Mitandao ambayo tunaitumia kujingizia kipato kwa Vijana wengi siyo ya hapa nchini ni ya wenzetu huko majuu, sasa ikitokea shida ni lazima kuwe na remote solution ambayo ni ngumu kusaidiwa haraka kutokana na ucentralized wake, mfano : watu wamewekeza kwenye YOUTUBE CHANNEL lakini account inaweza...
Wizara ya Afya (MOH) kupitia Ruzuku ya Mfuko wa Kimataifa (GF) inatafuta watu binafsi wenye ari, wabunifu na wenye nguvu ambao watafanya kazi chini ya , 2026) makubaliano ya kimkataba kujaza nafasi 123 zilizoachwa wazi.
YouTube leo imetangaza kuwa YouTube Music na YouTube Premium sasa zinapatikana #Kenya.
---
YouTube imetangaza kuwa YouTube Music na YouTube Premium sasa zinapatikana #Kenya. Upanuzi huu unaashiria hatua muhimu katika kujitolea kwa YouTube kutoa burudani iliyoboreshwa kwa watumiaji katika...
Kwa wale wanapenda kutumia business card kwenye Biashara zao. Tupo kwa bei rahisi kabisa tuna design tunapanga tunatuma soft copy unaprint kwa bei chee kwenye machimbo yako!
Karibu Sana namba zipo kwenye poster hapo.
Youtube inachukua asiliamia 30 kama income tax (withholdtax) ambayo sidhani kama inafika ama kurudi hapa nchini kwetu.
Mfano: wimbo mmja wa DIAMOND PLATNUMZ uliwahi kufikisha Milioni 100 za kitanzania asilimia 30 yake ni milioni 30 zote zinakwenda USA.
Kungepatikana namna hata ya nchi...
Uhalifu wachache wa wanawake umejirudia katika historia kama ule wa Countess Elizabeth Báthory de Ecsed. Hata kama hujui jina hilo, basi kuna uwezekano kwamba umesikia hadithi kuhusu huzuni yake ya hadithi. Labda unafahamu kwamba ana heshima ya kutiliwa shaka ya kuwa muuaji wa kike mwenye uwezo...
Dogo Huyu ni hatari anatengeneza midundo mizuri sana kizuri ni kwamba anatemgeneza na kuuza kwa bei rahisi. Msikikize hapa moja ya mdundo wake kabisa
Link hii hapa:
Binti ambaye anajihusisha na mitinido. Na fasheni ukimuangalia vizuri kafanana sana na mwanamuziki mwana mitindo anasema anashangaa kwanni wanamfananisha na Hamisa misikilize hapa akihojiwa>>
Ulimwengu wa ajabu sana watu wanafanya maajabu pia ili kujipatia kipato, yawe ya kweli au ya uongo ilimradi tu wapate chochote mkononi kiende kinywani , sasa huyu jamaa nchi za wenzetu ameonesha akimeza kisu mitaani ili kufanya watu wafurahi na mazingaombwe yake zaidi nimekuekea link hapa.
Ugumu wa safari ya maisha ya huyu mwanamke ulianza sekende chache tu kabla ya kuzaliwa kwake, alikinusa kifo akiwa yeye pamoja na mama yake. Hali iliyopelekea kutokupewa jina lolote kwa sababu ndugu, walijua fika kuwa kifo ni halali yake.
Lakini kutokana na kudra za mwenyezi , wazazi waliamua...
Baada ya kufungia mifuko ya plastiki mifuko ya ilotengenezwa kwa karatasi na nguo imeanza kuchukua nafasi huku wajasi wakiikimbilia fursa ili kuongeza kipato chao . Lakini katika nchi za wenzetu huko majuu wametengeneza mifuko kwa kutumia mihogo mifuko hii ni mizuri kwa mazingira lakini kwa njaa...
Huko Indonesia watalaamu wametengeneza mifuko kwa kutumia mihogo ili kuokoa mazingira ,mifuko hiyo unaweza kuloweka kwenye maji na ukaunywa kama juice kwa taarifa zaidii.....>>>
Nchi ya finland imeanza kujaribu wazo la kulipa ama kuwapa hela kila mwezi watu wasio na ajira kama motisha waweze kutafuta kazi ,world economic forum wanasema ndo nchi ya kwanza ulaya kujaribu mfumo huo...zaidi bonyeza link
Sent using Jamii Forums mobile app
Mapema hivi leo instagram ilipata hitilafu ,Tatizo limetatuliwa kwa mujibu wa uongozi wa mtandao huo Maeneo yaliyoathirika ni uingereza ,ulaya na Marekani.
>>>>> INSTAGRAM IMEPATA HITILAFU LEO ASUBUHI (kwa mujibu wa Hindi Standard Time (IST)) INSTAGRAM IMEPATA HITILAFU LEO ASUBUHI (kwa mujibu...
CHINA inakusudia kujenga Kituo cha Kisasa cha Kibiashara katika eneo la Stendi Kuu ya sasa ya Mabasi ya Ubungo, Dar es Salaam kuanzia mwezi huu, kikiwa na uwezo wa kukusanya shughuli zote za biashara na mahitaji ya nyumbani. Kwa Picha bonyeza link hyo
Screenshoti: UBUNGO MPYA
Sent using Jamii...
Wadau mnaojua haka kamchezo kanaendaje mtueleze baada hivi karibuni kumekuwepo kwa lawama nyingi sana kwa radio moja eti inanyonya ilikuwa inanyonya ni kweli kwamba kwingine kupo sawa au ni bendera kufata upepo, wanajamii tuambizane jamani anaejua kidogo namna gani inawanyonya na kwanni na ni nani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.