Biashara yangu changa. Naomba kuelekezwa jinsi ya kuwapata, kuwatumia na kuwalipa vijana wa kusambaza bidhaa

Tripo9

JF-Expert Member
Sep 9, 2009
4,352
3,533
Habari wakuu.

Naombeni uzoefu kwa wale wenye experience hasa wajasiriamali wadogo wadogo Biashara ni ya kusaga na kupack na kuuza viungo vya vyakula. Ndio inaanza anza lakini nafikiria nipate vijana wanisambazie kwa kuanzia Dar es salaam na maeneo yake.

Wazoefu nijibuni baadhi ya dukuduku hizi
1) Utamuaminije kijana humjui kumpa mzigo nenda katembeze, Je akikimbia nao. Wale wenye vibiashara vyao nambieni hii mnaitatuaje.
2) Sasa jamani biashara ndogo so hata mtaji sio kivile lakini lengo nikuwafikia customers wengi zaidi sasa hawa vijana utawalipaje/shs ngapi aisee. Faida yote si itaenda huko na hata hasara juu??
3)Haya tuseme mtanijibu number 2) japo juu nikaridhika, Je unawalipa kutokana na wanavyouza au unawalipa fixed kila siku/mwezi? Sasa wajameni unakuta bidhaa yenyewe dazeni moja ikiisha faida labda 5,000/= Wajasiria mali hem niambieni how do you guys toboa haya maisha kwa kupanua biashara ???
Tuongee ukweli mwanawane, huwezi wewe kama wewe ukasaga, ukapack, ukasambaza eneo kubwa peke yako. Mmmmh! You need a helping hand. Hapo sasa.

Naombeni mtiririke
 
Habari wakuu.
Naombeni uzoefu kwa wale wenye experience hasa Wajasiria mali wadogo wadogo
Biashara ni ya kusaga na ku pack na kuuza viungo vya vyakula.
Ndio inaanza anza lkn nafikiria nipate vijana wani sambazie kwa kuanzia Dar es salaam na maeneo yake.

Wazoefu nijibuni baadhi ya dukuduku hizi
1) Utamuaminije kijana humjui kumpa mzigo nenda katembeze je akikimbia nao. Wale wenye vibiashara vyao nambieni hii mnaitatuaje.
2)Sasa jamani biashara ndogo so hata mtaji sio kivile lakini lengo nikuwafikia customers wengi zaidi sasa hawa vijana utawalipaje/shs ngapi aisee. Faida yote si itaenda huko na hata hasara juu??
3)Haya tuseme mtanijibu number 2) japo juu nikaridhika je unawalipa kutokana na wanavouzaaa au unawalipa fixed kila siku/mwezi? Sasa wajameni unakuta bidhaa yenyewe dazeni moja ikiisha faida labda 5,000/= Wajasiria mali hem niambieni how do you guys toboa haya maisha kwa kupanua biashara ???
Tuongee ukweli mwanawane, huwezi wewe kama wewe ukasaga, uka pack, ukasambaza eneo kubwa peke yako. Mmmmh! You need a helping hand. Hapooo sasa.

Naombeni mtiririke
Mambo serious kama hayo tumia lugha serious upate michango serious..

1. Utaajirije mtu ambaye humfahamu KABISA?, Hata kama ulikua humfahamu kabla, ila inapofika hatua unataka kumwajiri lazima Ujaribu kufahamu angalau kidogo kuhusu yeye, mfano makazi, ndugu, background japo ya hivi karibuni n.k
Unaweza ukahitaji dhamana/wazamini wake kwako kama wazazi/ndugu, Kitambulisho/cheti n.k incase kukatokea lolote.

2. Kwanza hakikisha ni kijana mwenye uhitaji hasa hasa, halafu mweleze uhalisia wa biashara, na vizuri yeye mwenyewe anaona, Nashauri mlipe kwa asilimia kutokana na anachoingiza..
Mweleze Kadiri atakavyouza ndio na yeye atajilipa vizuri automatically.
 
Mambo serious kama hayo tumia lugha serious upate michango serious..

1. Utaajirije mtu ambaye humfahamu KABISA?, Hata kama ulikua humfahamu kabla, ila inapofika hatua unataka kumwajiri lazima Ujaribu kufahamu angalau kidogo kuhusu yeye, mfano makazi, ndugu, background japo ya hivi karibuni n.k
Unaweza ukahitaji dhamana/wazamini wake kwako kama wazazi/ndugu, Kitambulisho/cheti n.k incase kukatokea lolote.

