Adhabu stahiki ya Luc Eymael ni kufukuzwa kazi?

kavulata

JF-Expert Member
Aug 2, 2012
12,313
12,613
Swala la kocha Eymail Lina harufu ya figisu na mizengwe kwani CV ya Eymail haioneshi kuwa sifa anazodaiwa kufukuzwa nazo kazi Yanga. Kama angekuwa mbaguzi Yanga na GSM wangeigundua kabla ya kumpa kibarua.

Mara nyingi mtu akutenda kosa lazima yaangaliwe mazingira yakiyosababisha kosa na dhamira ya kutenda kosa. Ukiangalia namna usajiri ulivyofanyika, wachezaji aliowakuta Eymail, bench la ufundi alilolikuta, marefa waliochezesha mechi za Yanga, TFF, mashabiki waliomzomea Eymail wakati anafanya mabadiliko ya mchezaji na matokeo aliyopata kwenye mechi ile na Lipuli na mahojiano na mwandishi baada ya mechi ile ngumu na muhimu kwake na Yanga kwa ujumla, utangundua kuwa matukio yote haya yanawezakumfanya mtu yeyote aropoke chochote kwa yeyote popote kwa hasira au kwa furaha.

Adhabu ya mtu Kama huyu ingekuwa kulipa faini kubwa na kalipio Kama wanavyofanya duniani kote.

Hakuna shaka kuwa adhabu Kama hii ina mkono wa mtu nyuma yake au viongozi wamefanya uwamuzi wakati hawajatulia, au Kulikuwa na kosa jingine la nyuma watu walisubiri wapate sababu tu ya kumtukuza.
 
Swala la kocha Eymail Lina harufu ya figisu na mizengwe kwani CV ya Eymail haioneshi kuwa sifa anazodaiwa kufukuzwa nazo kazi Yanga. Kama angekuwa mbaguzi Yanga na GSM wangeigundua kabla ya kumpa kibarua.

Mara nyingi mtu akutenda kosa lazima yaangaliwe mazingira yakiyosababisha kosa na dhamira ya kutenda kosa. Ukiangalia namna usajiri ulivyofanyika, wachezaji aliowakuta Eymail, bench la ufundi alilolikuta, marefa waliochezesha mechi za Yanga, TFF, mashabiki waliomzomea Eymail wakati anafanya mabadiliko ya mchezaji na matokeo aliyopata kwenye mechi ile na Lipuli na mahojiano na mwandishi baada ya mechi ile ngumu na muhimu kwake na Yanga kwa ujumla, utangundua kuwa matukio yote haya yanawezakumfanya mtu yeyote aropoke chochote kwa yeyote popote kwa hasira au kwa furaha.

Adhabu ya mtu Kama huyu ingekuwa kulipa faini kubwa na kalipio Kama wanavyofanya duniani kote.

Hakuna shaka kuwa adhabu Kama hii ina mkono wa mtu nyuma yake au viongozi wamefanya uwamuzi wakati hawajatulia, au Kulikuwa na kosa jingine la nyuma watu walisubiri wapate sababu tu ya kumtukuza.
Naunga mkono hoja yako,kwan alichosema luc ni kweli tupu,hajafhalilisha waafrika kama wanavyomsingizia.
 
Swala la kocha Eymail Lina harufu ya figisu na mizengwe kwani CV ya Eymail haioneshi kuwa sifa anazodaiwa kufukuzwa nazo kazi Yanga. Kama angekuwa mbaguzi Yanga na GSM wangeigundua kabla ya kumpa kibarua.

