Salaam kwenu!
Ulishawahi kukaa muda gani (siku ngapi) bila kulala? Kwa nini.
Binafsi sitosahau tulikuwa tunahama na mifugo, ndo mara ya kwanza kuingia kwenye misafara hyo (baada ya kumaliza shule).
Siku ya kwanza tulitoka Ifakara mida ya saa mbili usiku hadi kesho yake jioni tukafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.