basi

  1. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Virusi vya Corona vinakufa kwenye miale ya jua hivyo basi msimu wa kiangazi Corona itatoweka?

    Mwanasayansi mmoja nchini Marekani leo Aprili 24 ameeleza kuwa virusi vya corona vinaharibiwa kiurahisi na na miale ya jua hivyo kuna matumani makubwa ya ugonjwa huo (Covid-19) unaoitesa dunai ukaisha wakati wa kiangazi. hata hivyo tayari Shirika la Afya Duniani WHO lilisema mwanzoni mwa mwezi...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kitu Watanzania tunakihitaji basi ni maarifa

    Naam, wanajamvi siku tatu za maombi zimeisha Jana. Kama maombi ya waombaji yameswihi hilo litajidhihirisha siku si nyingine kuanzia leo. Ila kwa maoni yangu hayajaswihi au hajapokelewa. Kwanini nasema hivi? Ni ubatili wa maombi yenyewe. Waombaji wengi walimtukuza binadamu badala ya Mungu. Rejea...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Ukipata ajali na basi la abiria lazima ulipwe na Bima kama ni majeruhi

    Abiria anapaswa kuandika barua kwenda kampuni husika ya bima iliyokatiwa hilo Bus. Katika barua hiyo aambatanishe vifuatavyo 1.TIKETI YA SAFARI. 2.CHETI CHA MATIBABU YA HOSPITALI. 3. FOMU YA POLISI (PF 3). 4. MCHANGANUO WA GARAMA ALIZOINGIA. 5. PF 90. 6. PF115 7. TIKETI YAKE kama bado anayo...
  4. technically

    JamiiForums Tanzania Mrisho Gambo, Mpeleke Mahakamani basi unayemshikilia

    Ukiona mama analia mmewe amekamatwa siku ya 7 leo kwa amri ya mkuu wa mkoa Arusha wakati makosa yake hayajulikani ni jambo la kuhoji naomba sana Mrisho Gambo mpeleke mahakamani huyo kada wa ccm apo Arusha unayeshikiliwa bila kujua hatima yake wakati OCD anasema ni maagizo yako.
  5. Kulupango

    JamiiForums Tanzania Nimekumbuka mbali baada ya kusikiliza mapigo haya

  6. Morning_star

    JamiiForums Tanzania Kama sio mama yako, basi ni baba, bibi au babu yako ndo wanajua siri ya hali yako ya maisha

    Rejea kichwa cha somo hapo juu chausika. Wakati mwingine si vibaya kushirikishana uzoefu katika maisha tuliyopitia. Kwa umri wangu nimeona mengi na ninajua ninachokisema na walio wa kweli watanielewa. Misingi ambayo familia zoote za Kiafrica, zimejengwa katika kitu kinachoitwa mila na desturi...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania Kama hali ya corona Africa ni hii na Tanzania tuna wagonjwa 20 basi ni kweli tinaishi Eden

  8. Kichupa Steven

    JamiiForums Tanzania Basi la Bilo Sports lakwama kwa saa zaidi ya Mbili katika Mji wa Tinde

    Basi la Kampuni ya Bilo Sports linalofanya Safari zake za Bukoba kwenda Dar Es Salaam limeshikiliwa na Askari polisi kwa madai kuwa Moja wa abiria wake anahofiwa kuwa na Virusi vya Corona hivyo kwa Muda Wote huo hakuna Abiria aliyeruhusiwa kushuka ndani ya Basi
  9. Corticopontine

    JamiiForums Tanzania Umefanya Lockdown na uchumi wako wa kuunga unga unakosa hela ya kuwalipa Madaktari na manesi wanazikimbia Hospitali! Ni majanga zaidi ya CORONA

    Upeo wa viongozi wa Afrika ni mdogo sana wamejitenga na Madaktari wamejitenga na naturalists, unaambiwa asilimia karibia 100 ya wanaokufa na ugonjwa huu ni wazee kuanzia miaka 70+ kwa huku Afrika ni wachache mnoo almost negligible. Unaambia mazingira ya kijiografia kiuchumi hayaruhusu viongozi...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Uhakiki: Msajili akuta madudu NCCR Mageuzi na CHAUMA Zanzibar. Kimoja ofisi ziko sebuleni kwa mtu na kingine mali zake ni kiti na meza basi!

