FirstClass
JF-Expert Member
- Dec 29, 2016
- 1,081
- 1,338
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napatikana Mbezi Beach Jogoo.. Gharama ya kila cret ni Sh 15000.
Napatikana kwa namba 0764813772.. Karibuni
Napatikana kwa namba 0764813772.. Karibuni
Crate zipo ngapi idadi?Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, napatikana Mbezi Beach Jogoo.. Gharama ya kila cret ni Sh 15000.
Napatikana kwa namba 0764813772.. Karibuni
Zimebak 20 kwa jumla. Tuambie idadi unayohitaji ili tujue namna ya kuzifidia. Au piga simu kwa maelezo zaidiCrate zipo ngapi idadi?
Hahaha.. Kufirisika ni kubaya sana. Ila kwa hapa ni biashara rasmi ya crets mkuu.. Tunauza crets pekee yaniKufirisika kusikie tu kwa mwenzako
Anauza bei sana, 15,000 kreti tupu!!Ila unauza bei
Kampun hiuzi cret kwa rejareja mkuu..kampuni iuze je sasa
mawakala wanauza...fungua goli agiza kreti 50 hata kama huna kreti hata moja utapewa kreti kwa 15kKampun hiuzi cret kwa rejareja mkuu..
Ndio bei yake mkuuAnauza bei sana, 15,000 kreti tupu!!
Kumbuka hizo cret50 ni kampun moja pekee, kwa hiyo itakulazimu ununue cret 50 kwa kila kampun.. sio watu wote wako na power hii mkuu..mawakala wanauza...fungua goli agiza kreti 50 hata kama huna kreti hata moja utapewa kreti kwa 15k
Hahaa poapoa mkuu nikajua biashara ya vinywaji imekufa umefikia hatua ya kuuza kretiHahaha.. Kufirisika ni kubaya sana. Ila kwa hapa ni biashara rasmi ya crets mkuu.. Tunauza crets pekee yani