Ukiangalia performance ya Marefa wa Ligi Kuu ya Uingereza pamoja na kuwepo kwa VAR bado wana maamuzi dhaifu sana.
Waamuzi hawa wamelalamikiwa mara kwa mara lakini hawabadiliki. Tarehe 12 Mei 2022 Refa Paul Tierney ametoa a very soft penalty kwa Spurs dhidi ya Arsenal.
Maamuzi mengine ya hovyo...
Uwanja wa Benjamin Mkapa ndio uwanja Mkuu wa mashindano mbalimbali ya Kitaifa na Kimataifa ya Mchezo wa Soka kwa timu za Vilabu na Timu Ya Taifa Hapa Tanzania.
Kutokana na sababu mbalimbali, baadhi ya me hi zimekuwa zikichezwa nyakati za usiku. Hata hivyo ukiangalia hali ilivyo ya mwanga...
Leo Serikali ya JMT imezindua kitabu chenye historia mpya ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Kitabu hicho pia kimeeleza chimbuko la vuguvugu la kudai Uhuru wa nchi hizo tangu miaka ya 1920s
Bila shaka Mzee wetu Mohamed Said ameshiriki ipasavyo. Hatutegemei kusikia malalamiko ya kupindishwa...
Ukiangalia namna wanavyopangwa Watangazaji wa Azam TV utaona kuwa Baraka Mpenja ndiyo Mtangazaji namba 1 hivyo hupewa mechi nyingi kubwa au zile zenye mvuto. Utaratibu huu pia upo kwenye Channel kubwa za Kimataifa kama Sky Sports, BT Sports pamoja na ITV ( Uingereza) ndiyo maana Peter Drury...
Leo tarehe 25 kwenye mechi ya Ngao ya Jamii Yanga SC wamefanikiwa kuwafunga Simba SC kwa goli 1-0.
Pamoja na matokeo hayo binafsi nimeridhika Sana na kiwango pamoja na competitiveness waliyokuwa bayo Wachezaji wetu. Timu ilitengeneza nafasi za kutosha jambo ambalo ndilo la kuangalia.
Pamekuwa...
Serikali yetu inajinasibu haina dini lakini ni jambo la ajabu Sana Shughuli za Kiserikali kuhusishwa na Dini. Sielewi zile sala zilizopo katika Shughuli za Kiserikali zinawezaje kucover makundi yote ya watu katika jamii.
Natambua Serikali haina dini ila watu wake Wana Dini, hata hivyo nadhani...
Nimekuwa nikimfuatilia Kocha Mwinyi Zahera tangia ajiunge na Timu ya Yanga Mwishoni mwa msimu wa 2017/18. unaweza kusema amepata mafanikio kiasi ikiwemo kuifanya Timu yake kushika nafasi ya Pili mara mbili mfululizo kwenye Ligi Kuu Tanzania Bara na ikiwemo kuwa Kocha Bora wa Mwezi Desemba 2018...
Mheshimiwa Kassim Majaliwa hongera sana kwa kuteuliwa kuwa Waziri Mkuu wa Tanganyika.
Wewe ni mwanamichezo mzuri kwanza ni kocha wa timu ya bunge, pili ni mwanachama hai na mzuri wa Simba Sports Club.
Kwa kutambua kwamba wewe ni mwanamichezo naomba msiisahau hii sekta ya michezo. Najua...
Jamani sijaiona thread yenye title hii, ila wadau tujulishaneni nini kinaendelea, binafsi nitaenda taifa leo, ila Techno yangu sijui kama itaweza kuwapa updates ila nitajitahidi
mechi zingine leo ni
JKT Ruvu vs Kagera Sugar - Azam cplx
Coastal Union VS Azam FC- Mkwakwani
JKT Oljoro VS Mbeya...
Sir Kassim Juma Nature, kinara wa kundi la TMK Wanaume Halisi akiwanyooshea Mike mashabiki wake usiku wa kuamkia leo katika mchuano wa NANI MFALME ambapo mashabiki walimkubali kuwa Mfalme wao dhidi ya mahasimu wao, TMK Wanaume Family.
Hivi ndivyo ilivyokuwa kwa mashabiki wa TMK Halisi, wakati...
Wadau,
Naona Azam FC wamefanya mapinduzi ya kweli ya kimaendeleo kwa soka ya Tanzania, kwani wao tayari wameweza kurusha hewani kipindi chao cha habari zao kinachoitwa Azam FC TV, Katibu MKuu wa Azam yupo studio Channel Ten kwa sasa akielezea mipango yao na anaonyesha baadhi ya facilities...
jamani wenye nyumba mpooo? mwenzenu ni mgeni kwenye kijiji hiki naomba mnipokee, mwenyekiti wa kijiji ndugu comrade invisible ameniambia nakaribishwa kijijini nanyi wanakijiji wenzangu naomba mnipokee pasi na hiyana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.