WHATSAPP BOT
Ulimwengu wa Sasa matumizi makubwa ni ya artificial intelligence (robot) now Whatsapp Kuna robot maarufu kama Whatsapp bot.
BOT FEATURES
🤖 Auto View Status
👉Hii utaview status ata ukiwa offline tena just now😁
🤖Always Online
👉hii muda wote utaonekana active online ata Kam...
Kumetokea Watu wanajifanya wanakopesha simu za Mkopo hapa Facebook na kukutaka uwatumie pesa kidogo ili wakutumie bidhaa yako huko mikoani ndugu yangu utapigwa vibaya. Nasema hivyo kutokana na Mimi yamenikuta nimelizwa elfu 50 alafu ni mdada akijifanya katokea Zanzibar kumbe ni matapeli
Naomba Unitajie Watu Maarufu Unao Wafahamu Humu Jamiiforum.
Kuna Watu Maarufu Sana Wanafahamika Humu JF Kwa Ku,comments% Post Za Watu Hemu Nitajie Mtu Hata Mmoja Unae mjua !!!
Nimefungua Page Yangu Kule Facebook Sasa Nilikuwa Naitaji Kuweka 5 Rating, Sasa Sikuweza Kuweka.
Sasa Nauliza Hiv Mpaka Niwe Na Like Ngapi Ndio Naweza Kuweka?
Mpaka Sasa hivi Nimefikisha Likes 80
NAWASILISHA.
LEO NIMEKUJA NA HII LIST YA MAGROUP MAARUFU YA FACEBOOK.
NCHI NYINGI ZILIZOENDELEA UKIINGIA GOOGLE UKISEARCH MAGROUP YA FACEBOOK YA NCHI YOYOTE UNAYOITAFUTA UTAKUTANA NA LIST NYINGI SANA LAKINI UKIINGIA GOOGLE UKASEARCH MAGROUP YA TANZANIA HUKUTI HATA MOJA.
SASA NAJUA WENGI MTABEZA LAKINI...
UKIINGIA M-BET] SASAHIVI UTAKUTANA NA MECHI YA ALGERIA vs TANZANIA
sasa ipo hivi!
ALGERIA win 1.17
Droo 6.00
TANZANIA win 11.50
Tanzania akishinda napokea 1,000,00 laki moja tz!!
Utawala nchini Marekani unasema kuwa Korea Kaskazini ilihusika moja kwa moja na kirusi cha wannaCry kilichoadhiri hospitali, biashara na mabenki kote duniani mapema mwaka huu.
Kirusi hicho kilidaiwa kuvamia zaidi ya kampuni 300,000 kwenye mataifa 150 na kusababisha hasara ya mabilioni ya dola...
1:mkimaliza kuongea mniambie niendelee kufundisha
2:baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3:kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe
4:ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
5:hata msipo nisikiliza mshabara wangu upo pale pale
6:baba yako anahangaika kulipa ada wewe...
Asalam aleikum ndugu wana JF
Leo ningependa uchangie labda hata kwa mawazo nijinsi gani tufanye ili tukuze soko la filam kwa nchi yetu maana soko la filam kwa nchi kama Tanzania limeshuka ningependa utoe hata mawazo yako . Kwangu Mimi ningependa kuwaambia wana tasnia waigizaji wetu wawe Sirius...
Korea ya Kaskazini
Korea kaskazini ( jina rasmi : Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea ) ni nchi ya Asia ya Mashariki iliyoko kwenye
nusu ya kaskazini ya rasi ya Korea .
조선민주주의인민공화국
朝鮮民主主義人民共和國
Chosŏn Minjujuŭi Inmin Konghwaguk a
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Watu wa Korea
Bendera Nembo...
Hivi jamani north Korea hawapo kwenye list ya umoja wa mataifa na wana vikwazo sasa hilo taifa fedha zao wanatengeneza wenyewe au inakuwaje hapo wakuu?
Hivi jamani north Korea hawapo kwenye list ya umoja wa mataifa na wana vikwazo sasa hilo taifa fedha zao wanatengeneza wenyewe au inakuwaje hapo wakuu?
Samsung yafanya majaribio ya teknolojia ya 5G
Katika intaneti yenye kasi hivi sasa katika nchi zetu za Afrika ni teknolojia ya 4G na hiki ndio kizazi kinachoonekana kuwa chenye kasi ya intaneti lakini hali ni tofauti kwa Samsung ambao wanafikiria kuhusu kizazi cha 5 cha intaneti.
Tangu mwaka...
Marekani imeionya Palestina dhidi ya maamuzi yake kutotaka kukutana na makamu wa rais Marekani ,Mike Pence katika kikao ambacho kilipangwa kufanyika mapema mwezi huu ili kujadili uamuzi wa rais Trump wa kuhamishia Yerusaleam kuwa mji mkuu wa Israel.
Ikulu ya Marekani imesema, uamuzi huo...
Jeshi
la Marekani limerusha ndege yake aina ya B-1B bomber. katika anga ya Korea Kusini kama sehemu ya mazoezi ya pamoja ya angani katika hatua inayoonekana kama onyo kwa Korea Kaskazini.
Mazoezi hayo ya kijeshi yanafanyika wiki moja baada ya Korea Kaskazini kurusha kombora ililodai kuwa ni la...
Karibu watu 27,000 walilazimishwa kukimbia manyumba yao usiku wa manane wakati moto mkubwa ulisamba kwa haraka kusini kwa jimbo la Carlifonia.
Watu wamehamishwa kwa lazima kutoka makwao katika miji ya Ventura na Santa Paula karibu kilomita 115 Kaskazini mwa Los Angeles.
Wazima moto walionya kuwa...
Habari za majukumu wakuu nimesomea korea kaskazini miaka mitatu lugha yao mimi ndio nikawa genus wa korea kaskazini sasa nimerudi tanzania kuja kuchukua kozi ya kiswahili tena maana nimeanza kukisahau nikirudi korea kaskazini nawaahidi hwangsong 14 tutaanza kuziripua zile nuclear test maana mimi...
Habari za majukumu wakuu mimi nataka tu share mawazo juu ya jutengeneza game development kwa hapa bongo najua wenye uwezo juu ya hayo mambo kuhusu game wapo wengi tu tatizo hawataki kushare mawazo . mimi ndio nimeanza kujifunza kutengeneza video game kupitia unreal engine sasa naomba mwenye...
Habari za majukumu wakuu leo nimeamua kuwaletea facebook code ambayo utatumia kupendezesha maneno unayo post au kukoment . twende pamoja :- nenda moja kwa moja katika facebook yako alafu coment au post code moja kati ya hizi
NB:ingia katika facebook coment sehemu yoyote ya kutolea maoni...
Habari wakuu,
Nomba msaada naitaji kwenda South Korea sasa kwa mtu yoyote mwenye uelewa au alishawahi kwenda huko naomba msaada kama anafahamu nauli ya kutoka hapa mpaka huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.