Habari wadau,
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi ni mtumiaji wa mtandao wa twitter toka mwaka 2015 lakini mpaka sasa nimefanikiwa kuwa na followers 500+.
Kwa mujibu wa wadau, followers wa twitter ni hela kuna namna mbalimbali ya kuingiza pesa kwa kutumia mtandao wa twitter lakini...
Leo hii tujifunze jinsi ya kupika tambi za mapapayu,usishangae ni katika ubunifu wa mapishi
MAHITAJI
Tambi za mapapayu (papayu lilokatwa maganda na kukatwa kwa urefu kama tambi) kiasi bakuli moja la kiasi
Tui zito kikombe 1
Tui jepesi kikombe 1&1/2
Sukari kikombe 1
Iliki kiasi...
Habari wanaJF,
Hali ya uchumi imekuwa ngumu kwa watanzania wengi. Naamini ili kupata maendeleo njia mojawapo n kujenga tabia ya kuweka akiba.
Hivyo nakaribisha mawazo tuweze kupata elimu/njia mbalimbali ambazo zinaweza kusaidia tufundisha namna ya kuweka akiba kwa matumizi ya baadae.
Kuna aina mbili za wanadamu, wanaochepuka na wasiochepuka. Sio lengo la andiko hili kuelezea kwanini wanachepuka. Humu nimeelezea tu mbinu za kuendesha maisha ya kuchepuka kwa tahadhari.
Kitabu hiki ni kwa ajili yako wewe ambaye umeshajijua kuwa upo kwenye kundi la wanaochepuka, na tayari...
Leo 1 of july 2020 Tanzania imeingia rasmi katika orodha ya Nchi zilizo katika uchumi wa kati "middle income economies "
Tanzania imeweka rekodi hii haraka kuliko ilivyotarajiwa hapo awali
Benki ya Dunia na taasisi nyingine duniani zimeendelea kumwaga sifa za pongezi kwa Rais Magufuli kwa...
Naomba niwasilishe kutaka kuelezwa zaidi juu ya kilimo cha Korosho kwa Mkoa wa Pwani. Naomba mwenye kuelewa atufahamishe mimi na wengine gharama toka awali za kupanda mikorosho katika shamba la ekari 20. Gharama na takwimu hadi kuvuna na kiasi cha mavuno kwa mwaka.
Natanguliza shukrani zangu...
Wakuu wasalaam.
Kama mada ilivo, naomba waendesha pikipiki za abiria tukutane hapa, tupeane uzoefu, tufahamu jinsi ya kupata wateja, tuzijue changamoto za hii biashara na jinsi ya kuzitatua, n.k.
Binafsi mm ni mwajiriwa sekta binafsi, nimeamua kununua pikipiki ili nikiwa nipo off niweze...
Habari wana jukwaa,
Nikiwa Kama senior member humu, ninaleta mbinu za kuhama shule au chuo ulichochaguliwa
Baada ya Tamisemi Ku allocate Majina ya vijana waliomaliza form 4 mwaka Jana 2019 vijana na wazazi wengi wamekuwa wakilalamika Sana kuhusu uchaguzi huo!
Gvt kupitia Kwa Bwa. Jafo...
Habari wakuu,
Naomba msaada kujua jinsi ninavyoweza kupata file lenye orodha ya cache zote za browser ya chrome tangu nilipoanza kutumia hii browser.
Nimejaribu about//:cache lakini inaonekana function hii iliondolewa.
Kuna njia nyingine au third-party software ya bure? Na pili je kama...
Matumaini wazima wa afya,
Twende moja kwa moja mimi shida yangu ni kutaka kujua au kupewa maujuzi kwamba naweza kuona huko habari chanzo chochote cha habari!?
Lakini wenyewe nao wana links yao ili uingie usome habari kwa usahihi kamili! Sasa lengo langu ni kwamba nawezaje kuchukua ile links...
Kudownload vitu kuna faida nyingi hasa katika nchi kama yetu
1. Endapo unakaa sehemu ambayo haina network nzuri ni vigumu kustream series za netflix maana itakua inaganda ganda kwasababu ya network.
2. Kustream series kwa vifurushi ni gharama kwa watu wa vipato vya chini, Hivyo wengi wanaweza...
Habari Wana JF,
Siyo Kila anayehitaji Android App Kama ya News, Chating,Live Tv ana Haja ya yeye Kujua Programing au Coding.
Inabidi Totofautishe Kati ya Kazi na Mahitaji, Programing au Coding ni Kazi
Kama Kazi Zingine ila Kuwa na Shauku ya Kuwa na App Yako ni Mahitaji Kama Yalivyo Mahitaji...
So leo nilikuwa namfanyia interview Shangingi mmoja kuhusu maisha yake, kabla na baada ya kuitwa Shangingi Ila sasa ameolewa na ana ndoa ya Miaka 10 na watoto 3.
Interview nitarusha baadae kwenye YouTube Channel Yangu 😇
Katika ongea ongea, host mwenzangu akamwuliza swali zuri Tu;
" Inakuwaje...
Wakuu na wataalamu naombeni msaada wa namna ya kuweka Password au pass code kwenye specific folders Ya Computer
Ili niwe na private access na some of the folders kwangu tu.
Habarini wanajukwaa, Mimi ni blogger na nahitaji Msaada wenu mablogers wenzang wenye ujuz zaidi na Google search console. Ninapokea ujumbe unaosema URL is on Google, but has issues Kila ninapofanya URL inspection. Na toka tatzo hili lianze traffic ya blog yangu imeshuka kwa Zaid ya asilimia 50%...
Kama kichwa cha post kinavyosema, nataka ujue ni jinsi gani ya kuweza kuflash simu yako ya Android kwa kutumia Proglam mbalimbali kulingana na tatizo binafsi.
Hapa kwanza nitaelezea simu mbalimbali kulingana na aina ya chipset zake
= => Tecno
= => Infinix
= => Gionee
= => Innjoo
= => Itel...
Habari wanna JF.
Wanaume siku zote ni watu wanaozungukwa na msongo wa mawazo katika mihangaiko ya kimaisha ha hapa na pale......
Baadhi ya vitu vinavotuletea msongo wa mawazo ni Kama;
1.kuachwa na mwanamke umpendae
2.kumpenda mtu asiekupenda
3.kuwa na madeni lukuki
4.kukata tamaa/kufeli Jambo...
Wasalaam
Kuna kamjomba kangu kalipata ujauzito kakiwa Semester ya Kwanza Degree ya kwanza, sasa hivi mtoto anaelekea miezi 6.
Je, anawezaje akaendelea na masomo huku analea? Au mtoto apelekwe kwa Bibi?
Habari wapendwa.
Karibuni tujifunze jinsi ya kutunza nywele zetu.
Mimi napenda sana nywele ndefu.kwa kushirikiana pamoja tunaweza kujuzana ni mafuta gani unapaka ,na stiming gani unatumia ili na wengine wajifunze
Kwa mimi nywele zangu zina miezi mitatu tangu nianze kusuka, kwa sasa nabana na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.