Abtali mwerevu
JF-Expert Member
- May 5, 2013
- 637
- 432
Natafuta walimu kwa ajili ya kuwafundisha wanafunzi masomo ya ziada katika kituo (Kinondoni Manyanya) au kwa kuwafuata nyumbani (maeneo mbalimbali Dar es salaam).
Vigezo kwa muombaji:
- Awe amesomea diploma, cheti, au degree ya ualimu kwa masomo yoyote. (Mwalimu Amudu vizuri lugha ya kiingereza, wanafunzi wengi ni English medium).
- Awe mkazi wa Dar es Salaam.
- Awe tayari kufanya kazi ya kufundisha kituoni au kuwafuata wanafunzi nyumbani.
Jinsi ya kuomba:
Tuma ujumbe kwa njia ya whatsapp namba 0653 25 05 66 unaoeleza mambo haya:
- Jina lako kamili
- kiwango chako cha elimu. (Degree, cheti n.k)
- Chuo ulichosoma na mwaka uliohitimu.
- Masomo unayofundisha.
- Sehemu ulipo hapa Dar es salaam. (Mfano: Kinondoni Manyanya).
Usifanye mambo haya:
- Usipige simu.
- Usitoe pesa ili upewe kazi hii.
Vigezo kwa muombaji:
- Awe amesomea diploma, cheti, au degree ya ualimu kwa masomo yoyote. (Mwalimu Amudu vizuri lugha ya kiingereza, wanafunzi wengi ni English medium).
- Awe mkazi wa Dar es Salaam.
- Awe tayari kufanya kazi ya kufundisha kituoni au kuwafuata wanafunzi nyumbani.
Jinsi ya kuomba:
Tuma ujumbe kwa njia ya whatsapp namba 0653 25 05 66 unaoeleza mambo haya:
- Jina lako kamili
- kiwango chako cha elimu. (Degree, cheti n.k)
- Chuo ulichosoma na mwaka uliohitimu.
- Masomo unayofundisha.
- Sehemu ulipo hapa Dar es salaam. (Mfano: Kinondoni Manyanya).
Usifanye mambo haya:
- Usipige simu.
- Usitoe pesa ili upewe kazi hii.