Kwanini Marekani wana economic cooperation with China? Dunia ina unafiki sana

Kwanini Marekani wana economic cooperation with China? Dunia ina unafiki sana

Xi Jinping

JF-Expert Member
Joined
Jun 14, 2023
Posts
9,220
Reaction score
27,421
Moja ya jambo limeniacha na peace of mind ni kuwa neutral sana kwenye siasa za Tanzania zisizoeleweka.

Nimeona mahali JF mleta mada ameleta document ya Desemba 2025 ambapo bunge la senate la Marekani limepanga kupitisha muswada unaagiza kutathmini ushirikiano wa Tanzania na China kijeshi, kiuchumi na kisiasa.

Wanasubiri tu Trump abariki muswada huo kwa kumwaga wino Tanzania ishughulikiwe.

Kwa miongo kadhaa media na wachambuzi wa Magharibi wakiongozwa na Marekani wamekuwa wakiiaminisha dunia kuwa China haina Demokrasia, uhuru wa maoni, wala uhuru wa vyombo vya habari hakuna.

Na kama haitoshi wanasema kuwa Serikali ya China huwa inawanyanyasa, kuwatesa na kuwaua jamii ya Waislamu iliyopo Xinjiang.

Mbona hao Marekani bado wanafanya biashara za billions of dollars na China?

Nchi ambayo haifuati Demokrasia ya Magharibi na wanadai inaua Waislamu Xinjiang?

Wamuondoe Xi na chama cha CPC basi tuone au waondoe economic cooperation na China.

Lakini ndio kwanza wiki 2 zilizopita Trump alienda kutafuta deals China. Dunia ina unafiki sana, inataka akili sana ku-deal na Marekani na nchi za Magharibi.

By the way hapa ni mahali Watanzania waondoe uCCM, uCHADEMA, uhanarakati, na Pro-U.S mentality panataka akili sana. Kwa sehemu muswada ulisema:

Directs the Administration to evaluate the extent of the People’s Republic of China’s military, economic and political engagement in Tanzania, including cooperation that could undermine democratic institutions and U.S. interests in the region.
Hizo interests za Marekani ni zipi?
 
downloadfile-35.jpg
 
Moja ya jambo limeniacha na peace of mind ni kuwa neutral sana kwenye siasa za Tanzania zisizoeleweka.

N

Directs the Administration to evaluate the extent of the People’s Republic of China’s military, economic and political engagement in Tanzania, including cooperation that could undermine democratic institutions and U.S. interests in the region.
Hizo interests za Marekani ni zipi?
Gentleman,
kukurupuka kwa Marekani dhidi ya kuivamia Irani isiyotabirika, kumemfanya confused D.Trump kuwaona sasa, maadui zake, mathalani China kama marafiki na washirika wake muhimu sana kijeshi, kijamii, kisiasa na kiuchumi.

Na hicho kinaweza kumfanya awe makini zaidi dhidi ya maoni binafsi ya Seneta Ted Cruz kuhusu mahusiano ya kihistoria baina ya Marekani na Tanzania, lakini pia na washirika wake wengine wa kidiplomasia.

Gharama inazotumia Marekani kutuliza hali ya mambo mashariki ya kati ni kubwa sana na imeexpose uwezo wa Marekani kijeshi kua ni wa kawaida na usio tishia usalama, uhuru na haki za mataifa mengine tena.

Kutimizamwa na kutathminiwa upya kwa mahusiano ya serikali ya Marekani dhidi ya mataifa mbalimbali ni haki yake ya msingi na ni utaratibu wa kawaida hata kwa mataifa karibu yote ulimwenguni.

