khomgodlove
Member
- Nov 17, 2018
- 33
- 22
Wadau mnaojua haka kamchezo kanaendaje mtueleze baada hivi karibuni kumekuwepo kwa lawama nyingi sana kwa radio moja eti inanyonya ilikuwa inanyonya ni kweli kwamba kwingine kupo sawa au ni bendera kufata upepo, wanajamii tuambizane jamani anaejua kidogo namna gani inawanyonya na kwanni na ni nani?