Nauza crets za bia na soda

FirstClass

JF-Expert Member
Dec 29, 2016
1,081
1,338
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napatikana Mbezi Beach Jogoo.. Gharama ya kila cret ni Sh 15000.
Napatikana kwa namba 0764813772.. Karibuni
 
mawakala wanauza...fungua goli agiza kreti 50 hata kama huna kreti hata moja utapewa kreti kwa 15k
Kumbuka hizo cret50 ni kampun moja pekee, kwa hiyo itakulazimu ununue cret 50 kwa kila kampun.. sio watu wote wako na power hii mkuu..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom