jinsi ya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Alex Gk

    Msaada: Laptop Screen Record

    Wana JF, natanguliza shukrani za dhati kwenu. Pia, tuzidi kumuomba Mungu kwa kipindi hiki kizito tunachopitia #Covid19 MADA Kama ilivyo ainishwa hapo juu, nina tatizo la kufanya screen recording katika PC yangu. Nimejaribu kutumia software ya CAMTASIA 2018; shida ni kwamba PC inakuwa nzito ku...
  2. jlupembeTz

    Naomba msaada jinsi ya KUROOT TECNO LC6

    Nahitaji KUROOT TECNO LC6 Naombe
  3. rodian

    Jinsi ya kutengeneza sanitaizer ukiwa nyumbani!

    Habari wakuu, naomba niwape elimu kidogo juu ya utengenezaji wa Saniteizer ukiwa nyumbani kwako.Maana naona tayari wameshafanya dili kwenye maduka ya dawa. Aina ya kwanza *Mahitaji* 🔸Vineger chupa nzima 🔸alcohol yenye 90-80 unaweka mls 100 na kuendelea 🔸glycerin hii tunayochanga na mafuta ya...
  4. Trubarg

    Jinsi ya kujilinda na Corona virus kwenye mwendokasi

    Kutokana na Hali ilivyokuwa tete. Ni vyema tukapeana tips jinsi ya kujilinda na hili janga hasa kwenye mwendokasi na public transport zingine ambazo Zina msongamano mkubwa wa watu ikiwemo vivuko.
  5. Makirita Amani

    Hivi ndivyo teknolojia mpya zinavyoua biashara kubwa na jinsi ya kuzuia biashara yako isife kwa mabadiliko ya teknolojia

    Maendeleo ya teknolojia yanatokea kwa kasi kubwa sana. Lakini kasi hii ya maendeleo na ukuaji wa teknolojia, pamoja na kuwa na manufaa kwa watumiaji wake wa mwisho, yamekuwa na maumivu makubwa kwa makampuni makubwa yaliyo kwenye sekta ambayo teknolojia mpya inaingia. Kuna mifano mingi sana...
  6. Masokotz

    Jinsi ya kumsaidia mwanao kujifunza Cognitive Skills

    Cognitive skills na mbinu/uwezo wa kutazama jambo/kupokea taarifa, kuitafakari, kufanya maamuzi kuhifadhi kwenye kumbukumbu na kuielewa. Ni kitu ambacho mtoto anapaswa kujifunza tangu akiwa na umri dogo na kuendelea nalo hadi anapokuwa mtu mzima. Kadiri uwezo wako wa kujifunza,kuelewa,kufikiri...
  7. ubongokid

    Jinsi ya Kwenda jana na Kesho-Moving accross time boundaries

    Leo nataka kuleta mjadala mdogo; Huu ni mjadala unahusiana na uwezo wa mwanadamu kuvuka time borders.Tunajua kwamba in reality sote tumeungwa katika wakati uliopo. We have no control of the past or the future except through imagination.Katika kufikiria kwa kina unaweza ukaona kwamba pamoja na...
  8. Bulamba

    Naomba kujua jinsi ya kufanya activation ya Windows 10

    Habari wakuu, Natumia windows 10.Katika siku za usoni nimekuwa naletewa message kuwa windows 10 yangu imekaribia ku-expire na hivyo inabidi nifanye activation.Sasa sina product key.Je kuna namna ya kufanya activation automatically bila ya kuwa na product key? Asante
  9. Bushmamy

    Naomba ushauri jinsi ya kupata volunteer Pomoja na wafadhili wa kujenga shule

    Wakuu, nipeni uzoefu katika hilo tafadhali. Mimi na rafiki yangu tumepanga nyumba ndogo ambayo tunatumia kama madarasa pamoja na ofisi humo humo, sasa tupo katika mchakato wa kujipanua shule bado ni changa sana na imeanza mwaka huu. Tunatakiwa kujenga vyumba vya madarasa pamoja na ofisi za...
  10. Makirita Amani

    Hiki ndiyo kitu kimoja kinachokutofautisha na Viumbe wengine na jinsi ya kukitumia kwa manufaa yako

    Ndege wana mabawa kwa ajili ya kuruka hewani, Samaki wana mapezi kwa ajili ya kuelea majini, Simba wana meno makali kwa ajili ya kurarua nyama, Chui wana mwendo mkali kwa ajili ya kukamata mnyama yeyote, Twiga wana shingo ndefu kwa ajili ya kula majani yaliyo juu, Miti iliyopo jangwani ima...
  11. J

