mtu fulani

  1. Ibrahimeliza

    Kila mtu anatamani kuishi maisha ambayo sio ya uhalisia wake (Kuiga)

    Jambo linalo sikitisha ni kwamba kila mtu anatamani kuishi maisha ambayo sio ya uhalisia wake, nataka kuwa kama fulani tulivyokuwa wadogo tulikuwa tunajua ni utoto tu, hapana mpaka sasa wakubwa kila mtu anasema nataka kuwa kama mtu fulani, ukiwa kama fulani utapendeza sana, nataka niishi kama...
  2. khomgodlove

    Elizabeth Báthory: Muuaji wa kike aliyeua watu wengi kuliko mtu yeyote

    Uhalifu wachache wa wanawake umejirudia katika historia kama ule wa Countess Elizabeth Báthory de Ecsed. Hata kama hujui jina hilo, basi kuna uwezekano kwamba umesikia hadithi kuhusu huzuni yake ya hadithi. Labda unafahamu kwamba ana heshima ya kutiliwa shaka ya kuwa muuaji wa kike mwenye uwezo...
  3. DocJayGroup

    Naomba kujuzwa utaratibu wa kupata SMS za mtu kupitia watoa huduma (mitandao) na kama polisi Tanzania wanafanya polygraph test

    Nimeona sio mbaya kuingia kwa JF kupata information zaidi sababu kuna watu wana knowledge nyingi sana na mbalimbali hapa. Katika saiti yangu moja ya kazi, kuna nyumba za wafanyakazi. Kijana mmoja mwangalizi mkuu wa saiti hio, amekuwa akitunza hela kwenye ndoo sababu wazazi wake walipitia tatizo...
  4. Machepele

    Hellow. Wana jf, naitwa mjuzi wa juzi ni member mpya wa jamii forum na omba usaidizi wa kutambua zaidi kuhusu jamii forum

    Naitwa Mjuzi wa Juzi, ni mwana jf mpya kabisa kwa miaka kadhaa nimwkuwa msomaji tu tu lakini leo nimeamua kujiunga. Asanteni sana
Back
Top Bottom