johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,667
Mwandishi wa habari nguli na mwanasheria Pascal Mayalla amesema mtandao wa JamiiForums ndiyo bora katika utoaji elimu pamoja na kwamba kuna baadhi ya members waliomba Corona ije nchini.
Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV.
Pascal amewataka wananchi wawe wanakosoa mabaya ya serikali lakini wasisahau kupongeza kwa yale mazuri kwani Biblia inatuasa tushukuru kwa kila jambo.
Source: Star TV
Mayalla alikuwa anaongea katika kipindi cha Jicho Letu ndani ya habari kinachorushwa mubashara na Star TV.
Pascal amewataka wananchi wawe wanakosoa mabaya ya serikali lakini wasisahau kupongeza kwa yale mazuri kwani Biblia inatuasa tushukuru kwa kila jambo.
Source: Star TV