anahojiwa kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, kifungu cha 15 na 16 UPDATE: Polisi wameelekea...
  3. Mzee Mwanakijiji

    Four Years Later: My Reflection on President Magufuli: A Double Measure of Boldness and Dare

    (PictureTanzanian President John Joseph Pombe Magufuli) A petty dictator? May be! A benevolent overlord? Probably! An unusual kind of an African leader? Undoubtedly! A leader that Tanzanians longed for and finally got? You betcha! Since his election four years ago, President John Magufuli has...
  4. britanicca

    Baada ya Magufuli kuona picha aliyo-edit Idriss afanya haya

    Baada ya kuambiwa alicheka sana alafu akatikisa kichwa, akasema mpelekee na Mama Janeth aangaliye. Mama Janeth kakaa nayo anacheka. Magufuli akasema hebu rudisha huku bwana, na ninyi wanawake mtafute wa kwenu wa kufanya sanaa kama hawa vijana wa kiume. Britannica
  5. J

    Kheri ya Kuzaliwa kwako Mheshimiwa Rais John Magufuli.

    Leo Oktoba 29 Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli amezaliwa. Mengi aliyoyafanya na anayozidi kuyafanya hakika anastahili Pongezi za kila namna. Wengi wanatamani kumapatia Zawadi lakini hawawezi ila zaidi ni kumtakia kila a kheri na kumuombea dua njema kwa Mungu ili aendelee...
  6. Boniphace Kichonge

    Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

    Wadau, President Magufuli is now 60 years old. Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long
  7. J

    Askofu Kakobe: Rais Magufuli ni mchapakazi, watu wa namna hii ni wachache sana, sisi tumepata neema

    Askofu Kakobe amesema anabarikiwa sana na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu na kwamba Rais Magufuli ni mchapa kazi kweli kweli. Kakobe amesema watu wenye hulka ya kufanya kazi kwa uzalendo uliotukuka aina ya Dr Magufuli ni wachache sana barani Afrika na sisi kama taifa hii ni neema. Askofu Kakobe...
  8. funaku

    Orodha ya waliojaribu kumkwamisha 'chuma' Magufuli na wakaangukia pua!

    1-Zitto 2-lissu 3-Mbowe 4-Msigwa 5-Lema 6-Membe 7-Nape 8-Kinana 9-Makamba Jr na Sr 10-Abdul nondo 11-Mdude Chadema 12-Shangazi 13-Maria Sarungi 14-Mwele Malecela 15-Kigogo 2014 akaamua azushe kabisa n.k Bila kumsahau Mange Kimambi yaani huyu ndio aliangukia pua na mdomo. Kama una ubavu jiunge...
  9. funaku

    Kuna Mkoa haujapata mafanikio ya Magufuli?

    Hili ni swali kwa wawakilishi wa wananchi na wananchi ili tuende sawa. 1. Kuna mkoa haujajengewa hospitali au kituo cha afya? 2. Kuna mkoa hauna mradi wa maji? 3. Kuna mkoa hauna mradi wa barabara? 4. Kuna mkoa hauna mradi wa umeme vijijini? 5. Kuna mkoa haujapata mradi wa ujenzi wa shule...
  10. elivina shambuni

    Waziri Mkuu amwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 18 wa NAM

    Waziri Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2019 anatarajiwa kumwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Mkutano wa 18 wa Wakuu wa nchi na Serikali wa nchi zisizofungamana na upande wowote (NAM) kutoka Afrika na kwingineko duniani utakaofanyika Baku, Azerbaijan. Mkutano huo unalenga kujadili...
  11. elivina shambuni

    Usichokijua kuhusu ndege mpya iliyopokelewa leo na Rais Magufuli

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 26 ameongoza Watanzania kupokea ndege ya pili aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, katika Uwanja wa Ndege wa Mwl. Julius Nyerere, Dar es Salaam. Ndege hii mpya imesajiliwa kwa usajili namba 5H-TCJ na imepewa 'Brand Name' ya RUBONDO ISLAND, visiwa vilivyopo...
  12. B

    Waziri Mkuu amwakilisha Magufuli katika mkutano Baku, Azerbaijan

    October 26, 2019 Baku, Azerbaijan. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2019 anatarajiwa kumwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi na serikali wa nchi zisizofungamana na upande wowote (NAM) kutoka Afrika na kwingineko duniani utakaofanyika Baku, Azerbaijan. Umoja...
  13. J

    Mjapan: Kwa kasi hii ya maendeleo Rais Magufuli alistahili kuishi Japan maana anaamini katika kazi siyo siasa

    Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan. Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema. Mjapani ameniuliza kama...
  14. J

    Mjapan: Kwa kasi hii ya maendeleo Rais Magufuli alistahili kuishi Japan maana anaamini katika kazi siyo siasa

    Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan. Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema. Mjapani ameniuliza kama...
  15. BASIASI

    Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

    KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA MSIKURUPUKE KUJA HUMU KAMA MKO...
  16. J

    Felister Mkombo amshukuru Rais Magufuli, asema DC na OCD wamemlipa Tzs milioni 15 kama alivyowaagiza

    Felister Mkombo ambaye ni mama mjane anayeishi Namanyele huko Rukwa amemshukuru Rais Magufuli kwa kumfuta machozi kufuatia kuibiwa ng'ombe zake. Felister anasema Mkuu wa wilaya na mkuu wa polisi wilaya wameshamlipa sh milioni 15 ambazo ni fidia ya ng'ombe wake kama alivyoagiza mtetezi wa...
  17. britanicca

    Zipi sababu za kukufanya Ufikiri kuwa Magufuli anafaa au hafai kuendelea kuongoza taifa hili kwa ngwe ya pili 2020-2025?

    Kama kawaida yet u watanzania kila baada ya miaka 5 ufanyika uchaguzi mkuu wa Urais,Ubunge na Udiwani, Mwaka 2015 umefanyika uchaguzi uliomuacha Magufuli kileleni kwa kura 8,000,000 za waliojitokeza kupiga kura Kwa mujibu wa Tume ya Taifa ya uchaguzi, Yapo mambo ambayo aliahidi na kufanya...
  18. elivina shambuni

    Rais Magufuli akutana na viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika

    viongozi wa Taasisi ya Mashauriano ya Kisheria kwa Nchi za Asia na Afrika (AALCO) ambao wanahudhuria mkutano wa 58 unaofanyika hapa nchini kwa siku 5 ukiwakutanisha wajumbe kutoka nchi wanachama 49 na mashirika mbalimbali. Viongozi wa AALCO waliokutana na Mhe. Rais Magufuli ni Rais wa AALCO...
  19. J

    Rais Magufuli akutana na viongozi wa chama tawala cha China Ikulu

    Rais Magufuli ambaye pia ni mwenyekiti wa chama tawala CCM amekutana na viongozi wa chama tawala cha kikomunisti cha China. Viongozi hao kutoka China wamempongeza Rais Magufuli kwa namna CCM inavyoongoza kwa ufasaha serikali zake mbili ya Muungano na ya Zanzibar. Source Eatv habari!
  20. J

    Kushabikia siasa za upinzani Tanzania yakupasa uwe na moyo kama wa Mwendawazimu

    Mosi, hakuna Tume huru ya uchaguzi Pili, uchaguzi wa madiwani unasimamiwa na makada wa CCM Tatu, matumizi ya ruzuku kwa vyama vya upinzani hayaeleweki Nne, vyama vya upinzani havifanyi uchaguzi wa viongozi wao mfano Wenyeviti ni kama wa kudumu. Tano, ukiwa mbunge ni lazima kuchangia fedha za...
Back
Top Bottom