BEDUI Jr
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 2,041
- 2,836
Habari wana JF
Nipo apa Rufiji nikishuhudia adha ya usafiri kwa wananchi na pia watalii wanao eekea SELOUS GAME RESERVE kupitia Barabara ya Mloka kutokea Dar es salaamu kabla ya kufika katika kijiji cha MKONGO kuna Madaraja ya RAMBO Na Daraja la LUWOI yamezamishwa na maji na kufikia kukata mawasiliano ya usafili katoka eneo hili .Hii ndio njia rahisi ,fipi na pia pendwa kwa Watalii wetu kufika SELOUS .Mh.Mbunge MUHAMMEDI MCHENGERWA Njoo ujionee uku wapiga kura wako na watalii wanaotumia njia hii wanavyo teseka .
Nipo apa Rufiji nikishuhudia adha ya usafiri kwa wananchi na pia watalii wanao eekea SELOUS GAME RESERVE kupitia Barabara ya Mloka kutokea Dar es salaamu kabla ya kufika katika kijiji cha MKONGO kuna Madaraja ya RAMBO Na Daraja la LUWOI yamezamishwa na maji na kufikia kukata mawasiliano ya usafili katoka eneo hili .Hii ndio njia rahisi ,fipi na pia pendwa kwa Watalii wetu kufika SELOUS .Mh.Mbunge MUHAMMEDI MCHENGERWA Njoo ujionee uku wapiga kura wako na watalii wanaotumia njia hii wanavyo teseka .