Search results

  1. Drax001

    Hii ndio Whatsapp bot na hizi ni features zake

    WHATSAPP BOT Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot. BOT FEATURES 🤖 Auto View Status 👉Hii utaview status ata ukiwa offline tena just now😁 🤖Always Online 👉hii muda wote utaonekana active online ata Kam...
  2. Drax001

    Tahadhari dhidi ya utapeli mpya mjini

    Kumetokea Watu wanajifanya wanakopesha simu za Mkopo hapa Facebook na kukutaka uwatumie pesa kidogo ili wakutumie bidhaa yako huko mikoani ndugu yangu utapigwa vibaya. Nasema hivyo kutokana na Mimi yamenikuta nimelizwa elfu 50 alafu ni mdada akijifanya katokea Zanzibar kumbe ni matapeli
  3. Drax001

    Taja Watu Maarufu Humu JamiiForums

    Naomba Unitajie Watu Maarufu Unao Wafahamu Humu Jamiiforum. Kuna Watu Maarufu Sana Wanafahamika Humu JF Kwa Ku,comments% Post Za Watu Hemu Nitajie Mtu Hata Mmoja Unae mjua !!!
  4. Drax001

    Msaada; Je, Kuweka 5 Rating Katika Page Kwenye Facebook Ni Lazima Niwe Na Likes Ngapg?

    Nimefungua Page Yangu Kule Facebook Sasa Nilikuwa Naitaji Kuweka 5 Rating, Sasa Sikuweza Kuweka. Sasa Nauliza Hiv Mpaka Niwe Na Like Ngapi Ndio Naweza Kuweka? Mpaka Sasa hivi Nimefikisha Likes 80 NAWASILISHA.
  5. Drax001

    Magroup Maarufu mazuri katika Facebook

    LEO NIMEKUJA NA HII LIST YA MAGROUP MAARUFU YA FACEBOOK. NCHI NYINGI ZILIZOENDELEA UKIINGIA GOOGLE UKISEARCH MAGROUP YA FACEBOOK YA NCHI YOYOTE UNAYOITAFUTA UTAKUTANA NA LIST NYINGI SANA LAKINI UKIINGIA GOOGLE UKASEARCH MAGROUP YA TANZANIA HUKUTI HATA MOJA. SASA NAJUA WENGI MTABEZA LAKINI...
  6. Drax001

    Kwa mara ya kwanza Tanzania kuwekwa katika M-bet Nimemwekea na dau Tanzania ashinde Nasubiri Mpunga tu

    UKIINGIA M-BET] SASAHIVI UTAKUTANA NA MECHI YA ALGERIA vs TANZANIA sasa ipo hivi! ALGERIA win 1.17 Droo 6.00 TANZANIA win 11.50 Tanzania akishinda napokea 1,000,00 laki moja tz!!
  7. Drax001

    Marekani yailaumu Korea kaskazini kwa kusambaza virus cha computer kinacho igharimu dunia

    Utawala nchini Marekani unasema kuwa Korea Kaskazini ilihusika moja kwa moja na kirusi cha wannaCry kilichoadhiri hospitali, biashara na mabenki kote duniani mapema mwaka huu. Kirusi hicho kilidaiwa kuvamia zaidi ya kampuni 300,000 kwenye mataifa 150 na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola...
  8. Drax001

    Hizi hapa Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi?

    1:mkimaliza kuongea mniambie niendelee kufundisha 2:baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule 3:kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe 4:ulikuja peke yako na utaondoka peke yako 5:hata msipo nisikiliza mshabara wangu upo pale pale 6:baba yako anahangaika kulipa ada wewe...
  9. Drax001

    Tufanye nini ili tukuze soko la filam hapa nchini kwetu

    Asalam aleikum ndugu wana JF Leo ningependa uchangie labda hata kwa mawazo nijinsi gani tufanye ili tukuze soko la filam kwa nchi yetu maana soko la filam kwa nchi kama Tanzania limeshuka ningependa utoe hata mawazo yako . Kwangu Mimi ningependa kuwaambia wana tasnia waigizaji wetu wawe Sirius...
  10. Drax001

    Hii ndio Historia ya kweli ya north Korea

    Korea ya Kaskazini Korea kaskazini ( jina rasmi : Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea ) ni nchi ya Asia ya Mashariki iliyoko kwenye nusu ya kaskazini ya rasi ya Korea . 조선민주주의인민공화국 朝鮮民主主義人民共和國 Chosŏn Minjujuŭi Inmin Konghwaguk a Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea Bendera Nembo...
  11. Drax001

    Hivi north Korea wana jitengezea fedha zao wenyewe?

