corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Mongolian Savage

    Hivi ndivyo Corona inavyofanya ikiingia mwilini

    Mzuka mwanaJamvi, Hii makitu inatisha. Yani hivi virusi vikiingia mwilini vinakimbilia kwenye mapafu na kusababisha total distrakshen with devastating impact inflicting severe and utmost pain ikimuacha muhanga akiwa na mateso makali sana. Virusi hivi vina meno makali yaliyochongonga kama ncha...
  2. J

    Waziri wa Afya: Ni marufuku kabisa kutaja majina ya wagonjwa wa Corona, Mwana FA, Sallam na Isabela walijitangaza wenyewe siyo Serikali

    Waziri wa afya Ummy Mwalimu amesema ni marufuku kwa mtu yeyote kutangaza majina ya wagonjwa wa corona kwani hiyo ni siri kati ya Daktari na mgonjwa. Waziri amesema kutaja taja majina kunaleta unyanyapaa kitu ambacho ni kibaya sana mbele ya jamii na mbele za Mungu. Na zaidi Ummy amesema ndio...
  3. 2019

    Tetesi: Jipangeni kisaikolojia corona ilitabiriwa muda mrefu | itafanya uharibifu mkubwa sana kwenye uchumi wa dunia

    UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma. Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa Ngoja nione ni wangapi wataisoma🤔 Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe...
  4. Miss Zomboko

    Corona yasababisha Hoteli ya Southen Sun kusitisha huduma zake

    ====== SAMAKI SAMAKI, BUCKETS, KIDIMBWI NA SOUTHERN SUN JIJINI DAR ZAFUNGWA Kutokana na mlipuko wa virusi vya #Covid_19 hoteli na sehemu mbalimbali zimefungwa kwa ajili ya kulinda afya za wafanyakazi, wateja pamoja na usalama wa biashara Kidimbwi Beach imesitisha huduma kuanzia Machi 23, 2020...
  5. Pascal Mayalla

    Vita dhidi maambukizi ya corona Tanzania, kampuni ya Total Tanzania mfano wa kuigwa!. Ukifika lazima unawe, upimwe na mashine ndipo uruhusiwe kuingia!

    Wanabodi, Katika kusaidia kudhibiti Maambukizi ya virusi vya Corona, kukitokea any good practice, lets share ili na wengine waige. Leo nimetembelea makao makuu ya kampuni ya mafuta ya Total, Total Tanzania, ukifika pale Hatua ya kwanza ni lazima unawe na maji moto tiririka hapo nje na sabuni...
  6. B

    Kuhusu suala la Corona, Rais yupo sahihi sana

    Kwanza nawapa pole nyingi waliougua, lakini pia na wenzetu nchi nyingine waliopoteza ndugu zao. Natambua katika suala hili yamesemwa mengi, yakiwapo ya wataalam. Hivyo basi kwa kuwa mimi sio mtaalamu wa afya, naomba nitoe maoni katika mtazamo wa kiafrika na hasa katika muktadha wa nchi yangu...
  7. J

    Kwanini Zanzibar inakuwa mbele kutoa taarifa za Corona kuliko Tanzania bara?

    Ukiwa mfuatiliaji wa habari utagundua mara zote waziri wa afya Zanzibar mh Hamad Rashid amekuwa akimtangulia Ummy Mwalimu kwenye kutoa taarifa za Corona. Mfano kuwaweka abiria wanaoingia nchini katika karantini alianza Hamad then Ummy akafuatia. Jana Hamad Rashid katangaza ongezeko la mgonjwa...
  8. Mystery

    Rais Magufuli anatuhimiza wananchi tukachape kazi, wakati makampuni yakiendelea kuwapunguza wafanyakazi wao kutokana na ugonjwa wa Corona!

    Tulimsikia wenyewe Rais wetu Magufuli wakati akilihutubia Taifa siku chache zilizopita, akituhimiza wananchi tukachape kazi na kuwa tusitishwe na vyombo vya habari vya kibeberu, kwa kuwa ugonjwa wa corona siyo tishio kiasi hicho wanachotuaminisha! Kwa kweli nilishangazwa sana na maelekezo hayo...
  9. Miss Zomboko

    Wachungaji 2 mbaroni kwa kudai wanatibu Corona

    DUNIA ina mambo! Wakati wananchi wakiwa wametaharuki kutokana na kuenea kwa Virusi vya Corona (COVID-19), video zilizosambaa mitandaoni zikiwaonesha wachungaji wawili; Daudi Mashimo na Moses Ibrahim, wakijinadi kupata dawa ya kutibu virusi hivyo, zimesababisha viongozi hao kutiwa mbaroni...
  10. cutelove

    Waziri Ummy: Tanzania ina wagonjwa 13 wa Corona, 12 walitoka nao nje ya nchi na 1 kaupatia nchini (Machi 26, 2020)