2. Kwanza hakikisha ni kijana mwenye uhitaji hasa hasa, halafu mweleze uhalisia wa biashara, na vizuri yeye mwenyewe anaona, Nashauri mlipe kwa asilimia kutokana na anachoingiza..
Mweleze Kadiri atakavyouza ndio na yeye atajilipa vizuri automatically.
Nashukuru sana mkuu kwa mchango wako. Nime note vyote hivi.
Kuhusu kua seriuos kwenye lugha ni jinsi tu ya kuwasiliana humu. Hali zimekua ngumu licha uchumi wakati. Kua seriuos sanaaa wakati mwingine sio issue. Anyhow ponits taken lakini.
 
Habari wakuu.

Naombeni uzoefu kwa wale wenye experience hasa wajasiriamali wadogo wadogo Biashara ni ya kusaga na kupack na kuuza viungo vya vyakula. Ndio inaanza anza lakini nafikiria nipate vijana wanisambazie kwa kuanzia Dar es salaam na maeneo yake.

Wazoefu nijibuni baadhi ya dukuduku hizi
1) Utamuaminije kijana humjui kumpa mzigo nenda katembeze, Je akikimbia nao. Wale wenye vibiashara vyao nambieni hii mnaitatuaje.
2) Sasa jamani biashara ndogo so hata mtaji sio kivile lakini lengo nikuwafikia customers wengi zaidi sasa hawa vijana utawalipaje/shs ngapi aisee. Faida yote si itaenda huko na hata hasara juu??
3)Haya tuseme mtanijibu number 2) japo juu nikaridhika, Je unawalipa kutokana na wanavyouza au unawalipa fixed kila siku/mwezi? Sasa wajameni unakuta bidhaa yenyewe dazeni moja ikiisha faida labda 5,000/= Wajasiria mali hem niambieni how do you guys toboa haya maisha kwa kupanua biashara ???
Tuongee ukweli mwanawane, huwezi wewe kama wewe ukasaga, ukapack, ukasambaza eneo kubwa peke yako. Mmmmh! You need a helping hand. Hapo sasa.

Naombeni mtiririke
Mimi napenda sana mtu mbunifu anayejituma, labda nikusaidie jambo moja wengi wenu mnapack kwenye vikopo if possible jaribu kupack kwenye vifuko kama vya majani ya chai uuze japo mia au mia hamsini ili uwe na niche market yako ya madukani (wakina mangi) tu, kwani wao ndio wana access ya kuwafikia watumiaji wengi wadogo kwa urahisi,then kwenye vikopo utafute namna ya kuuza sababu changamoto ya wafanyabiashara wengi ni soko ambalo mko wengi sasa what's important ni kuwa na niche market na namna ya kuliendesha nasisitiza ishu ni bei tu ukiwin hapo basi utaenjoy ila kubali kutaabika kwa ajili ya soko sababu "NO SALE NO BUSINESS" hakuna mjadala katika hilo.
Mwisho tafuta viungo ambavyo vina stimulate ambacho unaweza tumia kiegamo cha bidhaa kuuzia/kupata soko.

Mwisho:
Wewe ndio mbeba maono ya biashara yako kuwa mstari wa mbele kwa kila jambo usichoke sababu biashara zinaumiza kichwa na moyo.
 
Mimi napenda sana mtu mbunifu anayejituma, labda nikusaidie jambo moja wengi wenu mnapack kwenye vikopo if possible jaribu kupack kwenye vifuko kama vya majani ya chai uuze japo mia au mia hamsini ili uwe na niche market yako ya madukani (wakina mangi) tu, kwani wao ndio wana access ya kuwafikia watumiaji wengi wadogo kwa urahisi,then kwenye vikopo utafute namna ya kuuza sababu changamoto ya wafanyabiashara wengi ni soko ambalo mko wengi sasa what's important ni kuwa na niche market na namna ya kuliendesha nasisitiza ishu ni bei tu ukiwin hapo basi utaenjoy ila kubali kutaabika kwa ajili ya soko sababu "NO SALE NO BUSINESS" hakuna mjadala katika hilo.
Mwisho tafuta viungo ambavyo vina stimulate ambacho unaweza tumia kiegamo cha bidhaa kuuzia/kupata soko.

