Thomas Partey anasema alibadili dini kutoka Ukristo kuwa muislamu kwa sababu ya mpenzi wake kutoka Morocco, Sara Bella.
Alisema alikulia miongoni mwa Waislamu, na haoni tofauti kubwa kati ya Wakristo na Waislamu.
Kwa sasa jina lake la kiislam ni YAKUBU
Habari Mabibi na Mabwana wa Jf;
Haya matukio ya Panya Road kwa sasa yamekua yana tatanisha sana.
Mfano Mimi ni mkazi wa Temeke (Tandika) sikuwai kusikia wala kuona Panya Road.
Lakini cha ajabu nikienda kazini maeneo ya Sinza nawasiki watu wanahadisia kua Panya Road wamevamia Temeke (Tandika )...
Kuna uhusiano gani kati ya mwili wa Binaadamu na Plastic material?
Kuna kitu sikielewi katika mwili wangu, yaani nikikalia vitu vya plastic mfano: Kiti au meza, vinyweleo vya mikono vinasimama inakua kama Sumaku hivi nikitoa mkono vinalala.
Wajuzi naomba munijuze.
Habari zenu wakuu
Leo Club yetu pendwa (Temu ya wananchi) Dar es salaam Young African itashuka dimbani kuchuana na Rivers United. Lolote linaweza kutokea wakati wowote. Yanga ipo na inaua yatupasa kuchukua tahazari zote.
Tunawatakia kilala kheri katika pambano lao
Nukuu
PM Netanyahu: " Msaada kwa Hamas na Islamic Jihad unatoka Iran. Ukiondoa Msaada wa Iran wote wataanguka ndani ya wiki mbili. Iran haisaidii tu matendo ya kigaidi bali inashiriki kwenye mashambulizi ya silaha dhidi ya Israel. Na huu ni ushahidi".
Nanukuu
PM Netanyahu: "The support for...
Nikiangalia vifurushi vya AZAM hivi vipya ambavyo vitaanza kutumika Tarehe 1 December, sioni walipo punguza bei za Channels zao zaidi ya kuongeza.
Chaneli za Azam Sports zitapatikana kuanzia 20000 kwa mwezi,Bei ya Sasa ni 18000 kwa Mwezi.
Azam 1 & 2 kuanzia 13000 kwa mwezi,Bei ya sasa ni...
Habari wa Jf ,
TV yangu ni Smart lakini upande wa Wireless haifanyi kazi mpaka
SAMSUNG WIRELESS LAN ADAPTER au NETWORK CABLE
Ombi langu wapi naweza pata hiyo Samsung Wireless LAN Adapter
Habari wana JF popote mlipo Natumai Bukheri wa Afya nyote, Kama kuna wagonywa Mwenyezi Awape Hafueni.
Wakuu Nina demu wangu mmoja mwezi mmoja uliopita alinitaalifu kuwa anataka kutolewa, na mwaume Ambae wazazi wake wametaka aolewe nae, kwa maelezo yake anasema alikataa lakini wanamfosi.
Mimi...
Wana JF habari zenu
Demu wangu Jana amenishangaza Baada ya kunifahamisha ana mimba yangu,.
Nikamuuliza: Siku zako ulitakiwa uzione lini
Akajibu: 30, Jana umenunua kipimo nimekuta nina mimba.
Nikamuuliza: Unamkumbuka tulikutana lini?
Akajibu: Nakumbuka tar 27.
Nikamuuliza: Mimba inakujaje hapo...
Hospitali ya kwanza maalum ya kuhudumia waathirika wa ugonjwa wa mlipuko wa virusi vya Corona itafunguliwa na kuanza kupokea waathirika kesho Jumatatu
Idadi ya vitanda :1,000
Wahudumu wa afya wa Kijeshi :1,400
Kuanza ujenzi :23-01-2020
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari wana JF,
Kama kichwa cha Habari hapo juu kinavyosema. Nina rafiki yangu kiumri tunafanana japo sio rafiki kihivyo, pia tulikua majirani lakini kwa sasa nimehama kwa kero za Mama yake kunitaka kimapenzi. Huyo rafiki yangu ndio mwanawe wa kwanza, jumla huyo mama ana watoto wa 3.
Sikumoja...
Habari zenu wana jf
Kama kichwa hapo juu kinavyosema kutokana na kauli ya rais jpm
NANUKUU "Kama kuna vyama vingine navyo vinataka kuja kufanyia mikutano yao hapa (Ikulu) waombe, hapa ni pa watanzania wote". -Rais Magufuli.
Leo nimeandika barua kwenda Ikulu natarajia nitakubaliwa kwakua...
MAUAJI MKURANGA, KIBITI NA RUFIJI (MKIRU)
Je ni Ugaidi, Chuki za Kisiasa na Jeshi La Polisi au Ni Uhalifu tu Mwingine!?
1. Je Ni Ugaidi Kama Ule wa Al-Shabab
2. Je Ni Chuki Tu Za Kisiasa
3. Je Ni Chuki za Wananchi Dhidi ya Jeshi La Polisi
4. Je Ni Uhalifu Tu Kama Uhalifu Mwingine!?
Kwa nyakati...
Habari wana JF
Hivi naomba kuuliza ile kauli ya Mh.Rais Ally Hassani Mwinyi Ilitenguli au bado?
Nakumbuka aliposema "Tstarz ni Kichwa cha Mwendawazimu"
Habari wana JF
Nipo apa Rufiji nikishuhudia adha ya usafiri kwa wananchi na pia watalii wanao eekea SELOUS GAME RESERVE kupitia Barabara ya Mloka kutokea Dar es salaamu kabla ya kufika katika kijiji cha MKONGO kuna Madaraja ya RAMBO Na Daraja la LUWOI yamezamishwa na maji na kufikia kukata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.