    Hivi jamani north Korea hawapo kwenye list ya umoja wa mataifa na wana vikwazo sasa hilo taifa fedha zao wanatengeneza wenyewe au inakuwaje hapo wakuu?
  12. Drax001

    Hivi north Korea wana jitengezea fedha zao wenyewe?

    Hivi jamani north Korea hawapo kwenye list ya umoja wa mataifa na wana vikwazo sasa hilo taifa fedha zao wanatengeneza wenyewe au inakuwaje hapo wakuu?
  13. Drax001

    Samsung kuja na internet ya 5G

    Samsung yafanya majaribio ya teknolojia ya 5G Katika intaneti yenye kasi hivi sasa katika nchi zetu za Afrika ni teknolojia ya 4G na hiki ndio kizazi kinachoonekana kuwa chenye kasi ya intaneti lakini hali ni tofauti kwa Samsung ambao wanafikiria kuhusu kizazi cha 5 cha intaneti. Tangu mwaka...
  14. Drax001

    Palestina imekataa mazungumzo na marekani.

    Marekani imeionya Palestina dhidi ya maamuzi yake kutotaka kukutana na makamu wa rais Marekani ,Mike Pence katika kikao ambacho kilipangwa kufanyika mapema mwezi huu ili kujadili uamuzi wa rais Trump wa kuhamishia Yerusaleam kuwa mji mkuu wa Israel. Ikulu ya Marekani imesema, uamuzi huo...
  15. Drax001

    Tetesi: Marekani yafanya mazoezi Korea kusini hali ya wasiwasi imetanda

    Jeshi la Marekani limerusha ndege yake aina ya B-1B bomber. katika anga ya Korea Kusini kama sehemu ya mazoezi ya pamoja ya angani katika hatua inayoonekana kama onyo kwa Korea Kaskazini. Mazoezi hayo ya kijeshi yanafanyika wiki moja baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora ililodai kuwa ni la...
  16. Drax001

    Marekani yakumbwa na moto mkubwa

    Karibu watu 27,000 walilazimishwa kukimbia manyumba yao usiku wa manane wakati moto mkubwa ulisamba kwa haraka kusini kwa jimbo la Carlifonia. Watu wamehamishwa kwa lazima kutoka makwao katika miji ya Ventura na Santa Paula karibu kilomita 115 Kaskazini mwa Los Angeles. Wazima moto walionya kuwa...
  17. Drax001

    Najua kuongea kikorea cha kaskazini njoo uniulize swari lolote kwa kikorea cha kaskazini

    Habari za majukumu wakuu nimesomea korea kaskazini miaka mitatu lugha yao mimi ndio nikawa genus wa korea kaskazini sasa nimerudi tanzania kuja kuchukua kozi ya kiswahili tena maana nimeanza kukisahau nikirudi korea kaskazini nawaahidi hwangsong 14 tutaanza kuziripua zile nuclear test maana mimi...
  18. Drax001

    Tujifunze kutengeneza game

    Habari za majukumu wakuu mimi nataka tu share mawazo juu ya jutengeneza game development kwa hapa bongo najua wenye uwezo juu ya hayo mambo kuhusu game wapo wengi tu tatizo hawataki kushare mawazo . mimi ndio nimeanza kujifunza kutengeneza video game kupitia unreal engine sasa naomba mwenye...
  19. Drax001

    Nazileta kwenu facebook codes

    Habari za majukumu wakuu leo nimeamua kuwaletea facebook code ambayo utatumia kupendezesha maneno unayo post au kukoment . twende pamoja :- nenda moja kwa moja katika facebook yako alafu coment au post code moja kati ya hizi NB:ingia katika facebook coment sehemu yoyote ya kutolea maoni...
  20. Drax001

    Msaada: Nahitaji kwenda South Korea

    Habari wakuu, Nomba msaada naitaji kwenda South Korea sasa kwa mtu yoyote mwenye uelewa au alishawahi kwenda huko naomba msaada kama anafahamu nauli ya kutoka hapa mpaka huko.
Back
Top Bottom