    Msajili wa vyama vya siasa ambaye kwa sasa anafanya uhakiki wa vyama vyote vya siasa nchini amekuta mapungufu kwa baadhi ya vyama vya siasa Zanzibar. Msajili amesema baadhi ya vyama hali zao zinatisha na kimojawapo ofisi yake ipo sebuleni kwa mtu ambapo familia ya mtu huyo inatumia pia sebule...
  11. Analogia Malenga

    JamiiForums Tanzania Meya wa Iringa ang’olewa madarakani

    Iringa. Wajumbe wa Baraza maalumu la madiwani wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa nchini Tanzania wamemuondoa madarakani meya wa manispaa hiyo, Alex Kimbe. Kimbe ambaye anatokana na chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema ameng’olewa madarakani leo Jumamosi Machi 28, 2020 katika...
  12. The Humble Dreamer

    JamiiForums Tanzania Shinyanga: Ajenti wa Basi la Kisibo akanyagwa na Basi hilo na kufariki hapo hapo wakati akirukia kwenye Basi hilo

    Mwanaume aliyetambulika kwa jina moja la Athumani amefariki dunia mara baada ya kukanyagwa na gari hilo katika stendi kuu ya mabasi ya Shinyanga, mwili wake umepelekwa katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Shinyanga. Taarifa zinasema kua Basi hilo linalofanya safari zake kati ya Mwanza na Dar...
  13. Saharavoice

    JamiiForums Tanzania Ajali basi na Lori babarabara ya Igunga Shelui

    Kuna ajali ya basi la MJS Safaris na Lori Semi trela yamegongana uso kwa uso na kuna vifo na majeruhi pia. Mvua inanyesha sana maeneo haya. ====== Singida: Ajali ya Basi Kampuni ya MJS na Lori la Mizigo Kampuni ya Azam, imetokea leo Sherui na kusababisha majeruhi 6. Sababu ya ajali ni Lori...
  14. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Kwa msuguri; Traffick wamesimama pembeni kila basi linalotoka Mbezi linasimama wanaweka 3000 kwenye karatasi hii ni aibu babisa

    Hii ni zaidi ya hanta virus Yaan niko kwenye basi tumepaki kama basi sita Zinapeleka 3000@ Konda anashuka anamwambia dereva ngoja tupeleke 3000 zao Anafika anakabidhi anaondoka bila aibu kabisa mnatupeleka wapi Vipi sisi wa magari binafsi mnatuachaje ama ndio mwendo wa 30,000
  15. Viol

    JamiiForums Tanzania Corona: Meneja wa Diamond na Mwana FA watangaza kuugua Corona baada ya kupimwa

    Mwanamuzi Khamis Mwinjuma maarufu kama MwanaFA amekutwa na maambukizi ya Virusi vya Corona. Kupitia akaunti yake ya Instagram, amepakia video na kuweka ujumbe unaosema Majibu ya vipimo vyangu vya Covid 19 yamerudi chanya. Inaudhi. Siumwi KABISA. Nipo sawa 100%. Na nimejitenga toka niliporudi...
  16. J

    JamiiForums Tanzania Chadema isipokufa mwaka huu basi 2021 kitakuwa chama " halisi" cha Upinzani

    Mwaka uliopita 2019 Chadema imepita katika mapito magumu lakini kwa kuwa kinapokea ruzuku ya serikali kimeweza kusurvive. Mwaka huu ni wa uchaguzi na ruzuku itakata rasmi baada ya bunge kuvunjwa hivyo chama kitaendeshwa na wananchi. Endapo Chadema itaingia mwaka 2021 ikiwa imara basi haitakufa...
  17. Babu Kijiwe

    JamiiForums Tanzania Kama hii ni kweli, basi tumefika pabaya sana

    =========== UPDATES NIDA WATOA UFAFANUZI
  18. FRANCIS DA DON

    JamiiForums Tanzania Kama kuna kaya hata moja hapa nchini iliyoondokana na umaskini kupitia TASAF, basi nipigwe radi!

    Literally nashindwa kuona how a sane person anaweza kuamini kwamba kumpa mtu shs. 2,000= , 3,000/= nk. kwa mwezi inaweza kumuondolea umasikini huyo mpokeaji wa hizo monthly handouts, nisaidieni, how mtu huyu anaondokana na umasikini? HOW? Lengo la TASAF ni nini hasa?
  19. Hunyu

    JamiiForums Tanzania Bei ya vyakula vya mahoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri wa mabasi iangaliwe na mamlaka husika

    Kwa muda mrefu nimekuwa nikikerwa na hili jambo. Bei ya chakula cha hizi hoteli/migahawa ya njiani kwa wasafiri haiendani na huduma wanayopewa lakini naona mamlaka husika zimekaa kimya. Na hili naomba lisichanganywe na suala la wakulima kujipangia bei, msafiri sio mkulima ni mtu anayekuwa hana...
  20. Bonde la Baraka

    JamiiForums Tanzania Serikali kama imeshindwa kuzuia biashara ya ngono basi iwatoze kodi wadada poa

    Nilipita kipenyo kimoja Sudan Temeke niliona mabinti wameweka mapaja nje wanatangaza biashara saa nne asubuhi. Nilijua ni hostel za wanafunzi kwa harakaharaka. Ila nilipounganisha nukta nikakumbuka na kufahamu kuwa wako pale kibiashara. Serikali yenye vyombo vya ulinzi na usalama zaidi ya...
Back
Top Bottom