Mwisho:
Wewe ndio mbeba maono ya biashara yako kuwa mstari wa mbele kwa kila jambo usichoke sababu biashara zinaumiza kichwa na moyo.
Mkuu asante sana kwa mchango wako.
Umeongea nakuona kabisa unaijua hii biashara. Kuna vipacket flani ambavyo kama uki pack unaweza kuuza kwa shs 300 ambayo ni sawa kabisa kwa wa akina Mangi. Ila mkuu tatizo sasa unaenda pale OMAR PACKAGING ili akutengenezee hizo packates inabidi akuprintie roll moja kubwa balaa la shs karibu milioni 3 mwanangu.

Sema from business point of view hivyo vipacket vidogo aisee vina generate faida kubwa balaa yaani. Sasa mzee kwa usawa huu products zetu ziko zaidi ya kumi. Kila product moja uandae vimifuko vya milioni tatu. Of course hilo roller ukilipata utainjoy sana maana vifuko viko vingi sana.
Anyways hizo ni challenge za hapa na pale.

Mwisho kabisa mkuu unamaanisha nini unaposema *******" tafuta viungo ambavyo vina stimulate ambacho unaweza tumia kiegamo cha bidhaa kuuzia/kupata soko"*******

Asante kwa mda wako
 
Mkuu asante sana kwa mchango wako.
Umeongea nakuona kabisa unaijua hii biashara. Kuna vipacket flani ambavyo kama uki pack unaweza kuuza kwa shs 300 ambayo ni sawa kabisa kwa wa akina Mangi. Ila mkuu tatizo sasa unaenda pale OMAR PACKAGING ili akutengenezee hizo packates inabidi akuprintie roll moja kubwa balaa la shs karibu milioni 3 mwanangu.

Sema from business point of view hivyo vipacket vidogo aisee vina generate faida kubwa balaa yaani. Sasa mzee kwa usawa huu products zetu ziko zaidi ya kumi. Kila product moja uandae vimifuko vya milioni tatu. Of course hilo roller ukilipata utainjoy sana maana vifuko viko vingi sana.
Anyways hizo ni challenge za hapa na pale.

Mwisho kabisa mkuu unamaanisha nini unaposema *******" tafuta viungo ambavyo vina stimulate ambacho unaweza tumia kiegamo cha bidhaa kuuzia/kupata soko"*******

Asante kwa mda wako
Kuhusu vipakti vya kupack jitahidi kutembea mkuu, ile kariakoo kubwa sana tena sana, Mimi nilipataga challenge ya kupack bidhaa zangu nilienda kiwanda fulani wakaniambia order inaanza milioni 13 pamoja na VAT, nikasema poa sikuacha kuzurula finale nikapelekwa kariakoo ndanindani yaani doooh!, mjini hapa pana mambo mengi, nikalipa milioni mbili nikapata Vifungashio safi kabisa, ile kariakoo wewe labda unaishia kuangalia nguo na biashara zinaoonekana ila ile ni China ya eastafrica mkuu,
Mimi nilikuwa naongozwa na simu tu tena nahisi aliyekuwa ananipigia alikuwa ananiona hivyo nikawa kama roboti, mara kata kushoto sogea mbele unaona transfoma hilo, haya pita nyumba hiyo kuna kichochoro mara umemuona huyo jamaa kavaa tshirt ya njano mfate nyumanyuma mpaka mwisho!!!! Ilihali jamaa hata habari nami hana niliyekuwa namfuata nyuma, mjini hapa jamani pana mengi sana"!!!

Niliingizwa chini ya ghorofa moja kiza tupu mpaka nikajisemea wanataka kunipora nini!!! Finale nikakuta kiwanda watu wanapiga kazi.

nakushauri tembea uliziaulizia mitaa ya mafia kama unaenda jangwani kule unaweza pata japo wakikuona uelewiki unapotezewa tu.

Kuhusu kiegamo cha bidhaa ni hivi bidhaa yako si inagradients tofauti sasa mfano wanadai mlonge unapunguza presha na nk, au pana mizizi fulani fulani inastimulate hamu kwetu wanaume yaani unaenda kwa hawa herbalist unawauliza hivi dawa gani ya asili inachochea hamu wakikwambia tu, unachukua kisha unachanganya na ingredients zako, kisha unapack unasambaza then unasikilizia reactions za wateja waliotumia lakini pia yafaa uweke kijedwali cha contents labda utuliza presha, pia ni viungo vyenye energy labda sisi wanaume tukitumia huku chini panasimama (HUO NI MFANO TU NIMETOA USINIKUU VIBAYA), once wateja wakitumia na wakiona matokeo tu, hapo tayari unajenga customers base,ambao wataitangaza wenyewe bidhaa yako bila wewe kujitangaza let's say juice ya ukwaju, pale kiegamo ukwaju lakini pana maji tele,sukari nk ila kinachouza ile juisi ni ukwaju kidogo tu.

