Meneja Wa Makampuni
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 6,318
- 8,228
Habari za leo wakuu,
Leo nilikua nawaza jinsi kazi ya kusoma ilivyo ngumu.
Nikikumbuka vijana wenzangu ambao nilisha waacha nyuma mara baada ya wao kushindwa kuelewa kinacho endelea darasani, ndipo nagundua jinsi kazi ya kusoma ilivyo ngumu.
Just imagine mkuu unaanza chekechea unasoma mpaka unafika chuo kikuu sio kazi ndogo kabisa hii.
Hii kazi ya kusoma hata wanajeshi iliwashinda, wakaona ni bora watumie miguvu yao tu.
Watu wengine wamo humu Jamiiforums, kazi ya kusoma iliwashinda. Utakuta mtu anarudiaga mitahani tu mara kumi bado haperform tu.
Nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja shule ya msingi ni alikaririshwa madarasa mara 10, la kumi na moja ndio akaperform. Hii kazi sio mchezo bwana.
Yaani kuna jamaa yangu mmoja naye, elimu ya O-level kasoma mara nane ndipo akaperform. Daa ni hatari.
Wewe unayesema kusoma sio kazi ngumu ya nini kukesha kama bundi.
Utakuta mwingine anasinzia darasani au mezani akiwa anasoma.
Vimitihani vya utumishi tu vinakufanya kuwa bundi.
Karibuni kwa maoni sasa.
Leo nilikua nawaza jinsi kazi ya kusoma ilivyo ngumu.
Nikikumbuka vijana wenzangu ambao nilisha waacha nyuma mara baada ya wao kushindwa kuelewa kinacho endelea darasani, ndipo nagundua jinsi kazi ya kusoma ilivyo ngumu.
Just imagine mkuu unaanza chekechea unasoma mpaka unafika chuo kikuu sio kazi ndogo kabisa hii.
Hii kazi ya kusoma hata wanajeshi iliwashinda, wakaona ni bora watumie miguvu yao tu.
Watu wengine wamo humu Jamiiforums, kazi ya kusoma iliwashinda. Utakuta mtu anarudiaga mitahani tu mara kumi bado haperform tu.
Nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja shule ya msingi ni alikaririshwa madarasa mara 10, la kumi na moja ndio akaperform. Hii kazi sio mchezo bwana.
Yaani kuna jamaa yangu mmoja naye, elimu ya O-level kasoma mara nane ndipo akaperform. Daa ni hatari.
Wewe unayesema kusoma sio kazi ngumu ya nini kukesha kama bundi.
Utakuta mwingine anasinzia darasani au mezani akiwa anasoma.
Vimitihani vya utumishi tu vinakufanya kuwa bundi.
Karibuni kwa maoni sasa.