technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Poleni sana Watanzania wote napenda kutoa angalizo kuwa hali itakuwa tofauti sana endapo utawala huu utarejea madarakani.
Kama ambavyo Marekani alishaonya kuhusu tume huru ya uchaguzi.
1: Huenda tukawekewa vikwazo vya kiuchumi hasa na taifa la Marekani.
2: Huenda wanasiasa watakaopigwa marufuku kusafiri Marekani wakaongezeka na kuwa wengi
3: Huenda Uhusiano wetu na WB&IMF ukawa kwenye msukosuko.
4: Huenda taifa likazidi kugawanyika kwa misingi ya kisiasa na kijamii.
5: Huenda bidhaa kutoka Marekani na Ulaya zikawa adimu kutokana na vikwazo.
6: Natabiri pesa yetu kuporomoka kutokana na vikwazo vya kuuza nje.
7: Kuendelea kwa misuguano ya kisiasa kwa miaka 5 mpaka 2025 atimaye uchumi kuporomoka na kupoteza mwelekeo kabisa.
Poleni sana, Uzuri vikwazo havitaangalia wewe ni CCM, CHADEMA, ACT, CUF, NCCR au TLP vitakuwa kwa wote endeleeni kuwashangilia watawala.
Ingawa bado kuna nafasi ya kurekebisha haya ila sioni utashi wa kisiasa wa utawala uliopo madarakani kubadilisha chochote.
Kama ambavyo Marekani alishaonya kuhusu tume huru ya uchaguzi.
1: Huenda tukawekewa vikwazo vya kiuchumi hasa na taifa la Marekani.
2: Huenda wanasiasa watakaopigwa marufuku kusafiri Marekani wakaongezeka na kuwa wengi
3: Huenda Uhusiano wetu na WB&IMF ukawa kwenye msukosuko.
4: Huenda taifa likazidi kugawanyika kwa misingi ya kisiasa na kijamii.
5: Huenda bidhaa kutoka Marekani na Ulaya zikawa adimu kutokana na vikwazo.
6: Natabiri pesa yetu kuporomoka kutokana na vikwazo vya kuuza nje.
7: Kuendelea kwa misuguano ya kisiasa kwa miaka 5 mpaka 2025 atimaye uchumi kuporomoka na kupoteza mwelekeo kabisa.
Poleni sana, Uzuri vikwazo havitaangalia wewe ni CCM, CHADEMA, ACT, CUF, NCCR au TLP vitakuwa kwa wote endeleeni kuwashangilia watawala.
Ingawa bado kuna nafasi ya kurekebisha haya ila sioni utashi wa kisiasa wa utawala uliopo madarakani kubadilisha chochote.