Freds bus, ofisi zao zipo pale majukano au daraja la wamasaiNaombeni msaada wa kujua kama kuna Bus la kutoka Mwanza kwenda Kampala, Uganda na makadirio ya nauli.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Nauli kwa pesa ya uganda ni laki moja sijui ya TzNaombeni msaada wa kujua kama kuna Bus la kutoka Mwanza kwenda Kampala, Uganda na makadirio ya nauli.
Natanguliza shukran zangu za dhati.
Taqwa au Tawaqal tu kama bado yapo.Tafuta kampuni ya mabasi ya friends hapo
Ova