Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,372
Kamanda Lissu; nakushauri,pamoja na mambo mengine, usisahau kuongelea mambo hayo matatu yanayogusa na kuumiza wananchi wengi wa nchi kama ulivyozungumzia suala la TRA na wafanyabiashara pamoja na swala la wafanyakazi kutoongezewa mishahara siku ya jana mkoani Morogoro.
Awamu hii ya tano imepuuza wananchi kwa kiwango kikubwa mno na matokeo yake imepoteza mvuto mbele ya wananchi kwa kiasi kikubwa mno.
Kuiangusha CCM hii panapo Tume Huru, ni sawa na kusukuma mlevi, na hata pasipo Tume Huru, bado tunaweza tu kuipiga mweleka kwa kutokubali kuibiwa kura.
Waacheni wategemee viongozi wa dini sisi tujikite kwa wapiga kura maana wao hawana la kuwaambia.
Awamu hii ya tano imepuuza wananchi kwa kiwango kikubwa mno na matokeo yake imepoteza mvuto mbele ya wananchi kwa kiasi kikubwa mno.
Kuiangusha CCM hii panapo Tume Huru, ni sawa na kusukuma mlevi, na hata pasipo Tume Huru, bado tunaweza tu kuipiga mweleka kwa kutokubali kuibiwa kura.
Waacheni wategemee viongozi wa dini sisi tujikite kwa wapiga kura maana wao hawana la kuwaambia.