Kwa Nini Bikra Aliwekewa Mwanamke tu?

KISHINDO

JF-Expert Member
Jun 23, 2013
2,108
1,798
Habarini za pasaka ndugu zangu!

Naamini mu wazima.

Naomba kujua ni kwa nini Bikra aliwekewa mwanamke tu?

Namaanisha kwamba mwanaume anaweza kulala na wanawake hata 100 lakini akasema ana bikra lakini mwanamke hata akilala na mwanaume mmoja tu atagundulika kwamba tayari ni more than used.

Je, Mungu aliwapenda sana wanawake na kuamua kuwalinda?

Naomba msaada wa kulijua hilo.
 
Kuepusha uongo..km umefanya umefanya..

Alijua wanawake n waongo sana... Kuonyesha ukuu wake
 
Sijajua umeongelea bikra ya wapi maana nikisikia neno ana marinda au hana marinda nashangaa tu kumbe kuna bikra aina nyingi sana
Sahamani mkuu,umetoka usingizini? Au ulikuwa unaota unatatuliwa marinda?. Do you real know what virgin is?. It real mean huna bikira yako ni marinda yaani hata hayo marinda yametatuliwa Mazafantazy
 
Hapa uliuliza bikra ni nn,chini unaonyesha unajua maana yake. Acha hizo uadui sio mzuri
Bikra ni nini?
Tuanzie hapo kwanza.
Kila ukiniquote mahali popote lazima unikashfu why? Hii ni thread yako mpaka utoke povu
images(9).jpg
lote hilo? Heshima kitu cha muhimu sana mkuu
Sahamani mkuu,umetoka usingizini? Au ulikuwa unaota unatatuliwa marinda?. Do you real know what virgin is?. It real mean huna bikira yako ni marinda yaani hata hayo marinda yametatuliwa Mazafantazy
 
Hapa uliuliza bikra ni nn,chini unaonyesha unajua maana yake. Acha hizo uadui sio mzuri

Kila ukiniquote mahali popote lazima unikashfu why? Hii ni thread yako mpaka utoke povuView attachment 497360 lote hilo? Heshima kitu cha muhimu sana mkuu
Siku zote naamini katika majibu mubashara ambayo yatamwingia akilini mtu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom