corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MZK

    Russia Yaamua Kuisaidia Italy na Janga la Corona

    MOSCOW — The Russian army on Sunday began flying medical help to Italy to help it battle the new coronavirus after receiving an order from President Vladimir Putin, a goodwill gesture that Moscow labeled “From Russia with Love.” Giant Il-76 military planes began taking off from an airbase in...
  2. J

    Kenya: Naibu Gavana apata maambukizi ya Corona na kufanya wagonjwa kufikia 15

    Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi. Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo. ======= Kilifi deputy governor in quarantine after Germany trip Tension is brewing in Kilifi over a...
  3. Sky Eclat

    Corona virus taught the world how to re shape it’s life

    Crisis Which Crisis? While our government adopted a mad scientist approach to the virus crisis; a nationwide experiment in herd immunity - usually only done with vaccines (of which there are none)… abandoned this week in the face of modelling showing 260k deaths as a result…..the virus moved...
  4. Mzee Mwanakijiji

    Virusi vya Corona: Buriani Fr. Angelico - Mmisionari Muitalia Tanzania kwa Miaka 47 Amefariki kwa Corona

    Na. M. M. Mwanakijiji Mungu ni Mungu wa wote. Hana upendeleo na hajali sura, hali, au mahali pa mtu. Wema wake na uaminifu wake ni wa milele. Niandikapo hili nimejawa na huzuni kwani siku chache zilizopita nimepokea taarifa ya kifo cha Padre Pierluigi Dell’Amico kilichotokea huko Trento, Italy...
  5. Informer

    Corona Virus: Rais Magufuli ahutubia Taifa - Machi 22, 2020 - Wagonjwa Tanzania wafikia 12

    Wakuu, Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa. Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa. Tutarajie nini? Stay tuned... ======= LIVE: VIDEO: Rais Magufuli anasema; => Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
  6. Pascal Mayalla

    Corona inatufundisha Tanzania tuna tatizo kuchanganya siasa na professionalism. Hongera Prof. Janabi kwa elimu uliyotoa, so far you are the best!

    Wanabodi, Tangu kuibuka kwa Mlipuko wa Corona, umetufundisha mengi, moja wapo ni jinsi wanasiasa wetu, mawaziri wetu, madaktari wetu, na wataalamu wetu kuchanganya siasa na professionalism katika kukabibiliana na tatizo kubwa kama hili ukiwemo uwezo duni wa kutoa elimu ya kueleweka kuhusu...
  7. M

    Corona virus kills 627 Italians a day! Bergamo Mayor says...To date there is 2508 deaths comfirmed

    Italy imposed further draconian restrictions on public life on Friday in an increasingly desperate effort to halt coronavirus infections after the death toll leapt by 627 in a single day, by far the biggest 24-hour rise recorded anywhere. The mayor of the most badly affected city, Bergamo in...
  8. Pdidy

    Tuungane kwa pamoja kuwaombea mapadre 30 waliofariki Italy kwa Corona

    Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona. Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona. Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele...
  9. Analogia Malenga

    Uganda yatangaza mgonjwa wa kwanza wa Corona

    Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha kwanza cha Covid19 nchini Uganda. Waziri wa Afya Dkt Ruth Aceng amesema mgonjwa huyo ni mganda mwenye miaka 36 aliyerudi kutoka Dubai 21 Machi, saa nane usiku Mtu huyo alienda Dubai Machi 17, alitumia siku nne huko kwa masuala ya kibiashara. Alikuwa na afya...
  10. Roving Journalist

    Urusi: Daktari anayetuhumiwa kusambaza virusi vya #COVID19 kufungwa jela

    Profesa Irina Sannikova Raia wa Urusi anachunguzwa kwa kutenda makosa ya jinai. Alichukua likizo na kwenda nchini Uhispania lakini alishindwa kujiweka Karantini kwa siku 14 kama inavyotakiwa baada ya kurejea Urusi Badala yake alikuwa akihudhuria mikutano na vikao pamoja na Madaktari wenzake...
  11. Zitto

    ACT Wazalendo calls for immediate actions on novel Corona viruses

    Statement by the Leader of ACT Wazalendo Party on Corona Virus Pandemic Dear Tanzanians A: Introduction The world is plagued by Covid-19 disease (more commonly known as Corona virus). Our country as a part of the world has not survived this fate. On March 2, 2020 while delivering a speech at...
  12. Trubarg

    Corona: Wauza mask na sanitizers wamepungua ghafla

    Anapenda kufahamu. Ni kwamba biashara hailipi Tena au kunani. Maana nikikumbuka week moja iliyopiga kila mtu alikuwa anauza mask na sanitizer sasa sijui na alikuwa ananunua.
  13. Gang Chomba

    Paolo Maldini na mwanawe Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona

    Taarifa iliojiri hivi punde imeeleza kuwa Simba Dume na nahodha wa zamani wa AC Milan ambae alipata kubeba mataji matano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya Paolo Maldini na mwanawe anaechezea AC Milan kwa sasa Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona. Nakuomba unaesoma ujumbe huu, bila...
  14. J

    Serikali yawataka watalii waliopanga kuja nchini kuahirisha safari hadi hapo Corona itakapodhibitiwa

    Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh Kanyasu amewataka watalii waliopanga kutembelea Tanzania kuahirisha safari zao hadi pale ugonjwa wa Corona utakapokuwa umedhibitiwa. Mh Kanyasu amewataka watalii hao kutofuta safari zao bali waahirishe kupisha hili janga linaloisumbua Dunia kwa sasa...
  15. Analogia Malenga

    Coronavirus: Mtoto wa miezi 10 miongoni mwa visa vipya vya virusi vya corona Rwanda

    Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10. Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona. Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
  16. Daisy Llilies

    Nilimaliza muda wa kujitenga baada ya kumhudumia mgonjwa wa corona

    Nilipigwa pin ya kutokwenda kazini kwa siku 14. Baba chanja alinipa pesa ya kutumia maana nililalamika mno akaona isiwe shida. Siku kumi na nne zilivyokwisha tu nilipiga simu ban yangu ikaondolewa. Baada ya kufika kibaruani nilikuta Dettol Antibacterial wipes za kumwaga. Kwakweli kama ni...
  17. digba sowey

    Italia yaipiku China kwa idadi ya vifo vitokanavyo na ugonjwa wa Covid 19

    Wakuu hamjambo? Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi. Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
  18. J

    Pascal Mayalla: JamiiForums ndio mtandao bora kwenye utoaji elimu japokuwa wengine waliomba corona ije kupitia hukohuko

    Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini. Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV...
  19. S

    Ubaya na hatari ya kauli ya Polepole haiko sana katika kuwaita wpinzani Corona, bali ni iwapo Corona itakuwa janga katika nchi yetu

    Kauli ya Polepole kuwaita wapinzani Corona ni kauli ya hovyo na ambayo haikupaswa kutolewa hadharani na kiongozi wa ngazi aliyonayo hasa katika kipindi hiki ambapo duniani inapambana na ugonjwa huu. Wakati watu wengi wakiguswa na kauli ya kuwafananisha wapinzani na corona,mimi naona hatari...
  20. Tee Bag

    Nani anamtumia Mwana FA juu ya ugonjwa wa Corona?

    NANI ANAMTUMIA MWANA FA? Na Thadei Ole Mushi Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani? Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi? Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote? Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa...
Back
Top Bottom