kiswahili

  1. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Fahamu tafsiri ya neno Maintenance kwa lugha za kiafrika

    Maintenance. Actions performed to keep some machine or system functioning or in service. [wiktionary]. Tusichangananye maana na matengenezo Repair. To restore to good working order, fix, or improve damaged condition; to mend; to remedy. [wiktionary] Maintenance Kwa Kiswahili: ukarafati...
  2. Tukudzi

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kubadilisha lugha ya kompyuta iwe Kiswahili

    Ungependa kubadilisha lugha ya tarakilishi yako kutoka Kimombo hadi Kiswahili? Ungependa kutumia Microsoft Office kwa Kiswahili? Basi fuata maagizo haya. Kitu cha kwanza unachofaa kujua ni kuwa Windows hutumia faili aina ya LIP (language interface pack) kuwezesha lugha zisizo Kimombo kuonyeshwa...
  3. Mstahiki Mea

    JamiiForums Tanzania Serikali , bakita, tataki tuamke huu ni wakati wetu sasa

    SERIKALI, BAKITA, TATAKI TUAMKE SASA KUMEKUCHA Hujambo mpenzi ndugu msomaji wangu karibu katika makala Nyingine, yenye lengo lakutupa mzinduko. Lugha ya Kiswahili kwa kwa nchi za upwa Wa Afrika mashariki ni bidhaa ambayo kama itatumika vizuri inaweza kubadili kabisa maendeleo ya kiuchumi na...
  4. EastAfricanTube

    JamiiForums Tanzania Msanii wa Kichina Akiimba Kiswahili Kwenye Bongo Star Search

    Unaweza kusema hii ni moja ya faida ya utandawazi ambapo lugha, tamaduni hadi nyimbo za nchi moja huweza kuwafikia wengi katika mataifa mengine yenye tamaduni tofauti. Hali hii husababisha hata baadhi ya watu kuvutiwa na tamaduni au lugha hizo za kigeni na hatimaye kujifunza na hadi kuimba...
  5. Arnold mrass cannambo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiswahili: An African pride under siege

    OPINION By Mweha Msemo | Apr 13, 2018 Tanzania is a unique country in sub-Saharan Africa in having a single, widely used and accepted African national language that connects its entire population. Kiswahili - a language estimated to have at least 100 million speakers across the continent is...
  6. Erythrocyte

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya Lugha ya Kiswahili: Hatimaye Mwakyembe ala matapishi yake

    Miaka ya nyuma kidogo wakati wa Kugombea ubunge wa Africa Mashariki ndani ya bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Mh Mwakyembe alitoa hoja kwa Spika Anna Makinda kwamba wagombea watumie lugha ya kiingereza kuomba kura ili kupima uwezo wao wa lugha wasije wakaifedhehesha nchi kwenye...
  7. Hivi punde

    JamiiForums Tanzania Methali zipi za Kiswahili zimekusaidia kati ya hizi 610?

    1. Aanguaye huanguliwa. 2. Asiye sikia la mkuu, huvunjika guu. 3. Abebwaye hujikaza. 4. Adhabu ya kaburi aijuae maiti. 5. Adui aangukapo, mnyanyue. 6. Adui mpende. 7. Adui wa mtu ni mtu. 8. Afadhali ya Musa kuliko ya Firauna. 9. Ahadi ni deni. 10. Ajidhaniaye amesimama, aangalie asianguke. 11...
  8. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Umuhimu wa Kiarabu kuwa lugha Rasmi Tanzania

    Huku Taifa likipokea wawekezaji wengi kutoka nchi zinazozungumza lugha ya kiarabu duniani na pia kuwepo kwa fursa za ajira na biashara katika nchi zinazozungumza kiarabu (Morocco, Algeria, UAE, Saudi Arabia, Misri, Libyan n.k) Nafikiri ni busara sasa Lugha ya Kiarabu irasimishwe kwa kuingizwa...
  9. Amalinze

    JamiiForums Tanzania Wanamuziki wa Kimarekani walioweka mistari ya Kiswahili ndani ya nyimbo zao

    1. Mc Lyte, 1991 My mother put me in weusi shule which means black school in swahili MC Lyte kwenye ngoma ya krs 1 heal yourself. 2. Nas na Damian Marley, 2010 Nas and I can speak rap star Y'all feel me even if it's in Swahili habari gani? Damian Marley: Nzuri sana 3. Michael Jackson, 1987...
  10. figganigga

    JamiiForums Tanzania Tujifunze Kiingereza na Kiswahili hapa

    A - a -a prep. of. -a baridi adj. cold. abiria n. passenger. -abudu v. worship; adore. -a bure adj. free. -acha v. cease; allow; leave; let go; abandon. -achana v. leave each other. -achia v. leave to / for. ada n. fee. adabu n. good manners. adhabu n. punishment; penalty...
  11. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Kiswahili: Methali, Vitendawili, nahau, Misemo n.k

    Achari yalisha. The pickle is an appetizer. Pickles make the guest relish the food. (If you need something from someone request for it in a polite and pleasant manner.) Ada ya mja hunena, mwungwana ni kitendo. It is customary for a slave to talk, but a free man acts. (Mja is only used in this...
Back
Top Bottom