nguvu za kiume

  1. ChoiceVariable

    JamiiForums Tanzania Vijana Wageukia Booster za Viagra na Vega 💯 Ili Kupata Nguvu za Kiume

    Wakati wanawake wanazidi kuwa warembo na wanahitajika kushughulikiwa ipasavyo Kwa upande wa wanaume Hali inazidi kuwa mbaya kufuata wengi wao kukosa Nguvu za kiume na kupelekea matumizi makubwa ya Viagra na Vega Ili kuji boost wasiaibike kitandani wakiwa na mashangazi wao na Mabinti. My Take...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Dawa za kuongeza nguvu za kiume zitawamaliza wanaume wa Tazania

    Utafiti umeonyesha kuwa matumizi ya dawa za kuongeza nguvu kama vie Vega na nyinginezo husababisha vifo. Hii ni kwa sababu huongeza kasi ya mapigo ya moyo ili kusambaza damu kwa haraka na kusababisha kusaidia uume kusimama. Lakini wakati mwingine huwa zinasabisha madhara hadi kusababisha kifo...
  3. Tundusami

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Punyeto haimalizi nguvu za kiume mimi ni shahidi.

    Nimepiga puchu tangu nikiwa na miaka 11 leo nina miaka 44 lakini bado nipo ngangari kitandani.msidanganywe na wauza madawa mkapotezq ela zenu bule.
  4. N

    JamiiForums Tanzania Je, njia ya kufunga uzazi kwa Mwanaume inapunguza nguvu za kiume?

    Hii dhana umekuwepo kwa Watu wengi sana, wapo wanaoamini kuwa Mwanaume akifunga uzazi basi inamaanisha nguvu zake za kiume nazo zinapungua. Wataalam wa Afya hawa hapa wanasema dhana hiyo siyo ya kweli. Wataalam wanasema “Njia ya kufunga uzazi kwa mwanaume (Vasectomy) haithiri nguvu za kiume...
  5. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dawa za nguvu za kiume kutoka "sanitarium clinicks", ni tiba ya kweli?

    Habari wana jf? Hivi karibuni kumekuwa na utitiri WA DAWA za kuongeza nguvu za kiume HASA kwenye hizi "SANITARIUM CLINICKS", mpaka nachanganyikiwa kujua DAWA ipi inasaidia na DAWA Gani ni feki. Nimekuwa na tatizo Hilo Kwa mwezi Sasa na nilienda lupimo sanitarium clinic, wakanipa sawa zao...
  6. T

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Experience ya dawa za nguvu za kiume

    Tukiwa chuo kuna mwana alikuwa anapenda sana kitu inaitwa "Njoinjoi" bila shaka nitakuwa sijakosea. Kwenye story anatoa sifa sana kuhusu hii kitu. Mim sikuwahi kuitumia kwanza hata pisi tu kuzipata ilikuwa shida 😂. Mwaka 2022, kuna mwana nikakutana nae tena ananipa story za vitu unapaka...
  7. Thesonboy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri

    Tusio na nguvu za kiume tukutane hapa tupeana moyo na ushauri.. Hii inajimuisha tunaosimamisha lege lege, kama utumbo, tunao mwaga ndani ya dk moja , tusio weza kurudia kabao kapili na hata tunao simamisha Kwa misimu kama mvua ya masika . Tupeana ushauri namna ipi tutoke kwenye hizi...
  8. I

    JamiiForums Tanzania Maswali na majibu kuhusu nguvu za kiume

    Niko hapa kuwajibu maswali yote kuhusu matatizo ya nguvu za kiume.
  9. Dr Luu

    JamiiForums Tanzania First aid: Tatizo la nguvu za kiume

    Habari, Hongereni kwa kutimiza majukumu yenu ya kila siku kuhakikisha tunasogeza mbele gurudumu la maendeleo binafsi, familia na taifa letu. Nimeamua kuandika uzi huu ili kuhakikisha pia tunajenga afya na kuendelea kutimiza majukumu yenu ya unyumba hasa kwa wanaume. Nimeleta hii huduma ya...
  10. VictoriaGreenHerbal

    JamiiForums Tanzania Chanzo cha kupungua kwa heshima na furaha kwenye mahusiano yako

    Upungufu wa nguvu za kiume ni tatizo linaloathiri wanaume wengi, mara nyingi bila wao kujua, hadi pale hali inapokuwa mbaya na kuanza kuathiri heshima na furaha ya ndoa. Kupitia dalili hizi, unaweza kutambua mapema ishara za tatizo hili na kuchukua hatua kabla halijawa sugu. Soma kwa makini hadi...
  11. VictoriaGreenHerbal

