technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Sio kwamba kwenye utawala wa BM na JK siri za serikali na viongozi wake zilikuwa hazivuji zilivuja ila sasa imekuwa too much.
Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.
Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.
Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo? hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza!
Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja? Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama?
Pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late! Kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.
Alianza Mange kuvujisha mambo very sensitive na alileta taaruki kweli na baadhi ya mambo ulikuwa ukitizama unaona kabisa yanatoka ndani jikoni.
Sasa hivi Kigogo kuna muda anazusha sawa ila kuna muda anaongea ukweli 100%.
Tujiulize nani anampa taarifa? je kama yupo ndani hakuna tatizo? hata kama hayupo ndani je waliopo kama hawana umoja hakuna tatizo? TISS kuna tatizo lazima tukubali kwanza!
Je ni kutokana na "TISS field officer" wakienda na kuleta taarifa hazifanyiwi kazi kulingana na matakwa ya mtu mmoja? Wakipuuzwa wanauza taarifa za usalama?
Pls Diwani rekebisha mambo ingawa its to late! Kwako kuja kutolewa kama Kapilimba kuna viashiria vyote vinaonyesha Idara imegawanyika sana kuliko kipindi chochote toka tupate uhuru.