Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, fundi mbobezi wa hizi kazi nipo Daresalama na ninahitaji kazi.
Kwa muda mrefu nimekuwa nikifanya na kusimamia kazi za serikali, hivyo ubora wa kazi yako ni kipaumbele cha kwanza.
Karibuni sana..
Story inahusisha jamaa wanne na mdada mmoja, kwa pamoja wanakuwa MTU TANO.
Jamaa walijihusisha na utoaji wa misaada kwa jamii, si kanisani wala misikitini, kote walialikwa na huko walitoa pesa na vifaa mbalimbali vya thamani hali hiyo ilipelekea makundi mbalimbali ya watu kupanga foleni kwa...
Binafsi nilichelewa kuingia kwenye ulimwengu wa kimahusiano. Moja ya sababu zilizonichelewesha ni uoga wa kutongoza. Nilikuwa mjanja sana ila Zuzu Kwa wanawake. Kutongoza ilikuwa ni adhabu kwangu, niliamua kuchagua Maisha tofauti mapenzi nikawaachia wengine!!
Muda mwingi niliutumia kujifunza...
Ni mfumo wa kitechnologia unaomwezesha mtoa huduma/Mfanyabiashara / Company kuwa karibu zaidi na mteja kwa njia ya messages. Tofauti na mifumo mingine, 2WM inaoption ya Chatting baina ya company na mteja Yani mteja anauwezo wa kuuliza Mahalia ambapo hajaelewa ama kutoa maoni yake dhidi ya bidhaa...
Ni mfumo wa kitechnologia unaomwezesha mtoa huduma/Mfanyabiashara / Company kuwa karibu zaidi na mteja kwa njia ya messages. Tofauti na mifumo mingine, 2WM inaoption ya Chatting baina ya company na mteja Yani mteja anauwezo wa kuuliza Mahalia ambapo hajaelewa ama kutoa maoni yake dhidi ya bidhaa...
Nilikuwa nam-zoom The Legend. Undertaker ghafla nikapata Idea ya kufanya kitu..
Wajuba..
Mnaonaje tukiji- organize watu km 5 na kuendelea ila wasizd10 tukaifanyia maajabu ile Instrumental ya Undertaker.
Jina la ngoma iwe 'Wako wapi'
Yaani hapa tutawazungumzia wale waliofanya makubwa lakini...
Ukiwataja madirector wa Movie za kutisha kwa Tz na East Africa kwa ujumla, basi utakosea km hutomtaja July Tax. Kwa upande wangu, jamaa anaukaribia uwezo wa Mel Gibson kwa Bongo yetu, japo kwa mbali kdogo. Hayupo wa kumfananisha nae, hata the late Kanumba atakubaliana nami.
Jamaa anauwezo...
Japo mpaka sasa jamaa bado yumo ndani ya futi 6, ila si mbaya kama tutajikumbushia baadhi ya Diss line zake kwa wasamalia wema/yani watu wasiohusika na Muziki.
Kwenye 'Over n Over' Jamaa alinena maneno haya kwenda kwa Askari wetu wa usalama barabarani:
'Adimu ka kumpata traffic handsome ... 😂...
Binafsi ngoma ilikuwa ni kali sana. Sema kuna vimakosa vidogo vidogo vimeifanya ngoma kuwa ya kawaida.
Mimi sio mtu wa Music sana, ila haya ni baadhi ya makosa yangu niliyoyabaini..
Kosa la kwanza, Harmonize amezingua kufanya chorus ile ilee. Angeibadiri kidogo nadhani ingekiwa poa zaidi.
Kosa...
Mwana FA ft Jaydee - Hawajui
Mlimbwende - One The Oncredible
Fid Q ft Christan Bella - Roho
Izo Busness ft Shaa - Kidawa
Chande ft Diamond - Nashindwa
Prof J ft H Blasters ( Big Will & Fanani )
Ongeza niliyosahau.
...Twenzetu Joggin.
Mimi ni kijana wa kitanzania ninayefikilia kujiajili. Umri ni miaka28.. Mrefu wastani..
Dhumuni la kuleta tangazo hili hapa, ni kuwa. Nimekaa nikafiliki. Palipo na mafanikio ya Mwanaume yeyote. Basi kunanguvu ya mwanamke nyuma..
Nikafikilia tena, Ili ufanikiwe. Unahitaji mawazo sahihi toka kwa...
Nakupenda hip hop - Roho Saba
Darubini - Mfalme Suleiman / Afande Sele
Chemsha Bongo - Profesa J
Chagua Moja - Fid Q
Nakwenda - Chindo Man
Mtazamo - Sollo Thang
Sent using Jamii Forums mobile app
Licha ya kufanya vizuri kwenye mitandao ya kijamii, lakini dili nyingi tunaona zikienda kwa Baba yao pekee.
Vijana wanakwama wapi kwani.
Tembo Mnyama kila siku dili mpyaaa.
Hongera Harmonize kwa jicho la fursa. Uliona mbali sanaa.
Japo wengi walikuponda kwa maamuzi yako ya kujitoa wasafi...
Habari za wikend waungwana..
Kwa muda wa kama miezi2 nimekuwa muhudhuriaji wa hospitali kumuugiza Mama yangu Mzazi. Ndani ya miezi hiyo, amelazwa kama mara3. Tatizo linalomsumbua halieleweki. Anaishiwa na damu mara kwa mara, kelele masikioni. Miguu kuwaka moto. Ganzi miguuni. Baridi kali...
Hivi kwa binti unayempenda, yani unamalengo nae. Ikitokea amekuomba pesa. Ukamjibu ' sina '. Kisha akakata mawasiliano gafla. Jeh unahaja ya kuendelea kuwa na malengo nae..??
Kuna ndugu yangu anaomba ushauri..
Nilichomshauri mimi..
Kwanza nilimuuliza.....
Mimi- mna muda gani na binti huyo...
Kama picha zinavyojieleza, mlimbwende huyu atinga kwa mjengo kwa mwaliko maalumu..
Kwa kasi hii ya awamu ya tano, inayoongozwa na kiongozi makini, akisaidiwa na watu makini kama Prof Kabudi, Job Ndugai, Paul Makonda, bila kuwasahau viongozi makini chamani kama Polepole na Musiba, kwa hakika...
Kwa heshima na taadhima, napenda kumleta kwenu mtunzi na mwimbaji bora kabisa wa muziki wa kizazi kipya, kijana na msanii Benson..
Sina maneno mazuri ya kumuongelea kijana huyu, ila nendeni yu- tubuni mkajionee maajabu yake..
Alianza na Motto Hauzimi, na sasa ana Mashallah.. Ebana eeehh...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.