Mmoja ulimi, mwingine dushelele! 😎
Wawili hawa wala hawana mfupa lakini shughuli yao huwa ni pevu.
Basi nyote nawasihi muwachunge hawa mabwana wasije wakaleta mabalaa.
Ni hayo tu kwa leo.
Mfalme Harald V wa Norway amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 89, baada ya kulazwa hospitalini wiki iliyopita kwa matibabu ya ugonjwa nadra wa damu.
Ikulu ya Oslo imesema mfalme huyo alifariki kwa amani saa 06:35 kwa saa za eneo (04:35 GMT) siku ya Ijumaa katika Hospitali ya Taifa ya Oslo...
Baada ya kukua na kutambua jinsi watu wanakuwa controlled na hisia.
Watu ambao hawajui kuwa less attached na kupannic. Huwa sio kwamba ni wakali au wagai gai by nature. Na pia sio watu wakali by nature, huwa ni so weak. Ila ile reaction ina wa manipulate kudhani wako sahihi.
Kadri unavyo...
Wapashiwa ni kabila au jamii ambayo kwa sasa imekua sana. Miaka ya nyuma ilikuwa ni uchafu na laana kuwa Mpashiwa. Kwa sasa unakuta wanasiasa, wanamichezo, waigizaji, wanadini, wanamuziki, watu baki ni wapashiwa.
Sifa za Wapashiwa.
1. Hawana msimamo. Yaani anaweza kuwa aliumbwa mwanaume ila...
Japo upendo ni bora kuliko kila kitu ila pesa inaweza kuvunja kila kitu.
Nakumbuka hata mkoani nakotoka pesa inaweza kukufanya ukawa kama mungu mtu, kila mtu unaweza kumtuma na kumkoromea. Ukiwa na pesa makosa yako kwa wazazi watapewa wengine, iwe ni wadogo zako au kaka zako,
ukiwa na pesa...
Kwa hatua aliyofukia Lisu akiachiliwa au akinyongwa Bado credits zote zinarudi kwake na chama chake maana wamechagua haki na ukweli
Lakini waswahili wanasema heri nusu shari kuliko Shari kamili au heri aibu kuliko fedheha
Hamna haja ya kumtumia Lisu kama kete ya kulazimisha maridhiano...
Dunia Inahitaji Kujua Kinachoendelea, Sio Kilichotokea
Katika ulimwengu wa teknolojia ya sasa, upatikanaji wa taarifa za moja kwa moja (live) na kwa wakati halisi bado ni changamoto. kutokana na uhaba wa teknolojia hiyo imechangia.
Matukio mengi yanayoripotiwa kwa jamii kupitia vyombo vya...
Mafundisho makuu ya Yesu Kristo ni Upendo.
1. Kuwapenda jirani kama unavyojipenda mwenyewe
2. Kuwapenda na kuwaombea maadui zako.
3. Ukipigwa shavu moja ugeuze na lingine
4. Kusamehe saba mara sabini
5. Kutopenda kujikusanyia mali/ kuwa tajiri bali kusaidia masikini na wahitaji.
Haya...
Wazia dunia ambayo huna haja ya kununua LUKU, kuweka bando la umeme, wala kuvuta mawaya ya hatari juu ya paa la nyumba yako. Dunia ambayo unachomeka kifaa chako chochote hewani na kinapata umeme bila kulipia hata shilingi moja!
Hili halikuwa wazo la kusadikika au sinema ya Hollywood. Lilikuwa...
Kama ambavyo alikataa Mabilioni ya kuachana na Siasa.
Kama ambavyo alikataa kwenda Ulaya .
Kama ambavyo amekataa MARIDHIANO ya Kiiinga .
Ndivo ambavyo Dunia itasimama kwa ajili yake kukataa UHUNI wa Kumpora Lissu Hali yake ya Kisiasa !!.
Hili liwakae kichwani !!.
Maajabu Saba ya Dunia ya Kale ni orodha ya majengo na sanamu za kustaajabisha zilizojengwa na wanadamu katika kipindi cha kale kuzunguka Bahari ya Mediterania. Kati ya maajabu haya yote, ni Piramidi Kuu ya Giza tu ndiyo bado ipo imesimama hadi leo, huku mengine yote yakiwa yameharibiwa na...
Msemo “Dunia rangi saba” (kwa Kihindi: Duniya saat rangon ki hai) kwa kawaida una maana ya maisha ya dunia yana sura na hali nyingi tofauti.
“Rangi saba” ni mfano wa:
😊 Furaha
😢 Huzuni
❤️ Upendo
💔 Maumivu
💰 Utajiri
😔 Umaskini
🌟 Mafanikio na changamoto
Kwa hiyo, unaposema “Dunia ina rangi...
General elections in Africa
Maajabu ya dunia kutoka Tanzania
Data By Liberatus Mwang'ombe
Registered voters:
Zambia – 8.7 million
Kenya – 22.1 million
Tanzania – 37.6 million
Counting speed:
Tanzania “counted” 32 million votes in two days… with no internet and no electricity.
Kenya needed...
Kafulila: Serikali Haiwezi Kujenga Kila Kitu, Sekta Binafsi Ipewe Nafasi.
==
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Ubia kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPPC), David Kafulila, amesema Serikali haiwezi kumudu kugharamia kila aina ya mradi nchini, hasa miradi ya kibiashara, wakati mahitaji ya...
Tukio hili limetokea Asubuhi ya leo majira ya saa 3 katika Barabara ya kutoka kongowe kuelekea Twangoma.
Ambambo lori lilifeli Breki likiwa kwenye mwendo kasi.
Dereva wa Bodaboda alifariki mara tu baada ya ajali, Mpaka muda huu abiria alie panda pikipiki hiyo nae ni majeruhi na yupo...
China imezidi kuikalia kooni Marekani kwenye vita ya teknolojia ya AI hivi kwamba Marekani imeanza kuhofia kukosa ushawaishi na kuanza kuyapiga mikwara mataifa mengine duniani
Iko hivi: Kwa mujibu wa Reuters, Marekani inaandaa kuishinikiza takribani nchi 35 zinazohusishwa na mpango wake wa Pax...
Habari wakuu,
Ninaamini kuwa Content Creator ni aina mpya ya ajira katika dunia ya kidijitali, na inaweza kuwa fursa muhimu kwa vijana kujiajiri na kujenga vyanzo vyao vya kipato.
Kwa sasa, mitandao ya kijamii imewezesha watu kushiriki mawazo, maarifa, vipaji na ubunifu wao kwa hadhira kubwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.