Habarini ndugu!
Naomba msaada:-
1. wa kujua gharama za kuagiza TOYOTA PREMIO toka Japan na Ushuru wake kwa sasa.
2. Ni Premio ya injini ipi itanifaa maana niko Wilayani Serengeti na barabara si nzuri kivile.
3. Kampuni nzuri inayoaminika kwa kuagiza Magari ni ipi maana kuna wajanja wa...
Habari wakuu,
Naomba msaada wa kujuzwa makadirio ya gharama ya kufanya wiring kwa nyumba ya vyumba 4 (vyumba 4, sebure, dining, stoo na jiko), pamoja na vifaa vinavyohitajika.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Habari za pilikapilika za majukumu ya siku ya leo.
Naamini siku inaenda vyema kwako.
Kama kichwa cha habari kinavyosema, naomba MSAADA wa kujua lilipo duka zuri la vifaa vya UMEME (TRONIC) mkoani Mwanza.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Ahsanteni sana!
Habari ya kazi ndugu yangu.
Mahali nilipo hapana umeme na nimefunga mfumo wa maji nyumba nzima hivyo naomba msaada wa kujua nini kinachohitajika ku-supply maji toka kisimani kati ya MOTOR au WATER PUMP.
Kama vitahitajika vyote kwa pamoja naomba msaada pia.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Habarini za mahangaiko wasakatonge wenzangu.
Naamini mnaendelea na mahangaiko ya kuitafuta shilingi kwa udi na uvumba.
Narejea katika kichwa cha thread hii, ombi limetolewa kwa Rais kuwa MBOWE pamoja na wenzake wafutiwe mashitaka lakini kwa kufanya hivyo ndo utakuwa mwanzo wa kifo cha CCM na...
Kwanza poleni sana kwa misiba iliyoikumba nchi yetu.
Pili, watu huelewa uchapakazi wako bila wewe kuwaambia.
Wanaweza wakakupendekeza kama uchapakazi wako ni mzuri au wasikupendekeze kulingana na uchapakazi wako wa hovyo hovyo.
Ile watu wakisema fulani anafaa basi hata usipopewa nafasi hiyo...
Yaani kuna Madirisha 6 lakini kuna teller mmoja tu naye anafanya kazi polepole kama kaajiriwa jana. Wafanyakazi wengine wapo tu wanalanda landa tu kila kona
Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika kuvaa kaunda suti anapeleka slip kwa customer care then customer care anaichukua na kuipeleka kwa...
Habarini za pasaka ndugu zangu!
Naamini mu wazima.
Naomba kujua ni kwa nini Bikra aliwekewa mwanamke tu?
Namaanisha kwamba mwanaume anaweza kulala na wanawake hata 100 lakini akasema ana bikra lakini mwanamke hata akilala na mwanaume mmoja tu atagundulika kwamba tayari ni more than used.
Je...
Nashindwa kufahamu kwa nini wahusika wa kipindi cha Malumbano ya hoja huwa ni walewale miaka nenda rudi??
Pia sioni uweredi wao, wengine wanapayukapayuka tu kama wamelewa.
Mkuu wa Wilaya ya Ilala dada Mjema kasema kesho mwisho kupanga bidhaa za machinga mitaa ya Kariakoo.
Kiukweli ilikuwa ni shida hata kupita kwa watembea kwa miguu.
Kwa mwezi mmoja kutoka Dar to Mwanza kama tulivyozindua magari ya mwendo kasi.
Kwa uzinduzi wa bure, tutakuwa na faida mbili.
Ya kwanza, kuwagundua wanafiki ambao wanaziponda maana wao ndo watakuwa wa kwanza kutaka kupanda pasipo kulipia.
Ya pili, kufanya majaribio ya awali ili kujua kama ziko...
Serikali yetu ilinunua magari mengi sana ya maji ya washawasha kwa ajili ya kumwagia watu watakaosababisha na au kutishia usalama wa wananchi wakati wa uchaguzi.
Naweza sema magari hayo yalinunuliwa kinyume na vipaumbele vyetu hasa kwa kanchi masikini kama Tanzania maana yalinunuliwa mengi sana...
Kama kichwa cha habari kinavyosema, kampuni ya finca inayojiita bank haipeleki mafao ya wafanyakazi wake.
Uchunguzi uliofanyika unaonyesha kuwa mara ya mwisho mafao ya wafanyakazi wa finca yalipelekwa mwezi wa nane (8) mwaka jana 2015.
Kuanzia mwezi huo wa nane hadi leo January 30, 2016...
Naamini nyote ni wazima na wa afya njema.
Naomba msaada kwa yreyote mwenye uelewa ya kwaba mtu anapoacha kazi anapaswaapewe release letter na mafao yae mengine baada ya muda gani toka tarehe ya mwisho ya resignation yake na ama kamaliza clearance yake.
Ntafurahi iwapo ntapata msaada huo maana...
Msaada wenu ni muhimu kuhusu Mzee Rais wetu mpendwa MAGUFULI, ETI KARUHUSU BODABODA KUINGIA MJINI PASI NA WALE WALIOKUWA WANAOKAMATA PIKIPIKI NA KUOMBA RUSHWA YA 5, 000 - 20, 000????
Kama bado hajasema, naomba mmwambie alisemee maana kuna vijana waendesha pikipiki wamekuwa wakiumia sana kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.