Harudi wakati mwenzio tayari ni mbunge anaesubiri kuapishwa?Naona ameanza kupandwa na uwenda wazimu..yeye afanye siasa mana bungeni harudi mwaka huu..
#MaendeleoHayanaChama
Anatafuta kuguswa!Ndugai hajakosea, lissu analugha chafu sana,
Ukweli huwa ni mchungu Sana. Lisu ni mkweli mno.Ndugai hajakosea, lissu analugha chafu sana,
Anachezea sharubu za Simba!Anatafuta kuguswa!
Huyu haguswi ila oktoba sisi wanachi tutamfundisha adabu ili akavisimulie vizuri vibeberu vyake
Katika watu waliotamani Lissu asingekua hai leo hii basi huyu jamaa ni mmoja waoHaya ni maneno aliyotamka leo ndugu Job Ndugai
View attachment 1567985
Ninyi ccm mko wachache Sana. Usitusemee wananchi. Tuna hasira Sana na huyu john kwa ukatili wake na ubinafsi wake. Kitendo cha kujenga international airport Chato, anastahili kunyongwa.Anatafuta kuguswa!
Huyu haguswi ila oktoba sisi wanachi tutamfundisha adabu ili akavisimulie vizuri vibeberu vyake
Anatafuta kuguswa!
Huyu haguswi ila oktoba sisi wanachi tutamfundisha adabu ili akavisimulie vizuri vibeberu vyake
Mzee Magaya anazungumziaje haya maneno ya Ndugai?Kuwa mwanasiasa kunahitaji ngozi ngumu by Samwel Sitta rip
MakuuNdugai yuko sahihi
Ana maanisha Lissu harudi Tena bungeni maana rais huwa anaenda bungeni kuhutubia.Harudi wakati mwenzio tayari ni mbunge anaesubiri kuapishwa?
Hahahaaaa! Mzee Mgaya anasema Tundu Lisu hamzidi Trump kwa ukali wa maneno sema tu maneno ya Trump ni ya kizungu.Mzee Magaya anazungumziaje haya maneno ya Ndugai?