Huu ni uzi maalum kwa MwanaJF kutoa Wimbo wake ambao amekuwa akiutafuta kwa miaka mingi, Bila ya Mafanikio. Kwa yule aliyenao anaweza kumsaidia mwenzie kwa kumtumia wimbo huo hapa.
Hatimaye imewezekana bhana! program ya DuckDuck Go Sasa inaweza kuzuia Matangazo Ya YouTube bila kutumia Extension yoyote kama ilivyo Ublock origin.
Ukifungua YouTube kupitia DuckDuckGo Browser, unaweza kutazama video nyingi bila matangazo ya kuudhi yanayokatiza kila dakika.
Bila kuhitaji...
Msaada wana JF.
Nina siku ya pili mwenzenu nahanagika kupakua vitu kutoka youtube na kuvihifadhi kwenye PC yangu,nimehangaika sana lakini nimekwama kwa yeyote mwenye kujua namna na kupakua material kutoka youtube naomba msaada tafadhali.
Hi everyone,
I’ve been thinking about how much time many of us spend on YouTube these days, not just for entertainment but also for learning and staying updated with what’s happening around the world. Personally, I find myself relying on it more than traditional sources, especially for quick...
Nauza YouTube channel.
Ina subscribers 210,000+
Imeanzishwa 2018.
Ndani ya miaka 8 imeingiza USD 100,298
Sababu ya kuuza.
Nimekosa muda wa kuiendeleza.
Usimamizi wake unahitaji umakini wa kila siku.
Nipo busy na majukumu mengine.
Bei.
TSH milioni 1 tu.
Muhimu ujue.
Nina uhitaji wa hii milioni...
NATAFUTA TEAM (PART-TIME) – YOUTUBE CHANNEL
Natafuta vijana wenye ujuzi wa:
🎨 Graphic Design
🎞️ Video Editing
✍️ Script Writing
🎙️ Narration
Kwa ajili ya YouTube Channel
Interested?
Tuma:
Jina + nafasi unayoomba + sample ya kazi
Email: bashirumfaume@gmail.com
Baada ya miaka 44 ya kuiburudisha dunia, hatimae MTV imesalimu amri mbele ya YouTube na TikTok.
Soma zaidi...
https://www.instagram.com/p/DS-AHXHFF22/?igsh=a29rb2JwZHJqbHZ3
Inasemekana watu wengi wameondoka mijini na kwenda vijijini kwao kusiko na fiber, kwahiyo wasanii wanakosa viewers.
Ikumbukwe anavotoa Sukari 2021 alipiga views Mil 1 chini ya masaa 24.
Sema nyakati zinabadirika.
There’s a reason Reason was sponsored, because reason without reason won’t...
Tokea kushika kijiti kwa JPM kumekuwa na matukio ya kutisha na ufisadi wa kutisha.
Kuna kisa kimoja nimekumbuka hata nchi kubwa wanatumia sana zengine tunaona kwenye movie.
Ukishapangiwa majukumu na mkubwa wako na mission ikawa inakwenda kumfichua mkubwa wako ni wazi unatakiwa kupotezwa ili...
Harmonize tarehe 29 alipandisha ngoma mpya YouTube, badae ameona aifute kutokana Viewers kuwa chini ya 5k since then mpaka jana.
Wananchi especially Gen Z wameona sio tu show zao hata kuwasapoti kwenye platform mbalimbali ni kitu hakitakiwi kwasasa,
Wananchi wameamua kuwapuuza the so called...
Kutaja wachambuzi list hapa tz niwengi sana yani unaona kabisa uchambuzi wao ubalance yani kuonesha hisia zao zipo wapi kwenye saisa,mlengo gani,kuwa upande gani.
Katika siku ambayo nilimuona huyu mchambuzi ni shabiki wa waarabu fatilia uchambuzi wa sudani kule kwa bashiri RSF.Fatilia uchambuzi...
YouTube inafanya majaribio ya feature mpya inaitwa "Direct Message" Kwa watumiaji wake kupitia channel zao ambazo wana share video Kwa wengine kuweza kuchati nao Private.
Feature hiyo itawapa watu uwezo wa kuweza kuchati kupitia app ya YouTube mobile Kwa kuweza kutumiana Meseji ndani ya hiyo...
https://github.com/mhogomchungu/media-downloader
Siku ya jana nilikuwa natafuta software nzuri ya kushusha videos
Baada ya kutafuta hapa na pale nikakuta kwenye majukwaa ya eknolojia ya kimataifa watu wanaishauri Media Downloader
Niliishusha na kuitumia, ni software nzuri ambayo inaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.