    Mungu atuepushe na hili janga, maana ni hatari, kule Rwanda namba inapanda kwa kasi ya ajabu ndani ya wiki mbili 46, Uganda kama 15 hivi kama sikosei, na Kenya 25 ndo usiseme maambukizi yamepanda hatari. Huku kwetu mara ya mwisho Rais Magufuli anahutubia Taifa alisema Tanzania ni 12 na mmoja...
  11. Zero Hours

    Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

    Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma. Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada. Wiki...
  12. Zanzibar-ASP

    CORONA VIRUS: Kenyatta ndio Rais pekee aliyejipanga kuwanusuru wananchi wake kiuchumi

    Siku ya leo Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya ametangaza hatua kuu muhimu za kijamii na kiuchumi za kuwanusuru raia wa Kenya kutokana na madhara yatakayotokana na hatua za kudhibiti athari za kuenea kwa maambukizi ya Corona nchini Kenya. Pamoja na ukosoaji mwingi uliokuwepo na uliopo kutoka kwa...
  13. DITOPILE WAPILI

    Katika Kuzuia Corona nguo za Mitumba zapigwa marufuku Kenya

    Kenya imepiga marufuku uingizaji wa nguo za mitumba nchini humo ikiwa ni tahadhari ya kusambaa kwa virusi vya corona. === NAIROBI, Kenya Mar 18 – As the coronavirus pandemic continues ravaging major sectors of the economy, small and medium-sized enterprises have not been spared and...
  14. Y

    Kati ya hizi nyimbo za Corona upi umekubamba?

    1. Corona ya Rayvany 2. Corona ya beka flavour 3. Corona ya Lava Lava 4. Corona ya Dogo Silla 5. Corona ya Mzee wa Bwax 6... 7.... 8.... Binafsi nimeilewa ya lava lava, ina melody kali mno sema ni vile dogo ana nyota ya kunguni kabisa no one who care about him. Je, upande wako ipi umeilewa?
  15. Roving Journalist

    CoronaVirus: Hizi ndizo sababu kwanini Italia ina vifo vingi vitokanavyo na virusi vya Corona

    Licha ya safu kadhaa za hatua za karibu za kupungua au kusitisha kuenea kwa virusi vya Corona zikiwemo kufungwa kwa nchi nzima na kufunga kwa biashara zote ambazo sio muhimu, Italia haikuweza kuzuia kuenea kwa maambukizi 1. WINGI WA WAZEE Ingawa virusi vya #corona vinaweza kuambukizwa kwa watu...
  16. J

    Jambo jema: Mipaka ya Tanzania bara inajifunga yenyewe kutunusuru na Corona

    Tukianzia na mipaka ya nchi kavu upande wa kaskazini ilipo Kenya umejifunga Upande wa kanda ya ziwa zilipo Uganda na Rwanda umejifunga Upande wa magharibi zilipo DRC na Burundi umejifunga. Na upande wa mashariki zilipo Zanzibar na Comoro umejifunga Bado kusini ilipo Msumbiji na Nyanda za juu...
  17. Tusker Bariiiidi

    Delloitte wafunga ofisi Dar kutokana na janga la Corona

    “We have received confirmation that an individual in our Deloitte Dar es Salaam office has tested positive for COVID-19. We have taken precautionary measures based on our firm-wide guidelines and advice from the WHO guidelines in order to protect the health and safety of our people and...
  18. Aizi Azma

    Inashangaza pale ambapo watu wanaifurahia Corona badala ya kuiogopa

    Najaribu kuwaza kwa sauti kwamba; wakati mwingine unaweza kukubaliana na wanaosema kuwa Waafrika hatujielewi. Ukijitoa ufahamu unaweza kusema Waafrika hatuna woga,... labda. Lakini wakati mwingine unabaki mdomo wazi tu, hujui useme nini juu ya vituko vinavyofanywa na sisi... Waafrika, kama hiki:
  19. Sky Eclat

    Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

    Mtoto wa Mbowe anaeitwa James Mbowe amesema kuwa ugonjwa wa korona ni janga la kitaifa na halipaswi kufanyiwa mchezo wala mzaha. Amesema kitendo cha Mh. Makonda ni kitendo cha kushangaza kwa kuwa amejivika usemaji wa familia ya Mbowe kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa ugonjwa wa korona umepiga...
  20. Makirita Amani

    Mawimbi yanapotulia ndiyo tunajua nani anaogelea uchi (Hatua 10 za kuchukua ili kuizuia biashara yako isife kwa mlipuko wa Corona)

    Mlipuko wa virusi vya Corona unaoendelea sasa duniani (COVID - 19) una madhara kwenye kila eneo la maisha yetu. Madhara makubwa kabisa yako kwenye upande wa afya, siyo tu kwa mtu mmoja mmoja, bali kwa mfumo mzima wa afya. Kwa sababu uwezo wa mfumo huu ni mdogo ukilinganisha na uhitaji...
Back
Top Bottom