    Root simu ya android yoyote ukitumia magisk

    MAANA YA ku-ROOT ku-ROOT maana yake ni kuweza kupata uwezo au access ya system files zilizopo kwenye simu yako ambazo kwa kawaida zinakuwa zimejificha au kuzuiwa kwa mtumiaji ili asiweze kuzifikia , kwa kiingereza naweza kusema its an ability to obtain administrative access or rights on the...
  12. tzhosts

    Jipatie Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system and Accounting system kuanzia TZS 49,900

    Je, wewe ni mmiliki wa shule, Kampuni binafsi au NGO, Je, unahitaji kujipatia huduma mojawapo kati ya hizi au zote kwa pamoja? Websites, Android Apps, Domain Names, ERP system Accounting system CRM system SEO services Online Promotion Je, budget yako ni kati ya TZS 49900 na kuendelea? Kama...
  13. YEHODAYA

    Jinsi ya Serikali kuondoa lawama na kutuhumiana kuwa wawekezaji toka nje wanatuibia

    Mara nyingi kumekuwa na msemo kuwa wawekezaji wa nje wezi wanatuibia waafrika .Hatufaidiki na uwepo wao au tunafaidika kidogo wao ndio wanapata Sana kwenye mikataba ya madini,mafuta ,gesi nk Tatizo kwenye hili ufumbuzi tunao sisi wenyewe waafrika.Nitatoa mfano makampuni yanayochimba...
  14. gm man

    Jinsi ya ku-bypass Nokia 1

    Wakuu, naomba msaada ni njia gani naweza ku by pass hii simu inaitwa Nokia 1. Nimepitia baadhi ya thread lakini naona bado hivyo naomba mwenye uelewa anisaidie ili niweze kutatua tatizo.
  15. YEHODAYA

    Fahamu namna ya kujua kirahisi sehemu yenye mzungunguko wa pesa Tanzania

    Ukitaka kujua wapi Kuna mzunguko mkubwa wa pesa angalia wafanyabiashara wafuatao Kama wapo wengi 1.Wahindi 2.Wachaga 3.Wapemba 4.Waarabu 5.Wakinga Pia Ukiona eneo Lina Baa nyingi mzunguko wa pesa eneo Hilo Ni mkubwa Pia Ukiona eneo Lina makanisa au misikiti yenye majengo mengi makubwa na watu...
  16. UPOPO

    Jinsi ya mzazi kumchukulia cheti cha sekondari mtoto wake aliye nje ya nchi

    Jamani naomba kupata maelekezo kuna uwezekano kwa mzazi kumchukulia mtoto wako cheti chake cha form four au six kama yeye mwenyewe hayupo nchini na nina documents zote zinazoonyesha hayupo. Cheti original kinahitajika chuoni alipo. Je, kuna uwezekano wa mzazi kukichukuwa? Na je, utaratibu...
  17. Babu Kijiwe

    Nisaidieni jinsi ya kufunga kampuni

    Mambo zenu, Nataka kufunga kampuni baada ya kutoridhishwa na mwenendo wa biashara, anayejua process anipe fasta. Haina deni na documents zote ziko okay. Naanzia wapi na naishia wapi? Karibuni
  18. kidadari

    Jinsi ya kuagiza bidhaa Ali Express

    Nimeona simu nzuri AliExpress za Xiaomi wanauza nimevutiwa kuzinunua maana bei ni rhisi kiasi naomba mwenye uelewa wa jinsi ya kuzinunua na kuzipata nikiwa Tanzania. Je vipi ubora wake? Je zinafika salama au unaweza kubadilishiwa na kuwekewa mzigo feki?
  19. ABiClever Junior

    JINSI YA KUSOMA HADITHI KWA HARAKA

    Kwa hadithi nzuri na za kuelimisha tembelea CLEVER WEB TZ au DOWNLOAD APP Cleverwebtz
  20. The only

    Jinsi ya kuvunja urafiki bila UADUI

    Kwenye maisha unapata marafiki mbalimbali wanaokupa experience nyingine, mashauri, upendo na hata msaada kiuchumi. Marafiki huwa ni zawadi toka kwa muumba ndo maana huwezi pata rafiki kwa kumnunulia bia lazima muwe na natural meet of mind. Lakini jambo moja hatulijui, ni Je marafiki huja...
Back
Top Bottom