Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,147
Tuungane pamoja kuwaombea pumziko la Milele Mapadre hawa ambao wamefariki Dunia nchini Italia kutokana na Virusi vya Corona.
Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona.
Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele uwaangazie. Amina
#PumzikolaMilele
#SalaniSilaha
#HurumayaMungu
Mapadre hawa walipata maambikizi wakati wakitoa huduma ya Kiroho kwa waathirika wa Virusi vya Corona.
Ee Mwenyezi Mungu uwape Pumziko la Milele, na Mwanga wa Milele uwaangazie. Amina
#PumzikolaMilele
#SalaniSilaha
#HurumayaMungu