Bubolwa Chura
JF-Expert Member
- Dec 12, 2019
- 300
- 559
Wakuu Igweeeee!
Kwa muda kama wa miezi miwili hivi niko sehemu nimejishikiza. Baada ya muda wa kazi naona nina muda mwingi ambao nina access na internet ambayo nahisi nikipata kitu constructive inaweza kunisaidia kuniingizia kipato. Ungekuwa wewe ungeitumiaje?
Au fikiria hivi, umefungiwa ndani ya chumba na umepewa laptop imbayo iko full net 24 hours. Utaitumiaje kuingiza pesa?
Sio mwandishi mzuri ila naamini mmenielewa. Kama una idea yeyote nisaidie please, sitaki niwe naishia kuingia JamiiForums pekee na Facebook.
Nawasilisha.
Kwa muda kama wa miezi miwili hivi niko sehemu nimejishikiza. Baada ya muda wa kazi naona nina muda mwingi ambao nina access na internet ambayo nahisi nikipata kitu constructive inaweza kunisaidia kuniingizia kipato. Ungekuwa wewe ungeitumiaje?
Au fikiria hivi, umefungiwa ndani ya chumba na umepewa laptop imbayo iko full net 24 hours. Utaitumiaje kuingiza pesa?
Sio mwandishi mzuri ila naamini mmenielewa. Kama una idea yeyote nisaidie please, sitaki niwe naishia kuingia JamiiForums pekee na Facebook.
Nawasilisha.