Bunge la Uganda limepitisha muswada unaoidhinisha kuanzishwa kwa viti vitano vya wawakilishi wazee, lakini sharti mmoja awe mwanamke.
Uwakilishi wa wazee bungeni kama kundi maalumu, pamoja na kuandaa mpango wa kuchaguliwa kwao kupitia mabaraza maalumu, ni takwa la katiba.
Umri wa mwakilishi...