Uchaguzi 2020 Wafahamu baadhi ya Watia nia ya Ubunge wa CCM ambao hawakushinda katika kura za maoni lakini wamepitishwa kugombea katika majimbo yao

Suley2019

JF-Expert Member
Oct 7, 2019
1,805
4,481
Dar es Salaam
Jimbo la Kawe
- Askofu Josephat Gwajima

Jimbo la Temeke
- Doris Kilave

Tanga
Jimbo la Muheza
- Hamis Mwinjuma (Mwana FA)

Mbeya
Jimbo la Tunduma
- David Silinde

Manyara
Jimbo la Babati Mjini

- Pauline Gekul

Kilimanjaro
Jimbo la Vunjo

- Charles Kimei

Shinyanga
Jimbo la Shinyanga Mjini
- Patrobas Katambi

Mtwara
Jimbo la Ndanda
- Cecil Mwambe

Geita
Jimbo la Busanda

- Tumaini Braison Magesa

Kagera
Jimbo la Bukoba Mjini
- Stevine Lujahuka Byabato

Katavi
Jimbo la Kavuu
- Jofrey Mizengo Pinda

Kigoma
Jimbo la Kusini/ Uvinza
- Nashon Bidyanguze

Jimbo la Kigoma Kaskazini
- Asa Nelson Makanika

Rukwa
Jimbo la Nkasi Kusini
- Vincent Mbogo

Ruvuma
Jimbo la Mbinga Mjini

- Jonas Mbunda

Jimbo la Namtumbo
- Kawawa Vita Rashid

Njombe
Jimbo la Wanging'ombe
- Dk. Festo John Dugange

Tabora
Jimbo la Kaliua
- Aloyce Kwezi

Shinyanga
Jimbo la Kishapu

- Boniface Butondo

Lindi
Jimbo la Liwale
- Zuberi Kuchauka

Wafuatao ni wagombea Waliogongana idadi ya kura za maoni lakini akapitishwa mmoja:
Morogoro
Jimbo la Mlimba

- Godwin Kunambi

Mwanza
Jimbo la Buchosa

- Erick Shigongo

Mara
Jimbo la Mwibara
- Charles Kajege

Mbeya
Jimbo la Rungwe
- Antony Mwantona

= Orodha zaidi inakujia hivi punde =

KUJUA ORODHA YA JUMLA YA WAGOMBEA KATIKA MAJIMBO YOTE SOMA HAPA:
= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM: Majina ya walioteuliwa kuwania nafasi za Ubunge kwenye Majimbo mbalimbali nchini

PIA SOMA

= > Uchaguzi 2020 - Yaliyojiri upigaji kura za maoni za wagombea wa Ubunge na ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kupitia CCM - Julai 20-21, 2020
 
Back
Top Bottom