Mara nyingi mtu akutenda kosa lazima yaangaliwe mazingira yakiyosababisha kosa na dhamira ya kutenda kosa. Ukiangalia namna usajiri ulivyofanyika, wachezaji aliowakuta Eymail, bench la ufundi alilolikuta, marefa waliochezesha mechi za Yanga, TFF, mashabiki waliomzomea Eymail wakati anafanya mabadiliko ya mchezaji na matokeo aliyopata kwenye mechi ile na Lipuli na mahojiano na mwandishi baada ya mechi ile ngumu na muhimu kwake na Yanga kwa ujumla, utangundua kuwa matukio yote haya yanawezakumfanya mtu yeyote aropoke chochote kwa yeyote popote kwa hasira au kwa furaha.

Adhabu ya mtu Kama huyu ingekuwa kulipa faini kubwa na kalipio Kama wanavyofanya duniani kote.

Hakuna shaka kuwa adhabu Kama hii ina mkono wa mtu nyuma yake au viongozi wamefanya uwamuzi wakati hawajatulia, au Kulikuwa na kosa jingine la nyuma watu walisubiri wapate sababu tu ya kumtukuza.

Usiumize kichwa. Huyu alishafukuzwa toka wapigwe zile 4. Walikuwa wanamtafutia tu sababu.
 
Hata DSTV.....hakuwekewa!! Hata gari ya usafiri hakupewa.....! Hivi Yanga na nyie mko serious kweli? Mnataka kushindana na Simba mtaweza?

Yaani kwa kocha mwenyewe kukubali kuishi bila gari na dstv inatosha kuonyesha kabisa kuwa yeye mwenyewe nganga njaa tuu. Kocha anae ijua taaluma yake na ni mzuri hawezi kukubali huo upuuzi.

Mnakubaliana na termss zangu au mie nasepa zangu maana anajua offer zipo nyingi
 
Luc aliongea mengi ya kweli, ila alikosea kumtaja nyani, huyu mnyama kwenye soka amebeba alama ya ubaguzi kote katika ulimwengu wa soka. Hata hivyo, nimeshangaa kuona sehemu ya tamko lililotolewa na uongozi wa Yanga likisema kwamba "... na kuhakikisha anaondoka nchini haraka iwezekanavyo". Mimi naichukulia kauli hii kama njia ya viongozi wa Yanga kukwepa malipo fulani wanayotakiwa wampe Luc
 
Usiumize kichwa. Huyu alishafukuzwa toka wapigwe zile 4. Walikuwa wanamtafutia tu sababu.
Wangemsubiri aboronge kwa wachezaji alioshiriki kuwasajiri yeye, Sasa hivi wanamuonea tyuu. Wachezaji wale Ni wa Zahera na Mkwasa hivyo sishangai akifungwa 4
 
Luc aliongea mengi ya kweli, ila alikosea kumtaja nyani, huyu mnyama kwenye soka amebeba alama ya ubaguzi kote katika ulimwengu wa soka. Hata hivyo, nimeshangaa kuona sehemu ya tamko lililotolewa na uongozi wa Yanga likisema kwamba "... na kuhakikisha anaondoka nchini haraka iwezekanavyo". Mimi naichukulia kauli hii kama njia ya viongozi wa Yanga kukwepa malipo fulani wanayotakiwa wampe Luc
Dr. Msolla hakuonyesha weledi katika hili. Kuna haki ya mtu kusikilizwa kabla ya kuambiwa kuondoka Mara moja. Kwani kosa alilofanya kocha sio la kuondoka Mara moja nchini. Ni kosa la FiFA linaamuliwa kififa vilevile. Kwani wale waliomzomea wamechukuliwa hatua gani? Au walitumwa na Yanga?
 
Hata DSTV.....hakuwekewa!! Hata gari ya usafiri hakupewa.....! Hivi Yanga na nyie mko serious kweli? Mnataka kushindana na Simba mtaweza?

Kuwa siriasi hivyo ni Vitu ambavyo unaweza kujinunulia mwenyewe sio Muajiri wako akununulie labda ukute viko kwenye Mkataba!
 
Kwani sheria zetu zinasermaje kuhusu kosa alilofanya mzee Luc? Zinaelekeza aondoke Mara moja?
 
Back
Top Bottom