magufuli

  1. G Sam

    Kuna "kakikundi" ambako Rais Magufuli alikuwa nako pale TANROADS na anakatukuza sana, kulikoni?

    Haka ni kakikundi ka watu ambako Rais Magufuli alikuwa nako pale Tanroads na amekuwa akikatukuza sana. Imefika hatua hata wakitumbuliwa huku wanapelekwa kule. Aidha wengine nimeona wakipewa hata utukufu usio wa kawaida. 1. Mhandisi John Kijazi. Huyu alikuwa pale ujenzi kama boss na Rais...
  2. Kanungila Karim

    Rais Magufuli ameagiza Ifakara kuongezewa Kata na Halmashauri

    Rais wa Tanzania, John Magufuli. Rais wa Tanzania, John Magufuli ameagiza Halmashauri ya mji wa Ifakara kuongezewa kata na halmashauri ya Wilaya ya Kilombero kubadilishwa jina. Ametoa maelekezo hayo leo Jumapili Novemba 3, 2019 na kumtaka Waziri wa Tamisemi, Seleman Jafo kusimamia...
  3. technically

    Serikali iache kuchezea pesa za walipa kodi, Pesa za uchaguzi Serikali za Mitaa zirudishwe hazina mara moja

    Watu hawajajitokeza kujiandikisha uchaguzi wa nini? Hakuna uwanja sawa wa kufanya siasa kati ya upinzani na ccm uchaguzi wa nini? wapinzani wanachaniwa form zao uchaguzi wa nini? Watendaji wanakimbia ofisi kisa upinzani uchaguzi wa nini. Yote aya uliyataka mwenyewe baada ya kuzuia siasa mpaka...
  4. Superbug

    Naanza kumpenda Magufuli. Kuna mambo hayasemwi kabisa kwa sababu maalum kumbe Magufuli ana haki kwa upande mwingine

    Kuna Mambo hayasemwi kwa uwazi kwasababu ya busara ambazo Ni sahihi tukumbuke Magufuli anaongoza watu milioni 60 na sio familia ya mke wa John Pombe Magufuli na mama jeska // Magufuli Ni rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yeye Kama binadamu Kuna Mambo atakosea ila kwa uongozi wa watu 60M...
  5. elivina shambuni

    Rais Magufuli alivyotimiza ahadi alizotoa bungeni

    Kampeni za urais mwaka 2015, na wakati wa ufunguzi wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Novemba 2015. Rais alihutubia Bunge kwa mujibu wa matakwa ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 91 ibara ndogo ya kwanza, inayomtaka Rais aliyechaguliwa kufungua rasmi Bunge hilo...
  6. beth

    Rais Magufuli aagiza Tsh. Bilioni 40 zitumike kulipa madeni ya Wakulima wa Korosho baada ya Serikali kununu Korosho hizo

    Rais Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kutoa Tsh. Bilioni 40 ili kumalizia madeni yote ya Wakulima wa Korosho yaliyobaki baada ya Serikali kununua korosho hao katika msimu wa mwaka 2018/19 Ametoa maagizo hayo leo alipokutana na viongozi wa Wizara, Mikoa, Wilaya na Taasisi za...
  7. Influenza

    Msanii Idris Sultan afika Kituo cha Polisi Central, ahojiwa aenda, kukaguliwa nyumbani kwake. Aachiwa kwa dhamana

    Msanii Idris Sultan amefika Kituo cha Kikuu cha Polisi (Central) muda wa saa 5 asubuhi kuitikia wito wa Mkuu wa Mkoa, Paul Makonda Anaendelea kushikiliwa kituoni kwa mahojiano, Inadaiwa anahojiwa kwa mujibu wa Sheria ya Makosa ya Mtandao, kifungu cha 15 na 16 UPDATE: Polisi wameelekea...
  8. Mzee Mwanakijiji

    Four Years Later: My Reflection on President Magufuli: A Double Measure of Boldness and Dare

    (PictureTanzanian President John Joseph Pombe Magufuli) A petty dictator? May be! A benevolent overlord? Probably! An unusual kind of an African leader? Undoubtedly! A leader that Tanzanians longed for and finally got? You betcha! Since his election four years ago, President John Magufuli has...
  9. britanicca

    Baada ya Magufuli kuona picha aliyo-edit Idriss afanya haya

    Baada ya kuambiwa alicheka sana alafu akatikisa kichwa, akasema mpelekee na Mama Janeth aangaliye. Mama Janeth kakaa nayo anacheka. Magufuli akasema hebu rudisha huku bwana, na ninyi wanawake mtafute wa kwenu wa kufanya sanaa kama hawa vijana wa kiume. Britannica
  10. J

    Kheri ya Kuzaliwa kwako Mheshimiwa Rais John Magufuli.

