instinct desire
JF-Expert Member
- Mar 17, 2026
- 1,215
- 908
Mh. Rais anaongea hotuba ambazo zipo very neutral hazifungamani na upande wowote hotuba zake zinaiishi falsafa ya Non aligned Movement (NAM)
NI RAIS anayetumia akili kubwa kujibu hoja, ni Rais anayefatiliwa sana duniani, Leo hii vyombo vyote vya habari vinamtaja Dr
Samia.
Nadhani UN watamchukua mara tu baada ya kumaliza muda wake maana si Rais mwanamke tu Bali ni Rais mwanamke na mwenye akili za pekee mno kuwahi kutokea Duniani
NI RAIS anayetumia akili kubwa kujibu hoja, ni Rais anayefatiliwa sana duniani, Leo hii vyombo vyote vya habari vinamtaja Dr
Samia.
Nadhani UN watamchukua mara tu baada ya kumaliza muda wake maana si Rais mwanamke tu Bali ni Rais mwanamke na mwenye akili za pekee mno kuwahi kutokea Duniani