Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

Hivi ni kweli hii Dunia tunayoishi ina miaka zaidi ya bilioni kama tunavoaminishwa na wazungu?

MFALME WETU

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2021
Posts
4,942
Reaction score
11,981
Ugonile,

Mimi ni mzaliwa wa miaka ya 90's, nimekulia kote kijijini na mjini kwa nyakati tofauti. kwa kijijini mtu ulikua na uwezo wa kufanya sensa ya raia ukiwa kibarazani kwako umekaa huku unatafuna karanga au mahindi ya kuchoma.

Katika kukua kwangu nikifanya ulinganifu wa idadi ya watu katika miaka ya 1990 mpaka 2010 ilikua ndogo sana kulinganisha na saiv.

Nina imani ukirudisha miaka nyuma basi idadi ya watu ilikua ndogo zaidi kitu ambacho kinafanya niamini kuwa hii Dunia haina muda mrefu tangu kuwepo kwake, kama sivyo basi hakuna watu walikua wanaishi huko nyuma.

1000341426.jpg

Nawasilisha
 
iyo njia ndio nina mashaka nayo kwa sababu nikipiga hesabu miaka 300 nyuma nina uhakika pale kijijini kwetu hakuna binadamu alikua anaishi
Umezungumzia dunia nzima mkuu, sio kijiji chenu peke yake.

Binadamu wa sasa wana miaka 300k tu hapa duniani. Viumbe hai tumeikuta hii dunia, imeanza kabla yetu.
 
Umezungumzia dunia nzima mkuu, sio kijiji chenu peke yake.

Binadamu wa sasa wana miaka 300k tu hapa duniani. Viumbe hai tumeikuta hii dunia, imeanza kabla yetu.
kidogo napata kuelewa, ila unaposema binadamu wa sasa ina maana kuna binadamu wa kabla yetu ambao mimi siamini kama kweli walikuepo.
 
Ugonile,

Mimi ni mzaliwa wa miaka ya 90's, nimekulia kote kijijini na mjini kwa nyakati tofauti. kwa kijijini mtu ulikua na uwezo wa kufanya sensa ya raia ukiwa kibarazani kwako umekaa huku unatafuna karanga au mahindi ya kuchoma.

Katika kukua kwangu nikifanya ulinganifu wa idadi ya watu katika miaka ya 1990 mpaka 2010 ilikua ndogo sana kulinganisha na saiv.

Nina imani ukirudisha miaka nyuma basi idadi ya watu ilikua ndogo zaidi kitu ambacho kinafanya niamini kuwa hii Dunia haina muda mrefu tangu kuwepo kwake, kama sivyo basi hakuna watu walikua wanaishi huko nyuma.

View attachment 3600434
Nawasilisha
Kuendelea kuwaamini hawa Mashoga ni ujinga wa kiwango cha rami iendayo Msoga, hivi kwa jisi anavyowafanya Iran vile, kuna haja gani ya kuendelea kuwaamini hawa Mashoga!!?
 
Inawezekana usiwaamini wazungu wa sayansi bas amini bible

Fanya tu mfano mdogo Adam aliumbwa lini? Na baada ya upweke wa Adam akaubwa hawa je ni baada ya mda gan?

Je mtu kama nuhu na safina yake ilitokea mda gan baada ya adam na hawa ?
Je ibrahim adi ujio wa yesu walitofautiana miaka mingap?

Na kumbuka tunaambiwa watu wa zamani waliishi miaka ming adi miaka 500 sjui ?
 
Inawezekana usiwaamini wazungu wa sayansi bas amini bible

Fanya tu mfano mdogo Adam aliumbwa lini? Na baada ya upweke wa Adam akaubwa hawa je ni baada ya mda gan?

Je mtu kama nuhu na safina yake ilitokea mda gan baada ya adam na hawa ?
Je ibrahim adi ujio wa yesu walitofautiana miaka mingap?

Na kumbuka tunaambiwa watu wa zamani waliishi miaka ming adi miaka 500 sjui ?
Miaka ata kama waliishi buku unafikiri ni sawa na miaka bilioni ziwe nne? Mkuu
 
Hakuna anaefahamu this are just rough estimation. To see if this is true we need to stay at an appropriate billion of light years far away from earth away tuangalie. What we can see is billions of light years away on other stars. Pia tumekuwa na idadi kubwa ya watu after advancement of science and technology kadri miaka inavyozidi kwenda watu wanaongezeka what we are trying to minimize ni effect ya population.
 
iyo njia ndio nina mashaka nayo kwa sababu nikipiga hesabu miaka 300 nyuma nina uhakika pale kijijini kwetu hakuna binadamu alikua anaishi
Kuna mtu alikuambia au kuna mahali ulisoma binadamu walikuwepo duniani miaka bilioni iliyopita?
 
Back
Top Bottom