KISHINDO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 2,112
- 1,798
Yaani kuna Madirisha 6 lakini kuna teller mmoja tu naye anafanya kazi polepole kama kaajiriwa jana. Wafanyakazi wengine wapo tu wanalanda landa tu kila kona
Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika kuvaa kaunda suti anapeleka slip kwa customer care then customer care anaichukua na kuipeleka kwa teller ili ahudumiwe haraka. Wengine mnaendelea kusota kwenye foleni.
Haka kabenki nadhani kanataka kujifia.
Time will tell
Cha kushangaza ni kwamba mtu akifika kuvaa kaunda suti anapeleka slip kwa customer care then customer care anaichukua na kuipeleka kwa teller ili ahudumiwe haraka. Wengine mnaendelea kusota kwenye foleni.
Haka kabenki nadhani kanataka kujifia.
Time will tell