    JamiiForums Tanzania Ukiona hizi dalili ujue una changamoto ya nguvu za kiume

    Siku hizi kila kona mitaani, mitandaoni na hata makazini, kila mtu anajua “dawa” fulani ya kuongeza nguvu za kiume. Lakini cha kushangaza, kadri muda unavyosonga, ndivyo tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linavyozidi kuongezeka. Fikiria mara mbili kabla ya kuamini kila tangazo unaloona. Sisi...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Wanaume wengi hatuna nguvu za kiume kwasababu ya presha ya mwili

    Tafiti zimeonyesha kuwa asilimia 49 ya wanaume wenye umri wa miaka 40–79 wenye shinikizo la juu la damu wanakumbwa na upungufu wa nguvu za kiume. Kwa ujumla, asilimia 65 ya wanaume wenye tatizo hili hupoteza angalau sehemu ya uwezo wao wa kijinsia, huku asilimia 45 wakikumbwa na hali mbaya...
  13. Same_Return_1878

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepewa mechi nikashindwa kusimamisha

    Wakuu kwema, Kama kichwa kinavyosema, jana nimekutwa na jambo la ajabu na kusikitisha sana. Mimi sina matatizo ya nguvu za kiume, ila siku ya jana kuna binti mmoja aliyekuwa akinizungusha sana tokea mwezi wa 6 mwaka huu, aliamua kuja kwangu na kunibless. Alifika juzi usiku wa tarehe 18 akiwa...
  14. D

    JamiiForums Tanzania Ugonjwa wa Moyo ni changamoto nyingine ya nguvu za kiume

    Wanaume wengi wanapopoteza nguvu za kiume hudhani ni tatizo dogo la kawaida au la kiumri, lakini ukweli ni kwamba mara nyingi lina uhusiano wa moja kwa moja na magonjwa ya moyo. Zaidi ya viungo hamsini vya mwili vinashirikiana ili kuhakikisha uume unasimama vizuri, hivyo ikitokea kiungo kimoja...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Miaka 30+ hupoteza nguvu za kiume kwa ugonjwa wa kisukari

    Kisukari na Nguvu za Kiume Ugonjwa wa kisukari ndio sababu kubwa ya kupungua au kupotea kabisa kwa nguvu za kiume. Tafiti zinaonesha kuwa kati ya asilimia 35–75 ya wagonjwa wa kisukari, hupitia changamoto hii. Wanaume wenye kisukari huanza kupata tatizo hili miaka 10–15 mapema zaidi...
  16. Dogoli kinyamkela

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kirusi kinachonyonya nguvu za kiume kwa vijana unapopiga nyeto—hili jini ndo unalimwagia mbegu zako

    Kirusi kinachonyonya nguvu za kiume kwa vijana Kijana unapopiga nyeto—hili jini ndo unalimwagia mbegu zako😆 Linanyonya nguvu zako kwa kasi ya 5G😆 vijana wekeni hii picha kwa simu zenu, ili kabla ya kufanya huo mchezo mnaliangalia kwanza —labda mtaacha🤔
  17. Mtu_imara

    JamiiForums Tanzania Kichocho+machine kuwa legelege +kukosa Hisia

    Bawasili ya ndani tba yake wakuu,
  18. D

    JamiiForums Tanzania Mambo 7 Yanaweza Kuharibu Nguvu Zako za Kiume Bila Wewe Kujua

    1. Sababu za Kisaikolojia (70%) Wasiwasi na Hofu (Anxiety): Hofu ya kumridhisha mpenzi wako au mashaka kuhusu uwezo wako wa kudumu wakati wa tendo la ndoa hupelekea kumaliza mapema. Msongo wa Mawazo (Stress): Shida za kifedha, kazi au familia huathiri sana uwezo wako wa kudumu kitandani. Aibu...
  19. D

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hivi fangasi inapunguza nguvu za kiume?!!

    Naomba kujuzwa wadau. Maungaunga Yale na, wakati mwingine, ngozi inachunika mpaka majimaji yenye harufu mbaya yanatoka kwenye makutano ya mapaja vina athari gani kiafya ya uzazi?!! Karibuni.
  20. N

    JamiiForums Tanzania Hii mada ni kwa Wanaume miaka 50 na kuendelea: Uhusiano kati ya Kuongezeka kwa Tezi Dume na Ukosefu wa Nguvu za Kiume kwa wenye umri zaidi ya 50

    Ombi: Hii mada inafaa kujadiliwa na makundi matatu yafuatayo:- i. Wanaume wenye umri kuanzia miaka 50 au zaidi; ii. Akinamama wenye wenza (mume au mchepuko) wenye umri wa miaka 50 au zaidi; na iii. Wenye wazazi ambao wanasumbuliwa na Matatizo ya Tezi Dume. Utangulizi: Nilihamasika kuanzisha...
Back
Top Bottom