Hakuna jambo geni wala jipya kwenye utaratibu huo usio na athari kubwa bali wenye maslahi mapana ya wahusika Katika hilo 🐒
 
kukurupuka kwa Marekani dhidi ya kuivamia Irani isiyotabirika, kumemfanya confused D.Trump kuwaona sasa, maadui zake, mathalani China kama marafiki na washirika wake muhimu sana kijeshi, kijamii, kisiasa na kiuchumi.
Lakini hata kabla ya vita vya Iran, Marekani imekuwa na economic cooperation na China
 
Kutimizamwa na kutathminiwa upya kwa mahusiano ya serikali ya Marekani dhidi ya mataifa mbalimbali ni haki yake ya msingi na ni utaratibu wa kawaida hata kwa mataifa karibu yote ulimwenguni.
Na Tanzania pia ikiwa sovereign state ina haki ya kulinda economic interests zake na mataifa mengine bila third party country kuiingilia
 
Sawa sasa China imeingiaje kwenye huo mjadala wa Marekani na Tanzania?
lakini umeielezea China kwenye hoja yako mahususi mezani gentleman, kwani ilikua haihisiki kwenye hoja yako?

halafu bandiko hili ni lako kweli au umeandikiwa gentleman?

China ni Mshirika wa karibu na Muhimu sana wa Tanzania, ambae Marekani inamuhifia sana na awali China ilikua sio tu mshindani wa kiuchumi wa Marekani bali pia adui mkubwa na hatari mno kwa Marekani.

Ni vigumu kutoizungumzia china, ikiwa kuna hoja ya kidiplomasia dhidi ya Tanzania 🐒
 
lakini umeielezea China kwenye hoja yako mahususi mezani gentleman, kwani ilikua haihisiki kwenye hoja yako?
Nilichomaanisha kwa nini kwenye muswada imeandikwa:

Directs the Administration to evaluate the extent of the People’s Republic of China’s military, economic and political engagement in Tanzania

Hoja ya Marekani ni nini hasa hapo?
 
Kuna tume ya uchaguzi, kuna bunge, kuna serikali, kuna vyombo vingine vinavyo imarisha hizo democratic institutions kama Mahakama, Mkaguzi Mkuu wa serikali, Polisi, usalama Taifa sio kikundi cha watu, magereza, ofisi ya vyama vingi , magazeti
Hizo institution zinahusinaje na Tanzania ikiwa na economic cooperation na China?
 
Nilichomaanisha kwa nini kwenye muswada imeandikwa:

Directs the Administration to evaluate the extent of the People’s Republic of China’s military, economic and political engagement in Tanzania

Hoja ya Marekani ni nini hasa hapo?
hiyo sio hoja ya Marekani gentleman,
hayo ni maoni binafsi ya seneta Ted Cruz dhidi ya Tanzania, ambayo ni wazi confused D.Trump hatayaafiki na kuyakubali kutokana na makubaliano na mikataba waliyoingia hivi majuzi tu na China.

Kwa hali ilivyo sasa sasa ni vigumu kwa Marekani kujaribu kuwagusa washirika muhimu wa China kama vile Tanzania 🐒
 
China ni Mshirika wa karibu na Muhimu sana wa Tanzania, ambae Marekani inamuhifia sana na awali China ilikua sio tu mshindani wa kiuchumi wa Marekani bali pia adui mkubwa na hatari mno kwa Marekani.
Adui mchana usiku trade partner

Marekani wamalizane na China wenyewe, ila isitumie mataifa mengine kwenye ushindani wao

China imefanya uwekezaji mkubwa sana Tanzania watu wengi wameajiriwa rasmi na isivyo rasmi kupitia uwekezaji wa China

Bidhaa nyingi Tanzania inaagiza kutoka China imeleta unafuu kwa Watanzania wengi wenye vipato vya chini

Sasa leo inaposemwa Marekani inataka kutathmini economic cooperation ya Tanzania na China ni kwa faida ya nani na hasara ya nani?
 
Umeuelewa huo mswada?? Kitu cha Kwanza cha US ni kuhusu Tanzania ni kuundermine democratic institutions, sasa wewe unakubaliana nao au unapingana nao hapo ndio nitakuja kwenye Hilo jingine
Nchi ngapi hazina demokrasia na zipo zinasemwa zinaundermine democracy?

Kuna demokrasia ya Magharibi UAE, Qatar, Saudi Arabia, Kuwait n.k?

Mbona hatusikii Marekani ikienda huko kutathmini uhusiano wao na nchi hizo?

Mwaka jana Trump alienda Middle East akasaini mikataba ya kibiashara ya billions of dollars na nchi zisizo za Kidemokrasia na trade partner wao mkubwa ni China
 
Back
Top Bottom