Mwisho:
Biashara sio lelemama jitahidi kubuni sana na upambane na production cost ili uione faida, jitahidi sana kushuka kwenye price ya bidhaa yako iwe chini ili waliokutangulia wasikutoe kwenye soko.

All the best.
 
Habari wakuu.

Naombeni uzoefu kwa wale wenye experience hasa wajasiriamali wadogo wadogo Biashara ni ya kusaga na kupack na kuuza viungo vya vyakula. Ndio inaanza anza lakini nafikiria nipate vijana wanisambazie kwa kuanzia Dar es salaam na maeneo yake.

Wazoefu nijibuni baadhi ya dukuduku hizi
1) Utamuaminije kijana humjui kumpa mzigo nenda katembeze, Je akikimbia nao. Wale wenye vibiashara vyao nambieni hii mnaitatuaje.
2) Sasa jamani biashara ndogo so hata mtaji sio kivile lakini lengo nikuwafikia customers wengi zaidi sasa hawa vijana utawalipaje/shs ngapi aisee. Faida yote si itaenda huko na hata hasara juu??
3)Haya tuseme mtanijibu number 2) japo juu nikaridhika, Je unawalipa kutokana na wanavyouza au unawalipa fixed kila siku/mwezi? Sasa wajameni unakuta bidhaa yenyewe dazeni moja ikiisha faida labda 5,000/= Wajasiria mali hem niambieni how do you guys toboa haya maisha kwa kupanua biashara ???
Tuongee ukweli mwanawane, huwezi wewe kama wewe ukasaga, ukapack, ukasambaza eneo kubwa peke yako. Mmmmh! You need a helping hand. Hapo sasa.

Naombeni mtiririke
Mkuu,tatizo lako linanwasumbua wengi ila wengi huwa hawafikiri kwa kiwango chako.Kuna kitu katika biashara tunaitwa economies of scale.Je una uwezo wa kuzalisha bidha maximum kiasi gani?Bidhaa hizo unataka zifikie wateja kiasi gani?Wateja wako wapi?Unawauzia Kiasi gani?Profi margin yako ni kaisi gani?

Production cost zako ni kiasi gani?Ukisha jibu haya maswali naweza kukupa Jibu la nini ufanye ila itabidi ulifuate PM maana hapa sitakuwa muda mrefu nimekuja tu kwa jili ya kukupa mwangaza.nakutakia kila la heri katika ujasiriamali wako.
 
Mkuu,tatizo lako linanwasumbua wengi ila wengi huwa hawafikiri kwa kiwango chako.Kuna kitu katika biashara tunaitwa economies of scale.Je una uwezo wa kuzalisha bidha maximum kiasi gani?Bidhaa hizo unataka zifikie wateja kiasi gani?Wateja wako wapi?Unawauzia Kiasi gani?Profi margin yako ni kaisi gani?Production cost zako ni kiasi gani?Ukisha jibu haya maswali naweza kukupa Jibu la nini ufanye ila itabidi ulifuate PM maana hapa sitakuwa muda mrefu nimekuja tu kwa jili ya kukupa mwangaza.nakutakia kila la heri katika ujasiriamali wako.
Kwa sasa nahitaji bidhaa nione zimekubalika zinaenda (hili halina shaka zimekubalika kwa waliozitumia) lkn niongeze wigo zaidi na zaidi. So nikiona zinaenda sana na mimi nitazalisha sana sio shida.
Wateja nnaotaka wafikiwe ni idadi yoyote ile. Mimi wakiongezeka naongeza uzalishaji na mimi. Sky is no limit wasambaa wanasema.
Wateja wako wapi? Honestly to start with kwa Sisi mastarters tulio Dar tunaanziaga Dar kwanza. Ila popote pale mkoani shega tu.
Profit margin iko as low as possible. Lengo price i beat waliotangulia.
Production cost zipo in check kuhakikisha profit ipo hata km si kubwa sana.

