johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,924
- 141,891
Hii sasa kali
Diwani wa Chadema wilayani Bunda aliyeamua kuachana na chama hicho amesema Chadema ni kama basi linalowaka moto na abiria wameamua kujisalimisha kwa kutokea madirishani.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!
Diwani wa Chadema wilayani Bunda aliyeamua kuachana na chama hicho amesema Chadema ni kama basi linalowaka moto na abiria wameamua kujisalimisha kwa kutokea madirishani.
Chanzo: Star tv
Maendeleo hayana vyama!