Ndolezi
Senior Member
- Oct 15, 2019
- 134
- 98
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 26, elimu yangu ni shahada ya maendeleo vijijini kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo cha Sokoine.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi au Internship serikalini au kwenye mashirika binafsi, uzoefu wangu wa kazi ni kama ifuatavyo:-
Hizo ni baadhi ya kazi ninazo weza kuzifanya lakini pia ninaweza kufanya kazi nyingine nitakazopewa, kwa sasa ninapatikana Mbeya mjini Ila nipo tayari kusafiri mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Wenu katika ujenzi wa taifa.
Ndolezi.
Dhumuni la kuandika uzi huu ni kuomba nafasi ya kazi au Internship serikalini au kwenye mashirika binafsi, uzoefu wangu wa kazi ni kama ifuatavyo:-
- Ufuatiliaji na utathmini wa miradi.
- Kutoa elimu mbalimbali kama vile elimu ya afya ya uzazi, kilimo.
- Udodosaji na ukusanyaji wa taarifa hasa mijadala ya makundi (Focus Group Discussion).
- Utatuzi wa migogoro.
- Kazi za field hasa maeneo ya vijijini, hapa nina uzoefu na uwezo mzuri wa kusafiri umbali mrefu pamoja na kukabiliana na changamoto zote za vijijini na kuweza kukamilisha kazi kwa ufanisi mkubwa.
- Kuandika ripoti vizuri pamoja na kuiwasilisha.
- Matumizi ya computer pamoja na packages zake kama vile Ms word, Excell, SPSS, internet etc.
Hizo ni baadhi ya kazi ninazo weza kuzifanya lakini pia ninaweza kufanya kazi nyingine nitakazopewa, kwa sasa ninapatikana Mbeya mjini Ila nipo tayari kusafiri mkoa wowote ndani ya Tanzania.
Wenu katika ujenzi wa taifa.
Ndolezi.