    Leo Oktoba 29 Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dr.John Pombe Magufuli amezaliwa. Mengi aliyoyafanya na anayozidi kuyafanya hakika anastahili Pongezi za kila namna. Wengi wanatamani kumapatia Zawadi lakini hawawezi ila zaidi ni kumtakia kila a kheri na kumuombea dua njema kwa Mungu ili aendelee...
  11. Boniphace Kichonge

    Heri ya siku ya kuzaliwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. John Pombe Magufuli

    Wadau, President Magufuli is now 60 years old. Happy birthday to our great leader Dr. John Pombe Magufuli. May you live long
  12. J

    Askofu Kakobe: Rais Magufuli ni mchapakazi, watu wa namna hii ni wachache sana, sisi tumepata neema

    Askofu Kakobe amesema anabarikiwa sana na kauli mbiu ya Hapa Kazi Tu na kwamba Rais Magufuli ni mchapa kazi kweli kweli. Kakobe amesema watu wenye hulka ya kufanya kazi kwa uzalendo uliotukuka aina ya Dr Magufuli ni wachache sana barani Afrika na sisi kama taifa hii ni neema. Askofu Kakobe...
  13. funaku

    Orodha ya waliojaribu kumkwamisha 'chuma' Magufuli na wakaangukia pua!

    1-Zitto 2-lissu 3-Mbowe 4-Msigwa 5-Lema 6-Membe 7-Nape 8-Kinana 9-Makamba Jr na Sr 10-Abdul nondo 11-Mdude Chadema 12-Shangazi 13-Maria Sarungi 14-Mwele Malecela 15-Kigogo 2014 akaamua azushe kabisa n.k Bila kumsahau Mange Kimambi yaani huyu ndio aliangukia pua na mdomo. Kama una ubavu jiunge...
  14. funaku

    Kuna Mkoa haujapata mafanikio ya Magufuli?

    Hili ni swali kwa wawakilishi wa wananchi na wananchi ili tuende sawa. 1. Kuna mkoa haujajengewa hospitali au kituo cha afya? 2. Kuna mkoa hauna mradi wa maji? 3. Kuna mkoa hauna mradi wa barabara? 4. Kuna mkoa hauna mradi wa umeme vijijini? 5. Kuna mkoa haujapata mradi wa ujenzi wa shule...
  15. elivina shambuni

    Waziri Mkuu amwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 18 wa NAM

    Waziri Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2019 anatarajiwa kumwakilisha Rais Dkt. John Pombe Magufuli katika Mkutano wa 18 wa Wakuu wa nchi na Serikali wa nchi zisizofungamana na upande wowote (NAM) kutoka Afrika na kwingineko duniani utakaofanyika Baku, Azerbaijan. Mkutano huo unalenga kujadili...
  16. elivina shambuni

    Usichokijua kuhusu ndege mpya iliyopokelewa leo na Rais Magufuli

    Rais Dkt. John Pombe Magufuli leo Oktoba 26 ameongoza Watanzania kupokea ndege ya pili aina ya Boeing 787-8 Dreamliner, katika Uwanja wa Ndege wa Mwl. Julius Nyerere, Dar es Salaam. Ndege hii mpya imesajiliwa kwa usajili namba 5H-TCJ na imepewa 'Brand Name' ya RUBONDO ISLAND, visiwa vilivyopo...
  17. B

    Waziri Mkuu amwakilisha Magufuli katika mkutano Baku, Azerbaijan

    October 26, 2019 Baku, Azerbaijan. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Oktoba 26, 2019 anatarajiwa kumwakilisha Rais Magufuli katika Mkutano wa 18 wa wakuu wa nchi na serikali wa nchi zisizofungamana na upande wowote (NAM) kutoka Afrika na kwingineko duniani utakaofanyika Baku, Azerbaijan. Umoja...
  18. J

    Mjapan: Kwa kasi hii ya maendeleo Rais Magufuli alistahili kuishi Japan maana anaamini katika kazi siyo siasa

    Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan. Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema. Mjapani ameniuliza kama...
  19. J

    Mjapan: Kwa kasi hii ya maendeleo Rais Magufuli alistahili kuishi Japan maana anaamini katika kazi siyo siasa

    Injinia mmoja wa kijapan pale Mwenge - Morocco project amemmwagia sifa Rais Magufuli na kusema huyu Dr Magufuli anaamini katika kazi kama wajapan. Tanzania na Afrika kwa ujumla mna bahati ya kupata kiongozi anayeamini katika kazi na siyo porojo za kisiasa, amesema. Mjapani ameniuliza kama...
  20. BASIASI

    Angalizo kwa haters mkiona faya inamwagia maji ndege haijaungua ile ni salute msije humu kukurupuka inawaka moto

    KUNA WATU WAKIONA KATUKIO KADOGO GHAFLA WAKO HUMU SASA VYEMA KUWAJULISHA WOTE NA HATERS WA NDEGE ZETU MKIONA FAYA INAMWAGIA NDEGE MAJI INAPOTUA SIO KAMA KUNA MOTO NI SALUTE KWA NDEGE YETU KUIKARIBISHA NCHINI NA ILE NI ALAMA KWAMBA UKO NYUMBANI, NYUMBANI KUMNOGA MSIKURUPUKE KUJA HUMU KAMA MKO...
Back
Top Bottom