johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,889
- 141,824
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii Mh Kanyasu amewataka watalii waliopanga kutembelea Tanzania kuahirisha safari zao hadi pale ugonjwa wa Corona utakapokuwa umedhibitiwa.
Mh Kanyasu amewataka watalii hao kutofuta safari zao bali waahirishe kupisha hili janga linaloisumbua Dunia kwa sasa.
Source: ITV habari!
======
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amesema mlipuko wa virusi vya #Covid_19 ni tishio kwa sekta ya Utalii nchini
-
Amewataka Watalii wa Mataifa mbalimbali waliokuwa wamepanga kuja nchini kutositisha safari za kuja nchini bali wasogeze mbele
-
Tanzania hadi sasa imeripoti Wagonjwa 6 waliopata maambukizi ya virusi hivyo ambapo mgonjwa mmoja yupo Arusha, wawili wapo Jijini Dar na mmoja yupo visiwani Zanzibar
Mh Kanyasu amewataka watalii hao kutofuta safari zao bali waahirishe kupisha hili janga linaloisumbua Dunia kwa sasa.
Source: ITV habari!
======
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Constantine Kanyasu amesema mlipuko wa virusi vya #Covid_19 ni tishio kwa sekta ya Utalii nchini
-
Amewataka Watalii wa Mataifa mbalimbali waliokuwa wamepanga kuja nchini kutositisha safari za kuja nchini bali wasogeze mbele
-
Tanzania hadi sasa imeripoti Wagonjwa 6 waliopata maambukizi ya virusi hivyo ambapo mgonjwa mmoja yupo Arusha, wawili wapo Jijini Dar na mmoja yupo visiwani Zanzibar