beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani, Khamis Hamza amesema wanaopata ajali au madhara katika Chombo cha Moto ambacho Fidia yake husimamiwa na Sheria ya Bima wanapaswa kulipwa.
Ameeleza hayo baada ya Mbunge Rita Kabati kusemi abiria wengi wanaopata Ajali wamekuwa wakisumbuliwa na wamiliki wa Bima tofauti na hali ilivyo kwa Vyombo vya Moto.
Hata hivyo amesema bado kuna changamoto kwa upande wa Wananchi akitaja baadhi kuwa ni kukosa ufahamu wa namna bora ya uandishi wa kuomba fidia na uelewa mdogo wa masuala ya bima.
Ameeleza hayo baada ya Mbunge Rita Kabati kusemi abiria wengi wanaopata Ajali wamekuwa wakisumbuliwa na wamiliki wa Bima tofauti na hali ilivyo kwa Vyombo vya Moto.
Hata hivyo amesema bado kuna changamoto kwa upande wa Wananchi akitaja baadhi kuwa ni kukosa ufahamu wa namna bora ya uandishi wa kuomba fidia na uelewa mdogo wa masuala ya bima.