Mkuu wewe nadhani ni muelewa sana. Umeanza vizuri uzi. Hapo kwa PM kuna utakao wakwaza hapa maana kuna wanaofatilia huu uzi kimya kimya na wataondoka na kitu flani.
Samahani km nitakukwaza lakini Wewe ni wa siku mob hapa Jf, utakubaliana na Mimi kuna impresión flani watu huipata unapowaambia wakufate pm ilhali waweza mwaga mchele hapa "kuku" wako wengi nao washibe. Kuna kipindi kitafikia tu mtu atakufata PM bila hata kumuita. Sorry lkn km nimekukwaza maana invaluable mchango wako hapa sitaki kuukosa kabisa maana yaonesha kuna madini unataka uyamwage.
 
Kwa sasa nahitaji bidhaa nione zimekubalika zinaenda (hili halina shaka zimekubalika kwa waliozitumia) lkn niongeze wigo zaidi na zaidi. So nikiona zinaenda sana na mimi nitazalisha sana sio shida.
Wateja nnaotaka wafikiwe ni idadi yoyote ile. Mimi wakiongezeka naongeza uzalishaji na mimi. Sky is no limit wasambaa wanasema.
Wateja wako wapi? Honestly to start with kwa Sisi mastarters tulio Dar tunaanziaga Dar kwanza. Ila popote pale mkoani shega tu.
Profit margin iko as low as possible. Lengo price i beat waliotangulia.
Production cost zipo in check kuhakikisha profit ipo hata km si kubwa sana.

Mkuu wewe nadhani ni muelewa sana. Umeanza vizuri uzi. Hapo kwa PM kuna utakao wakwaza hapa maana kuna wanaofatilia huu uzi kimya kimya na wataondoka na kitu flani.
Samahani km nitakukwaza lakini Wewe ni wa siku mob hapa Jf, utakubaliana na Mimi kuna impresión flani watu huipata unapowaambia wakufate pm ilhali waweza mwaga mchele hapa "kuku" wako wengi nao washibe. Kuna kipindi kitafikia tu mtu atakufata PM bila hata kumuita. Sorry lkn km nimekukwaza maana invaluable mchango wako hapa sitaki kuukosa kabisa maana yaonesha kuna madini unataka uyamwage.
Madini nimeshamwaga ya kutosha hapa ambayo najua kama umeyatafakari tayari unayo suluhu.Sababu ya kukwambia uje PM ni kwa sababu siwezi kukwambai uweke idadi ya units unazozalisha kwa sasa hapa au uniwekee revenue zako actual hapa.

Hao ambao wanaogopa kwenda PM huwa wana matatizo yao binafsi ni sawa na Wanawake waaokesha kuomba MME lakini wakiombwa namba ya simu hawatoi na wakitoa wakianza kuimbishwa wanaweka BLOCK.

Point yangu ni hii.Mimi ni daktari wa SMB na ni eneo langu la interest kukwambia uje PM ni kwa sababu tayari nimeona kwamba naweza kukupa suluhi ya biashara yako.ILA kama una mashaka nafikiri wakati wako haujafika.
 
Nashukuru sana mkuu kwa mchango wako. Nime note vyote hivi.
Kuhusu kua seriuos kwenye lugha ni jinsi tu ya kuwasiliana humu. Hali zimekua ngumu licha uchumi wakati. Kua seriuos sanaaa wakati mwingine sio issue. Anyhow ponits taken lakini.
Unashauriwa kitu cha maana (communication skills) bado unaleta jokes. We leta utani kwa daktari wa machizi uzi utajaa jokes kama ulivyozianzisha!.
 
Unashauriwa kitu cha maana (communication skills) bado unaleta jokes. We leta utani kwa daktari wa machizi uzi utajaa jokes kama ulivyozianzisha!.
Sawa mzee ya communication skills. So far nioneshe any jokes kutoka kwa wachangiaji!
 
Sawa mzee ya communication skills. So far nioneshe any jokes kutoka kwa wachangiaji!
We nawe ubishi wa buree. Si useme tu Asante kwa ushauri. Maana ushauri uliopewa Ni wa maana na wewe unajua ila tu umemua kubishana.
Una bahati tu wazee wa jokes wako busy Jukwaa la siasa na uchaguzi.
 
We nawe ubishi wa buree. Si useme tu Asante kwa ushauri. Maana ushauri wake muhimu.
Una bahati tu wazee wa jokes wako busy Jukwaa la siasa na uchaguzi.
🤭sawa mkuu. 😂
 
Kama huwezi kuwaamini watu kazungukie mitaa yote kama kichaa mpaka ukaukiwe damu na kupungukiwa nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom