Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,315
- 8,214
Habari za leo wakuu,
Life limekua gumu kitaa natafuta kazi nina shahada ya sociology.
Sina uzoefu.
Nina miaka 24
Mshahara uanzie laki 8 net baada ya makato.
Natanguliza shukrani wakuu.
Life limekua gumu kitaa natafuta kazi nina shahada ya sociology.
Sina uzoefu.
Nina miaka 24
Mshahara uanzie laki 8 net baada ya makato.
Natanguliza shukrani wakuu.