Drax001
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 439
- 221
1:mkimaliza kuongea mniambie niendelee kufundisha
2:baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3:kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe
4:ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
5:hata msipo nisikiliza mshabara wangu upo pale pale
6:baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu
7:hata nikeshe nafundisha wengine mizigo hawatoki na lolote
8:tuna visaidia tu kwani vikifanikiwa mbeleni hata salamu havitoi
9:kichwa kubwa ubongo nukta
10:wengine hapa wamekuja kukua tu
Ipi ulishawahi kuambiwa shuleni na mwalimu wako?
Mimi niliambiwagwa kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe
2:baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3:kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe
4:ulikuja peke yako na utaondoka peke yako
5:hata msipo nisikiliza mshabara wangu upo pale pale
6:baba yako anahangaika kulipa ada wewe unafanya utumbo tu
7:hata nikeshe nafundisha wengine mizigo hawatoki na lolote
8:tuna visaidia tu kwani vikifanikiwa mbeleni hata salamu havitoi
9:kichwa kubwa ubongo nukta
10:wengine hapa wamekuja kukua tu
Ipi ulishawahi kuambiwa shuleni na mwalimu wako?
Mimi niliambiwagwa kama unajua kuliko Mimi njoo ufundishe wewe