Wakuu poleni na majukumu ,,ni zamani kidogo niliwahi kupaka lotion ya kuondoa nywele kwapani kwa ndg yang mmoja lakn kwa sasa jina silikumbuki kwa usahihi,,,, naombeni tushare ideas kwa yeyote...
Habari wandugu'
Jamani mpaka nimefikia kuandika hapa ni ile tabia ya kina dada kuacha nywele nyiingi sehemu za siri
Nilikutana na mwanamke duu! kiukweli badala ya kufurahia mapenzi alinitia...
Mie ni kijana wa 35+, nina mke na watoto wawili.
Lakini kwa ushauri wa mke wangu, kutokana na ngozi yangu kuwa ngumu na isiyovutia machoni mwake ndo akaniletea mafuta ya Nazi nianze kuyatumia. Na...
Zifuatazo ni peel face mask ambazo zitasaidia kukisafisha uso kutoa blackheads usoni ,na mafutamafuta na uchafu wote,na kukuwacha na ngozi safi kabisaa.msishangae vyote hivo mm nmeshajaribu na...
Ndugu wana jamvi, nawasalimu nyote,
Leo ni Jumpili, na maeneo nilipo ni njia inayotumika sana kupita watu wakienda kusali, Jana walipita wasabato nawacheki! Na leo walokole, maana makanisa yao...
Hellow,kuna post humu nilisoma kuwa maji ya rose water hupatikana kwa kuloweka majani ya ua rose na kinachopatikana hapo ndo hayo maji ya rose water,asa nna swali je nikichukua hayo majan...
Wakuu, baada ya muda mrefu hatimaye na mie nimeanza kuvaa hivi visuruali vinavyobana mapaja!
Hii ni baada ya mpenzi wangu kuniambia kuwa hizo ndio pamba zinazobamba na yeye anadata na pigo hizo...
Habarini waungwana, wiki iliyopita nilisoma habari za mwanamama mmoja mjasiriamali anayeuza urembo asilia kwa ajili ya nywele, ngozi na vinginevyo. Bahati mbaya gazeti silioni hapa hata jina...
Wasalaam Aleikum Ndugu zangu wapenzi, kama heading inavyosema naombeni mnisaidie kama kuna dawa inaweza kukuza ndevu yaani kama zipo kwa mbali ziote haraka
Ahsanteni!
Habari wana jamvi..naomba yeyote anaefahamu kuhusu vipodozi kutoka kampuni ya Oriflame aniambie especially vipodozi vya ngozi kuhusu ufanyaji kazi wake..binafsi nimetumia sana but cjawahi kupata...
Habari wadau,
Mimi nina tatizo moja la uso wangu kuwa mwekundu sio sana lakini unakua mwekundu kwa mbali kama nikitembea sana juani, nikipika au nikipata stress. yaani nikihangaika kidogo tu uso...
Hellow jaman ushauri wenu mimi si mweupe wala si mweusi nipo kati asa nataka ning'ae zaid mafuta gani ambayo nikipaka yataning'arisha yani sio ya kuchubua nataka ya kung'arisha ngozi tu pia ngoz...
Nimekuwa mtumiaji wa mafuta ya mgando tangu nazaliwa especially babycare,family,mamis,Vaseline,na samona.Ila siku za karibuni ngozi yangu imekuwa haieleweki nimeshauriwa niachane na mafuta ya...
**** LOVE NATURE TEA TREE ****
Set hii hutumika kwa watu jinsia zote, yaani ya kike na ya kiume.
Pia ni kwa wale wenye ngozi yenye mafuta na kwa umri wowote.
- Husaidia kuondoa mafuta kwenye...
wanawake sisi sometimes tunajipenda utadhani hatutakufa.jana nilikuwa na shosti wangu mmoja hivi sehemu .huyu shosti tumetoka kijiji kimoja kwa hyo gene zake nazijua kabisa .
Ila mwenzangu ana...
Jamani, kuna kitu kimejitokeza ambacho sie wanaume hatukijui?
Usiku wa leo nimekuwapo The great park kuthibitisha ka utafiti kangu... Ni kweli kuwa asilimia kubwa ya wanawake waliokuwepo pale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.