Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
Wizara ya Afya imethibitisha kisa cha kwanza cha Covid19 nchini Uganda. Waziri wa Afya Dkt Ruth Aceng amesema mgonjwa huyo ni mganda mwenye miaka 36 aliyerudi kutoka Dubai 21 Machi, saa nane usiku
Mtu huyo alienda Dubai Machi 17, alitumia siku nne huko kwa masuala ya kibiashara. Alikuwa na afya njema wakati anaenda Dubai Dkt Aceng alisema
Mtu huyo ametengwa, abiria wote waliosafiri nae wako karantini na passport zao zinashikiliwa na serikali ya Uganda
Kesi za CoronaVirus duniani hadi sasa ni 304,334, watu 12,983 wameripotiwa kufa, 94,677 kati ya waliopata CoronaVirus wamepona
Mtu huyo alienda Dubai Machi 17, alitumia siku nne huko kwa masuala ya kibiashara. Alikuwa na afya njema wakati anaenda Dubai Dkt Aceng alisema
Mtu huyo ametengwa, abiria wote waliosafiri nae wako karantini na passport zao zinashikiliwa na serikali ya Uganda
Kesi za CoronaVirus duniani hadi sasa ni 304,334, watu 12,983 wameripotiwa kufa, 94,677 kati ya waliopata CoronaVirus wamepona