MOSCOW — The Russian army on Sunday began flying medical help to Italy to help it battle the new coronavirus after receiving an order from President Vladimir Putin, a goodwill gesture that Moscow labeled “From Russia with Love.”
Giant Il-76 military planes began taking off from an airbase in...
Watanzania tuwe makini majirani zetu maambukizi yameshagonga hodi kwa viongozi ambapo naibu Gavana mmoja amepata maambukizi.
Hadi sasa kuna jumla ya wagonjwa 15 nchini humo.
=======
Kilifi deputy governor in quarantine after Germany trip
Tension is brewing in Kilifi over a...
Crisis Which Crisis?
While our government adopted a mad scientist approach to the virus crisis; a nationwide experiment in herd immunity - usually only done with vaccines (of which there are none)… abandoned this week in the face of modelling showing 260k deaths as a result…..the virus moved...
Na. M. M. Mwanakijiji
Mungu ni Mungu wa wote. Hana upendeleo na hajali sura, hali, au mahali pa mtu. Wema wake na uaminifu wake ni wa milele. Niandikapo hili nimejawa na huzuni kwani siku chache zilizopita nimepokea taarifa ya kifo cha Padre Pierluigi Dell’Amico kilichotokea huko Trento, Italy...
Wakuu,
Kwa taarifa nilizo nazo, ni kuwa muda si mrefu Rais Magufuli atalihutubia Taifa.
Kama hii itatokea, itakuwa mara ya kwanza tangu aingie madarakani kuhutubia Taifa.
Tutarajie nini?
Stay tuned...
=======
LIVE:
VIDEO:
Rais Magufuli anasema;
=> Baada ya kuibuka Ugonjwa wa Corona...
Wanabodi,
Tangu kuibuka kwa Mlipuko wa Corona, umetufundisha mengi, moja wapo ni jinsi wanasiasa wetu, mawaziri wetu, madaktari wetu, na wataalamu wetu kuchanganya siasa na professionalism katika kukabibiliana na tatizo kubwa kama hili ukiwemo uwezo duni wa kutoa elimu ya kueleweka kuhusu...
Italy imposed further draconian restrictions on public life on Friday in an increasingly desperate effort to halt coronavirus infections after the death toll leapt by 627 in a single day, by far the biggest 24-hour rise recorded anywhere.
The mayor of the most badly affected city, Bergamo in...
Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona.
Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona.
Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele...
Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha kwanza cha Covid19 nchini Uganda. Waziri wa Afya Dkt Ruth Aceng amesema mgonjwa huyo ni mganda mwenye miaka 36 aliyerudi kutoka Dubai 21 Machi, saa nane usiku
Mtu huyo alienda Dubai Machi 17, alitumia siku nne huko kwa masuala ya kibiashara. Alikuwa na afya...
Profesa Irina Sannikova Raia wa Urusi anachunguzwa kwa kutenda makosa ya jinai. Alichukua likizo na kwenda nchini Uhispania lakini alishindwa kujiweka Karantini kwa siku 14 kama inavyotakiwa baada ya kurejea Urusi
Badala yake alikuwa akihudhuria mikutano na vikao pamoja na Madaktari wenzake...
Statement by the Leader of ACT Wazalendo Party on Corona Virus Pandemic
Dear Tanzanians
A: Introduction
The world is plagued by Covid-19 disease (more commonly known as Corona virus). Our country as a part of the world has not survived this fate. On March 2, 2020 while delivering a speech at...
Anapenda kufahamu. Ni kwamba biashara hailipi Tena au kunani. Maana nikikumbuka week moja iliyopiga kila mtu alikuwa anauza mask na sanitizer sasa sijui na alikuwa ananunua.
Taarifa iliojiri hivi punde imeeleza kuwa Simba Dume na nahodha wa zamani wa AC Milan ambae alipata kubeba mataji matano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya Paolo Maldini na mwanawe anaechezea AC Milan kwa sasa Danielle Maldini wamekutwa na virusi vya Corona.
Nakuomba unaesoma ujumbe huu, bila...
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh Kanyasu amewataka watalii waliopanga kutembelea Tanzania kuahirisha safari zao hadi pale ugonjwa wa Corona utakapokuwa umedhibitiwa.
Mh Kanyasu amewataka watalii hao kutofuta safari zao bali waahirishe kupisha hili janga linaloisumbua Dunia kwa sasa...
Wizara ya afya nchini Rwanda imetangaza kuwa watu wengine sita wameambukizwa virusi vya corona miongoni mwao mtoto mchanga wa miezi 10.
Maambukizi hayo yanaifanya Rwanda kuwa na idadi ya visa 17 vya maambukizi ya virusi vya corona.
Walipatikana na maambukizi hayo wote walikua wametoka katika...
Nilipigwa pin ya kutokwenda kazini kwa siku 14. Baba chanja alinipa pesa ya kutumia maana nililalamika mno akaona isiwe shida.
Siku kumi na nne zilivyokwisha tu nilipiga simu ban yangu ikaondolewa. Baada ya kufika kibaruani nilikuta Dettol Antibacterial wipes za kumwaga. Kwakweli kama ni...
Wakuu hamjambo?
Nimekuwa nafuatilia kuhusu hili gonjwa la Corona kwa wataliano, naona linawapukutusha kama mti unavyopukutisha majani wakati wa kiangazi.
Idadi ya vifo inasoma 400+ kila siku,angalia hii record ya vifo kwa Jana na Leo, ambapo Jana tu uliua watu 475. Leo hii watu takribani 425...
Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini.
Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV...
Kauli ya Polepole kuwaita wapinzani Corona ni kauli ya hovyo na ambayo haikupaswa kutolewa hadharani na kiongozi wa ngazi aliyonayo hasa katika kipindi hiki ambapo duniani inapambana na ugonjwa huu.
Wakati watu wengi wakiguswa na kauli ya kuwafananisha wapinzani na corona,mimi naona hatari...
NANI ANAMTUMIA MWANA FA?
Na Thadei Ole Mushi
Mwana FA yupo Karantini au yupo nyumbani?
Wagonjwa wanaojulikana positive si wanawekwa Karantini chini ya uangalizi?
Mbona hajavaa Mask? Wanaomletea Chai, Chakula nk si atawaambukiza wote?
Je ni Nani anahusika kuvitangaza hivi visa? Ni wagonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.