Wadau mimi nina tatizo moja. Tupo kwenye group la ukoo lina mambo mengi na watu wengi. Sometimes nakuwa busy sitaki kujihusisha na mambo yake. So huwa kama vipi nasoma tu text kama ni muhimu najibu kama si muhimu nataka niwe busy.
Sasa tatizo ni ile hali ya mtu aliyetuma text yeye kujua kuwa...
Za muda huu wakuu
Nilishapitia threads mbalimbali humu Jf hususani katika ishu za watu walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la kutosikia (hearing loss) but nami ni muhanga wa hilo nimepambana sana kutumia madawa kama ushauri wa daktari nilitumia kama miezi nane dawa aina za neurosupport katika...
Kitu pekee tunachojifunza kwenye historia ni kwamba hakuna tunachojifunza kwenye historia, hiyo ni kauli aliyowahi kuitoa Mwanafalsafa Hegel.
Ni kauli nzito na inayopaswa kutufundisha mengi, lakini kama Hegel alivyoeleza, haitufundishi chochote.
Iko hivi rafiki, hakuna kitu kipya kinachotokea...
Habari wandugu,
Naomba kuuliza kwa waelewa wa mambo jinsi ya kuondoa activation lock (Icloud unlock) kwa apple devices i.e iphone, ipod, ipad, apple watch etc.
Pia isiwe bypass/jailbreak. Yaani baada ya kuondoa iweze kupokea latest ios update na pia waweza reset.
Naomba kuwasilisha
MASWALI YALIYOULIZWA NA WADAU KUHUSU MADA HII
Habari ndugu zangi ,
Kama kichwa kinavyouliza hapo , ningependa kujua ni kwa namna gani kupata subscribers wengi na viewers wengi kwenye you tube , kunaweza kukunufaisha mmiliki...
Tafadhali kama kuna mwenye majibu , ushuhuda, uzoefu au elimu yoyote...
1. Screenshot then zoom.
2. Mimi na wewe tufanye mpango itengenezwe App maalumu ambayo itakufanya u view status ya mtu Bila mhusika kujua kama umeview.
We will make a millions and millions.
Asilimia kubwa ya status huwa ni madongo.
Kwa mujibu wa wataalamu hakuna kitu kinauma kama mtu...
1. Kama wewe umesomea Bachelor of Engineering (B.Eng) kwa mfano umesomea Bachelor of Engineering in Mechanical Engineering/Electrical Engineering kama nafasi imetangazwa na imetaja inahitaji mtu mwenye Bachelor of Science in respective coarse my dear uki apply inagoma, and vice versa.
2. Mfumo...
Habari wadau,
Mimi mwanayanga. Ila namkubali mo kwa uwekezaji wa Simba.
Natazama sana mashindano ya CAF Champions League kila msimu. Mimi ni die hard African football fan boy. Natazama CAF Champions League kuliko UEFA.
Mashindano ya CAF ni magumu sana na yana tofaut sana na UEFA, maana ni...
Habari Wakuu.
Leo nataka tuangalie mambo machache ambayo kila mwenye gari anaweza kuyafanya mwenyewe(DIY) ili kuhakikisha gari yake inatumia mafuta vizuri na hivyo kumpunguzia gharama.
Yafuatayo ni mambo ambayo kama ukiyafuata gari yako itatumia mafuta vizuri lakini pia italifanya gari lako...
Habari wana JamiiForms A.K.A Great thinkers nawakubali hatar kuna watu humu wana nondo si za nchi hii sasa leo nimeleta mzigo tu discuss kwa kina ili kila mtu apate swaga za kuchomekea pale anapokutana na mwanamke asiyemfahamu for first time achilia mbali zile habari za kula tunda kimasihara...
HOW TO SURVIVE IN A LONG-DISTANCE RELATIONSHIP/MARRIAGE
The word survive is used because everyone's desire is to live within reach of their partner. But sometimes life gives you a good partner yet circumstance separates you physically. How do you cope?
1. TRUST EACH OTHER
Trust is the reason...
Kwa maneno yao, wameonewa kiasi cha kutosha, wamefungwa kiasi cha kutosha, wamepigwa risasi kiasi cha kutosha.
Wako tayari kuingia barabarani watakapo dhurumiwa kura.
Sasa basi. Imetosha.
HOW TO HELP YOUR HUSBAND
The wife was created as a helper and companion. How do you help?
1. Find out his vision so that you may be his support.
2. Communicate to him your own personal vision so that together you fulfil purpose.
3. Challenge him to grow. Don't be comfortable with your...
PSSSF Member Portal nimejaribu kutumia link hiyoo kujaribu kujisajili ili niweze kujuaa taarifa zangu, sijafanikiwa.
Msaada kwa anayejuaa jinsi ya kujisajili
Mimi nimeshiriki interview nyingi na najua maswali ya mitego watia nia wakiwa wengi hata wajae uwanja wa taifa wakigombea nafasi moja.
Kuisaidia CCM kuchuja hao maelfu walioomba ni kazi ndogo tu na rahisi
Swali moja tu la kwanza la kuwachujia ni kuuliza matawi waliko wanapoishi wameyasaidiaje...
Habari humu jamvin!
Nina PC yangu Lenovo window 10 nikitaka kuweka program yeyote inakataa...inahitaji trusted programs
Nitafanyaje na ninahitaji kuistall MS Office.
Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumiaji wa mtandao wa twitter toka mwaka 2015 lakini mpaka sasa nimefanikiwa kuwa na followers 500+.
Kwa mujibu wa wadau, followers wa twitter ni hela kuna namna mbalimbali ya kuingiza pesa kwa kutumia mtandao wa twitter lakini...
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi
MAHITAJI
Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli moja la kiasi
Tui zito kikombe 1
Tui jepesi kikombe 1&1/2
Sukari kikombe 1
Iliki kiasi...
Habari wanaJF,
Hali ya uchumi imekuwa ngumu kwa watanzania wengi. Naamini ili kupata maendeleo njia mojawapo n kujenga tabia ya kuweka akiba.
Hivyo nakaribisha mawazo tuweze kupata elimu/njia mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia tufundisha namna ya kuweka akiba kwa matumizi ya baadae.
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari.
Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.